Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Tangu mwaka 1945, viongozi na watu mashuhuri wa kisiasa wamefikishwa mbele ya mahakama na mahakama maalumu za ndani na za kimataifa katika nchi mbalimbali duniani. Baadhi yao wamehukumiwa, huku...
1 Reactions
1 Replies
72 Views
Inasikitisha sana Kwa kweli kwa nchi ilipofikia. Imekua nchi ya mfano kwa miaka mingi. 1) Ilikuwa nchi ya mfano kwa kupigania haki ya watu wengine duniani kote walikokua wanaonewa na watawala wa...
8 Reactions
11 Replies
190 Views
Za chini chini ni waliwaweka wapima upepo wa uzinduzi wakaona hakuna mwenye mda nao wala kuongelea plan ikawekwa Chaap option ikaingia ni wanayemtumiaga kila siku sababu anapenda sana pesa Kutega...
7 Reactions
10 Replies
298 Views
Hizi ndizo ziwe salamu zetu za kwanza wapenda haki , Amani na mageuzi kila ufunguapo JF. SOTE TUSEME AMEN
5 Reactions
2 Replies
78 Views
Tarehe 25 Aprili 2026, Mzanzibari Samia Suluhu Hassan alizindua Meli ya Uvuvi kwenye maji ya kina kirefu, hadi sasa sijaona Samaki waloletwa. Eti Uchumi wa Bluu.. Meli ilitengenezwa kwa zaidi ya...
28 Reactions
97 Replies
1K Views
MWANACHAMA mkongwe wa TANU na CCM na Mbunge mstaafu wa Maswa, Mzee John Magale Shibuda maarufu ‘Drogba’, amemtaka Makamu wa Rais na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Dk. Emmanuel Nchimbi, kujitafakari...
0 Reactions
21 Replies
544 Views
Rais, mawaziri, viongozi na raia wote wanatoka kwenye familia. Familia ndio msingi wa Taifa kwakuwa tabia zote za viongozi na raia wa nchi zinazaliwa, kulelewa na kukoma kwenye ngazi ya familia...
0 Reactions
9 Replies
69 Views
Habari za wakat huu mwanaJF. Kwa wapenzi na wafuatiliaji wa siasa za Nchi hii nahisi leo imekua siku ya somo kubwa sana katika kuelewa siasa za mapambano ambazo Lissu amekua nazo kwa zaid ya...
8 Reactions
13 Replies
210 Views
Kama mnataka kuona nguvu ya umma ikoje basi fanyeni uthubutu wa kumdhuru John Heche au Tundu Antipass Lissu. Wananchi wana machungu moyoni juu ya taifa lao la Tanganyika halafu mnawatisha kupitia...
15 Reactions
71 Replies
999 Views
  • Redirect
Mkimuona Mbowe popote pale, awe kwenye Mradi wa Serikali, awe añaupiga picha na Samia, Awe kwenye chombo chochote cha habari, MPUUZENI, MSIMUONGELEE KWA NAMNA YOYOTE ILE. Hana jipya, keshajifia...
0 Reactions
Replies
Views
Kwa hatua aliyofukia Lisu akiachiliwa au akinyongwa Bado credits zote zinarudi kwake na chama chake maana wamechagua haki na ukweli Lakini waswahili wanasema heri nusu shari kuliko Shari kamili...
5 Reactions
4 Replies
101 Views
Wakuuu, Yaan Samia na Genge lake , wanachofanya ni Kujaribu Kumuumiza Lissu kiakili ...….... Huuu ni Ujinga kwa kwa sababu Lissu sio wa kupiga Magoti . Lissu ni Mtanzania aliyetayari Kufa so long...
11 Reactions
21 Replies
208 Views
Kwa mujibu wa afisa mtendaji mkuu wa New Habari ambao ndio waajiri wa Kibanda ndugu Hussein Bashe, yupo mwanasiasa aliyetangaza vita ya wazi na waandishi wa habari kwa kuwa eti ni kikwazo kwa...
7 Reactions
85 Replies
11K Views
Katika kipindi cha Dakika 45 ITV Mh Membe anaonekana kuongea kwa hisia na uwazi sana kuhusu maisha yake ya kisiasa pamoja na mvutano uliopo kati yake na mahasimu wake. Anasema iko siku atawataja...
17 Reactions
658 Replies
102K Views
Picha aliyoisemq Tundu Lissu ni hii kwamba akiwa Tarime alipigwa na Polisi mpaka wakachana Kombati yake. Hii Kombati ilivyo ngumu inakuwaje wanampiga mpaka kuichana? Yawezekana walikuwa...
14 Reactions
27 Replies
333 Views
HAYA makabila ni Malaya kama Malaya wengine, Leo mbowe anaenda DSM kwenye uzinduzi wa bwawa la umeme na anadai ana haraka kuondoka anawai ndege anashindwa kwenda ukonga kumwona mwenyekiti wake wa...
7 Reactions
18 Replies
599 Views
Tangu saa kumi mpaka sasa tunasubiri kuangalia mechi kati ya Azam na Pamba Jiji. Umeme umekatika nchi nzima. Habari tulizoambia kuna mega watt 2115 ni kama kupiga ndulu tu.
4 Reactions
23 Replies
424 Views
Wanabodi Utangulizi Kuhusu Mashuhuri na Maarufu Mtu mashuhuri nambari moja, kwenye nchi yoyote ni mkuu wa nchi, rais, ila kunaweza kuwa na mtu mwingine ambaye sio mashuhuri, na akawa ni maarufu...
64 Reactions
132 Replies
2K Views
Ni zile nywele alizoamua kufuga. Kisha baada ya hapo ndo atolewe. Naomba kuwasilisha ndugu wanaJF
0 Reactions
1 Replies
46 Views
Back
Top Bottom