Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Polis wakishamaliza kukumaliza au kukuweka kwenye target alafu wakasema wanakutafuta ndo imeisha hiyo! Tarehe 12 ikipita tu bila kusema ndo wanaye hatutakuwa na haja ya kuhangaika naye Bali...
114 Reactions
204 Replies
12K Views
1)Chama Cha ukombozi TANU +ASP=CCM Sera- Ukombozi,kupambana na Njaa ,maradhi,ujinga na umasikini ujamaa na kujitegemea. viongozi -Wafia NCHI. Wachache- Nyerere,Karume,Kawawa Aboud...
2 Reactions
7 Replies
116 Views
ETDCO, Sonelgaz ya Algeria zaibua fursa za ushirikiano katika usafirishaji na usambazaji umeme Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme nchini (ETDCO)...
0 Reactions
0 Replies
84 Views
Katibu Mwenezi wa Jimbo la Nsimbo mkoani Katavi, Pascal Anthony, amemshutumu Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, kwa kukiingiza chama hicho kwenye mpasuko mkubwa, kukataa maridhiano, na...
2 Reactions
32 Replies
454 Views
BARUA YA WAZI KWA MHESHIMIWA DKT. NASRA NASSOR Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Yah: Ombi la Kupata Ufafanuzi Kuhusu Maendeleo ya Utekelezaji wa Sheria ya Baraza la Wataalamu wa Kemia...
0 Reactions
1 Replies
78 Views
Sakata la kisheria linalomkabili mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), Melkisedeki Kaijage, limeendelea kuibua mijadala mipana nchini baada ya aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la...
15 Reactions
40 Replies
993 Views
Tuendelee Na Mtiririko wa Makala zetu. Kwenye Ulingo wa Siasa za Chama Tawala na Vyama Marafiki( Tanzania Tunaviita Upinzani) Ukimsikia Mtu anajiita Mwanaharakati tena yupo nje ya Mipaka ya...
2 Reactions
14 Replies
260 Views
CCM ⬇️ RAIS ⬇️ POLISI ⬇️ TISI ⬇️ MAGEREZA ⬇️ JW ⬇️ BUNGE ⬇️ MAHAKAMA
6 Reactions
20 Replies
278 Views
Mwenyekiti wa Tanzania peace foundation Taifa Godigodi sadick amewataka Watanzania kuwa makini na taasisi zisizo za kiserikali (NG'Os) zinazojivika mwamvuli wa kutetea haki za binadamu kwa kulinda...
0 Reactions
7 Replies
103 Views
My friends ladies and gentlemen, Sasa ni wazi, upekee wa kauli za makamu wa Rais wa Tanzania Dr.Emmanuel John Nchimbi katika masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa, umeendelea kua kiungo...
7 Reactions
55 Replies
480 Views
Hotuba ya Hayati Mwalimu Nyerere mwaka 1995 kuelekea uchaguzi Mkuu "Wako viongozi wakishindwa kupata sifa, kupata kura kwa sera, kwa kusimama, 'Wananchi tuchagueni kwa sababu mkishatuchagua...
0 Reactions
2 Replies
61 Views
Chapter 1 The Righteous Shall Live Long: Zambia's Presidential Legacy, Biblical Wisdom, and Tanzania's Democratic Crossroads Abstract The political history of Zambia offers one of Africa's most...
3 Reactions
2 Replies
83 Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, John Heche amedai kuwa jumla ya viongozi 51 wa chama hicho wamekamatwa na Jeshi la Polisi ndani ya siku mbili katika kanda...
1 Reactions
6 Replies
230 Views
Najaribu kufikiri ni sababu gani Chadema wameshindwa kujibu tuhuma za baadhi Wanachama zinazomkabili kiongozi wao Heche badala yake wanatupiana matusi ya kudhalilishana? Siku zote Tuhuma huwa...
10 Reactions
217 Replies
2K Views
C& p Nchi imepitia mengi hii
4 Reactions
26 Replies
396 Views
Sasa hivi, mitandao ya simu yote imekuwa shida, lakini tatizo kubwa lipo kwa mtandao wa Vodacom, mara simu haziendi, mara message haziendi, mara internet inakuja na kupotea. Wanasema matatizo...
0 Reactions
2 Replies
96 Views
Mwamko wa sasa baada ya kesi za uongo za ugaidi wanazofunguliwa viongozi wa Chadema Unatisha Unaambiwa hela zinamiminika kuliko mvua za elnino Hebu angalia hill fuba lililochangwa hadi sasa...
16 Reactions
53 Replies
780 Views
Enzi zile Polepole akifanya hikihiki tuliambiwa mengi sana, wengine walisema maigizo,wengine walisema ni shujaa tuliyemsubiri muda mrefu lakini hatukumlinda, kwa kuwa Yuda amekuja kuomba msaada...
11 Reactions
30 Replies
553 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…