Wananchi wasio wanaCCM na wanaCCM hawautaki utawala wake kabisa.
Kila analofanya linaonekana baya machoni pa wananchi.
Anaonekana machoni pa wananchi kama rais anayekumbatia mafisadi na...
Viongozi wetu kuweni wavumilivu muombeni sana Mungu, mjue kuwa mnavyojihudhuru mnalitia hasara Taifa na sisi Watanzania. Kuweni wavumilivu mwishoni mtavikwa taji la USHINDI
Taifa linaanza kuwapa...
Nina heshima kubwa sana na viongozi wa kikatolic waliomlea Nchimbi na Mpango. Hawa jamaa wapewe heshima kubwa,
Ni catholic church pekee ambalo limesimama na Watanzania
Ni hawahawa Catholic...
Wakuu, salaam.
Nimeisoma barua inayosemekana kuwa ya mwenyewe.
Nukuu: "Pia nilimhakikishia kuwa siku yoyote akiona anahitaji makamu mwingine wa Rais, nitaachia nafasi hii.
NIMEJIRIDHISHA...
Kutokana na kauli za nyuma nidhahiri Paul Christian Makonda akiwa Makamo wa Rais wa JMT.
Hii aina ubishi na aina comeback!
Ikishindikana Razaro Nyarandu anaweza akaukwa.
Over.
Kuna viongozi wanaotoka upande wa Tanzania bara katika serikali hii ya awamu ya sita chini ya Raisi Samia ambao wananchi wa Tanzania bara wanawaona kuwa wasaliti wakubwa wa Tanzania bara, au kama...
Tanzania kama nchi zingine tunayo tume ya maadili ipoipo mahala imetulia na huwa na wale wazee fulani hivi ambao wana mwelekeo mwingine.
Hata kwenye vyama vya siasa zipo kamati za maadili ambazo...
Tunaendelea kuuenzi Muungano wetu wa Tanzania, ambao baba yetu wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ndiye Muasisi.
Zanzibar kama upande mmoja wa Muungano tunawapa pongezi kwa kuendelea...
Ndugu wana-Jamii Forums,
Katika hali iliyoleta taharuki na mjadala mpana kwenye anga za kisiasa za ukanda wa Kusini mwa Afrika (SADC), mwanasiasa machachari na msomi kutoka Afrika Kusini, Dkt...
Ikiwa ni kweli kuhusiana na hizi taarifa kuhusu kujiuzulu kwa makamu wa Rais Dkt. Nchimbi, mtu anayefaa kwa uzoefu na uwezo alionao kupewa nafasi hiyo naona Dkt. Migiro, katibu Mkuu wa CCM kwa...
Wanabodi,
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni...
Wanabodi
Hii ni Makala yangu kwenye Gazeti la Nipashe.
Juzi na jana, Wahariri zaidi ya 200, ambao ni wanachama wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, toka vyombo vya habari vyote nchini, tumekutana kwa...
Mpaka sasa nikiyaangalia mahusiano ya Lissu na Mbowe napata utata kama ni washirika wa kisiasa ama ni mahasimu.
Lissu mara kadhaa alikuwa anasema cheo chochote atakachogombea Mbowe yeye...
Wanabodi,
Naomba anza kwanza kwa kumsikiliza VP Balozi Dr. Nchimbi
https://youtu.be/Y30BPBHftaE?si=Pv2DANsOj0BJmtn3
Kwa kauli kama hizi, kwa maoni yangu, kiukweli kabisa to be honest from the...
Amewahi kutokea wapi 'fighter' anayependa chakula kama huyu?!!! Anayekula mpaka anataka kupasuka?!!! Mi sielewi elewi tu.
Nawasilisha Huku nikiwa na Imani mliotembea na kusoma mtanielimisha...
Mambo yanayoendelea TANZANIA ni kwa sababu Farao amejaa kiburi kaona liwalo na liwe mfano kutumia vyombo vya kimaamuzi kuwatesa watu.Ni suala la muda huyu FARAO kuanguka na litakuwa anguko kubwa...
Johnson Yesaya, Mwanasheria kutoka Taasisi ya Sheria na Wakili - Jungu la Sheria Tanzania anaeleza kuwa:
Kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ibara ya 50(4): Makamu wa Rais...
As long as the system remains intact, all what is transpiring today, go down to the trench.
Ni ubatili mtupu! Nothing has been or will be achieved to get us out of this mauaji, utekaiji and the like!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.