Pole sana Mh Temba, Shetani hana Rafiki

Pole sana Mh Temba, Shetani hana Rafiki

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
141,321
Reaction score
283,287
Kwa yaliyokutokea liwe Fundisho kwamba, wanapotekwa wengine tupige kelele pamoja.

Nitakutafuta nikupe pole ya Ana kwa Ana utakaporudi kuzika

Kwa Kukumbusha tu ni Kwamba Mh Temba ni miongoni mwa wasanii waliokuwa wanatumbuiza kwenye Kampeni za Samia 2025 huku akiwa kavalia fulana na Kofia ya SSH
×××××××
Mrejesho.
×××××××
Nilishakutana na Mh Temba nikampa pole
 
Kwa yaliyokutokea liwe Fundisho kwamba, wanapotekwa wengine tupige kelele pamoja.

Nitakutafuta nikupe pole ya Ana kwa Ana utakaporudi kuzika

Kwa Kukumbusha tu ni Kwamba Mh Temba ni miongoni mwa wasanii waliokuwa wanatumbuiza kwenye Kampeni za Samia 2025 huku akiwa kavalia fulana na Kofia ya SSH
Nini kimetokea?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom