Lee Van free
JF-Expert Member
- Aug 14, 2024
- 2,710
- 8,420
1)Chama Cha ukombozi
TANU +ASP=CCM
Sera- Ukombozi,kupambana na Njaa ,maradhi,ujinga na umasikini ujamaa na kujitegemea.
viongozi -Wafia NCHI.
Wachache- Nyerere,Karume,Kawawa Aboud Jumbe, Sheik Thabit Kombo n.k
2)CCM Halisi
Sera - Ujamaa na kujitegemea,kuinua maisha ya wakulima na wafanyakazi
Viongozi- Wafia NCHI.
Wachache-
Nyerere,Aboud Kumbe,Idris A dul Wakhil,Salim Ahmed Salim,Seif Sherif Hamad, Edward Sokoine, Jackson Makweta,Paul Sozigwa,n.k
3)CCM Ruksa
Sera-Ujamaa na kujitegemea Ruksa Wakulima wafanyakazi na wafanya Biashara Ruksa.
Ruksa kufanya kazi na kufanya biashara kiongozi wa serikali
Viongozi-Wafia nchi na Chama.
Ali Hassan Mwingi,John Malechela,Salmin Amour,Ali Ameir Mohamed,Shamsa Vuai,Nahodha,Augustin Mrema n.k
4)CCM Uuzaji mashirika
Sera -
Sera-Ubepari ubinafaishaji, Uwekezaji na uuzaji wa mashirika,makampuni na rasiliamali za umma kwa wawekezaji wa ndani na nje
Viongozi- Wafia Chama. Benjamin Mkapa,Ali Mohamed SheIn,John Malechela,Ali Omar Juma.
5)CCM Mtandao
Sera -Ufisadi, Upigaji na mishemishe,michongo, Madili na Uzandiki.
Richmond,Tegeta Escrow,Kagoda EPA,n.k
Viongozi-Wafia Kundi.
Jakaya Kikwete,Aman abeid Karume,Sumaye,Lowasa,n.k
6) CCM Sukuma Gang
Sera-
Wafia Chama.
Maendelea pamoja na Visasi,Ubabe,sifa,kukomoana,Utaifa,Umafia,uonevu,hazieleweki,Ukanda,Utekaji,kupotezwa.
Viongozi- John Magufuli,(Husein Mwinyi)(Majaliwa Majaliwa),Mwigulu,Makonda,Nape,
7)CCM MAFIA
Sera -Wafia Uongozi
Hakuna sera, Polisi State, Hakuna kuhoji,Mafia,Utekaji,Ugaidi,Ubakaji,mateso,ubambikaji kesi na kupotezwa,kupiga marufuku.n.k
Viongozi-
Samia Suluhu,Mwigulu,Makonda,Chalamila,Patrobas Katambi,Abduli,Mchengerwa n.k
TANU +ASP=CCM
Sera- Ukombozi,kupambana na Njaa ,maradhi,ujinga na umasikini ujamaa na kujitegemea.
viongozi -Wafia NCHI.
Wachache- Nyerere,Karume,Kawawa Aboud Jumbe, Sheik Thabit Kombo n.k
2)CCM Halisi
Sera - Ujamaa na kujitegemea,kuinua maisha ya wakulima na wafanyakazi
Viongozi- Wafia NCHI.
Wachache-
Nyerere,Aboud Kumbe,Idris A dul Wakhil,Salim Ahmed Salim,Seif Sherif Hamad, Edward Sokoine, Jackson Makweta,Paul Sozigwa,n.k
3)CCM Ruksa
Sera-Ujamaa na kujitegemea Ruksa Wakulima wafanyakazi na wafanya Biashara Ruksa.
Ruksa kufanya kazi na kufanya biashara kiongozi wa serikali
Viongozi-Wafia nchi na Chama.
Ali Hassan Mwingi,John Malechela,Salmin Amour,Ali Ameir Mohamed,Shamsa Vuai,Nahodha,Augustin Mrema n.k
4)CCM Uuzaji mashirika
Sera -
Sera-Ubepari ubinafaishaji, Uwekezaji na uuzaji wa mashirika,makampuni na rasiliamali za umma kwa wawekezaji wa ndani na nje
Viongozi- Wafia Chama. Benjamin Mkapa,Ali Mohamed SheIn,John Malechela,Ali Omar Juma.
5)CCM Mtandao
Sera -Ufisadi, Upigaji na mishemishe,michongo, Madili na Uzandiki.
Richmond,Tegeta Escrow,Kagoda EPA,n.k
Viongozi-Wafia Kundi.
Jakaya Kikwete,Aman abeid Karume,Sumaye,Lowasa,n.k
6) CCM Sukuma Gang
Sera-
Wafia Chama.
Maendelea pamoja na Visasi,Ubabe,sifa,kukomoana,Utaifa,Umafia,uonevu,hazieleweki,Ukanda,Utekaji,kupotezwa.
Viongozi- John Magufuli,(Husein Mwinyi)(Majaliwa Majaliwa),Mwigulu,Makonda,Nape,
7)CCM MAFIA
Sera -Wafia Uongozi
Hakuna sera, Polisi State, Hakuna kuhoji,Mafia,Utekaji,Ugaidi,Ubakaji,mateso,ubambikaji kesi na kupotezwa,kupiga marufuku.n.k
Viongozi-
Samia Suluhu,Mwigulu,Makonda,Chalamila,Patrobas Katambi,Abduli,Mchengerwa n.k