Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Mahakama kuu ya Tanzania imewakumbusha mawakili wote wanaohudhuria mashauri mahakamani kuzingatia na kuheshimu maelekezo ya chama cha wanasheria tanganyika (TLS) pamoja na maelekezo ya mahakama...
3 Reactions
5 Replies
227 Views
Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Dkt. Rugemeleza Nshala ametoa wito kwa Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika TLS Wakili Boniface Mwabukusi kuchukua hatua za makusudi...
3 Reactions
8 Replies
237 Views
Peter Madeleka:"Sasa kwa nini kwenye tukio hili kubwa, tena ambalo linahusisha mauaji ya watu zaidi ya mia tano, Polisi hawafanyi kazi yao, TISS pia inafanya kazi gani? Eh? Kwa hiyo kwenda...
12 Reactions
79 Replies
938 Views
msikilizeni wenyewe akiongelea kifo na kukejeli, we came, we saw, he died, hahahah (akicheka kwa dharau), what a psychopath ... https://www.youtube.com/watch?v=6DXDU48RHLU
1 Reactions
10 Replies
174 Views
Hivi bado kuna watu wana muabudu Nyerere Tanzania katika nchi ya kufikirika ? Na hao hao watu ni mashabiki na wafuasi wa Lissu ? Inawezekana hii ?
2 Reactions
12 Replies
98 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akihutubia Wananchi wa Kizimkazi, Zanzibar leo Agosti 13, 2026, wakati akizindua rasmi Mradi wa Maji wa Kizimkazi, amesisitiza...
0 Reactions
4 Replies
122 Views
Binafsi naamini Samia ndio kinara na master mind wa madhila yote ya utekaji wa watu na hizi ndio sababu zangu. Alitekwa mdude akakaa kimya Alitekwa mzee kibao akatoa kauli ya kejeli. Alitekwa...
7 Reactions
17 Replies
218 Views
Akizunguma kwenye mahojiano na M & S podcast yaliyorushwa Agosti 13, 2026, Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, Mwita Waitara amesema Ripoti nyingi zinaonyesha tatizo kubwa la nchi hii ni rushwa...
0 Reactions
4 Replies
108 Views
Nimekuwa najiuliza hivi huwa mwenyekiti wa CCM taifa anapatikanaje Ni kina nani hupiga kura na ni kipindi gani huchaguliwa nijuzeni wagombea huchukua fomu kwa nan na ni nani msimamizi wa uchaguzi
1 Reactions
8 Replies
101 Views
Watu ukikosoa wanasema kisa mi si muislamu ndo maana namkosoa Samia, Kwamba hata Jakaya nilimkosoa ila Magufuli hapana! Kama kuna mtu alimlaza Magufuli basi alikuwa Mimi, na kule twitter...
2 Reactions
13 Replies
375 Views
Ukiuliza Wanasias wengi,Vyama vyote, Kipi unakisimamia Moyoni Mwako? Jambo gani umeweza kulisimamia kama Mwanasiasa katika Maisha yako bila kuyumba utakosa majibu! Ukisikia wanasiasa wanaongea...
1 Reactions
5 Replies
36 Views
1/ Kuna kitu kinashangaza wengi kwenye forum yetu. Mwanachama wa CCM anayeitwa BRITANICCA amekuwa gumzo. 2/ BRITANICCA ni mwanachama wa chama tawala CCM. Lakini kazi yake kubwa ni kukosoa...
15 Reactions
33 Replies
754 Views
Ukimsikiliza kwa makini Heche anaeleweka sana. Amejenga ushawishi mkubwa sana hapa Tanzania. Ni hakika Heche ni tatizo la CCM. Ni Hakika Heche ni Tunu ya Taifa. Vigogo wa Chadema mliojipanga...
22 Reactions
38 Replies
698 Views
LIssu anasoma magazeti kama mshtakiwa wa kisiasa. Anajua fitina zinazoendelea. Lissu anajua mapandikizi ya Serikali ya CCM walioko kwenye chama chake. Kauli aliyomwambia Heche mahakamani kwamba...
0 Reactions
1 Replies
163 Views
The late Tanzanian president John Pombe Magufuli. (Photo: Flickr / GCIS) Tundu AM Lissu Africa did not mourn the passing of Idi Amin, Bokassa, Mobutu Sese Seko or, more recently, Robert...
44 Reactions
299 Replies
22K Views
Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, Mwita Waitara, ameweka wazi kuwa uamuzi wake wa kuhama kutoka chama cha upinzani (CHADEMA) na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) mwaka 2018 haukusukumwa na...
1 Reactions
9 Replies
167 Views
Picha: Huyu ndiye Amini Said Mahamba halisi ambaye ni marehemu. Alikuwa Askari Polisi ktk cheo cha SACP. ================= Ikumbukwe kwamba kumekuwa na minong’ono mingi kuhusu shahidi huyu...
22 Reactions
44 Replies
1K Views
Iko kwenye list ya bank zilizofilisika, cha kushangaza yenyewe tu ndo imepandishwa kwenye zinazouzwa kumbe ni mchezo wanasiasa wanachakata kupitishia Pesa za seyschekkes yote Pili Kikwete...
39 Reactions
100 Replies
3K Views
Akizungumza katika mahojiano na M & S Podcast yaliyorushwa Agosti 12, 2026, Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini, Mwita Waitara, amefunguka kuhusu mambo yaliyokuwa yakiendelea ndani ya Chama cha...
0 Reactions
1 Replies
60 Views
Dhambi kubwa aliyofanya Nyererew ni kuiacha katiba ambayo mwenyewe kwa kinywa chake alisema katiba hii akiipata dictator, ataumiza sana watu/ WATANZANIA/WATANGANYIKA. Kwa vile ilikuwa inampa...
8 Reactions
44 Replies
1K Views
Back
Top Bottom