Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

On JF:

Baada ya kuangalia tension kubwa ya kisiasa nchini na namna tulivyofika hapa basi baada ya chama cha Mapinduzi walimu hawawezi kukwepa lawama za kuharibu Nchi. Amani iwe nanyi
3 Reactions
6 Replies
107 Views
Tujifikirishe kidogo kwa nini Tanzania ni nchi masikini kwa kiasi hiki kuliko hata Kenya pamoja na rasilimali zake zote hizi. Tatizo ni utaratibu mbovu wa utawala wetu aka katiba mbaya. Katiba...
5 Reactions
2 Replies
89 Views
Kauli ya Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, kwamba Watanzania tunapaswa kupambana kupata Katiba Mpya ni kauli kubwa na yenye uzito mkubwa kisiasa. Soma Dkt. Nchimbi: Hakuna sheria inayotengua...
15 Reactions
81 Replies
1K Views
Elimu ya Hisa, Hati Fungani, Uwekezaji n.k. 🎙️ Sikiliza MAELEZO PODCASTS — Tupo kwenye audio channels zote 📌 Spotify...
0 Reactions
2 Replies
71 Views
Mwaka 235 A.D kule Roma aliuwawa Kaisari aitwaye Severus Alexander. Aliuwawa kwa hila za majasusi wake waitwao The Praetorian Guard ambao walikuwa ndiyo kikosi cha ulinzi na ujasusi cha watawala...
117 Reactions
157 Replies
8K Views
Mmegundua kua Vyombo vya HABARI vimefuta hotuba ya NCHIMBI katika mitandao ya Kijamii? Sasa huyo ndio NCHIMBI aliyepinga Utekaji pamoja na Mauaji. Cha Kumfanya hawana Akili yake ni Kubwa kuliko...
10 Reactions
57 Replies
1K Views
Msikilize HECHE akidadavua moja wapo ya kauli ya Nchimbi kuhusu Katiba mpya
5 Reactions
16 Replies
363 Views
Mbio ndefu zinaanza kidogokidogo ili kuhifadhi nguvu za kumalizia https://youtu.be/_grDI6frFtI?si=lxjChaUFa8fldjfm
0 Reactions
1 Replies
51 Views
Hakika nchi hii uhuru umepitiliza sana. msikilizeni huyu naye.
4 Reactions
31 Replies
567 Views
  • Redirect
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA John Heche amesema kuwa chama hicho kitayaandikia mashirikisho makubwa ya mpira duniani FIFA na CAF kwa ajili ya kuyapatia taarifa za uwepo wa magaidi nchini. Kauli...
0 Reactions
Replies
Views
Naiona hatari kubwa ya kuua elimu ya juu Wanasiasa badilikeni, bado mapema.
1 Reactions
13 Replies
299 Views
Umetumwa kutuuza, unasema tutoke tupambanie Katiba ili tufe wakati Katiba unayo kabatini na 'ufunguo unao'. Unataka Wanaharakati warudi ili uwauze wakamatwe unataka kuwauza vijana wafe halafu...
4 Reactions
10 Replies
205 Views
Wanabodi, Hii ni Makala yangu ya Kwa Maslahi ya Taifa Jumapili ya leo, Tarehe 19 Mwezi Machi, ambapo leo ndio miaka miwili kamili ya Rais Samia madarakani, aliapishwa kuwa Rais wa Tanzania siku...
6 Reactions
27 Replies
2K Views
Haya ndiyo madhara ya Elimu mbalimbali; Mtu level za akina Bashite na Baba Levo lakini kutwa kuchwa kujikuta kukimbilia tu PhD pasipo kujua uzito wa hadhi hiyo kitaaluma. 🚮🚮🚮
5 Reactions
8 Replies
277 Views
Wadau, Nimepata data muda si mrefu. Inasikitisha ila habari ndiyo hiyo Rais mstaafu Alhaj Ali Hassan Mwinyi leo jumanne pale katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam amelambwa kofi...
0 Reactions
429 Replies
69K Views
Shehe Mwaipopo mmiliki wa makundi ya kigaidi Kashfa ya shehe wa Dar na utenguzi Mtangane wa Ostaz Juma na Kishk Tamasha la bongo fleva Vituko dhalili vya kukata miuno vya Mwandambo Speech ya...
20 Reactions
29 Replies
596 Views
Hebu jaribu kidogo kufikiri hili; KWAMBA; Ana Rais yuko madarakani na yeye ni Makamu wake, yaani kiongozi mkuu wa serikali Na. 2... Na, chama chao ndicho kiko madarakani, kinaongoza serikali...
2 Reactions
6 Replies
213 Views
Nauleta mjadala huu unaogusa kiini cha unyonyaji na usaliti wa kiuchumi hapa Tanganyika, ambapo rasilimali za umma zimegeuzwa kuwa mali ya watu wachache na washirika wao wa kigeni. Nitachambua...
17 Reactions
58 Replies
890 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, John Heche, amewajia juu wanataaluma na wanafunzi wa vyuo vikuu nchini kwa kuendelea na masomo kama kawaida wakati mwenzao, Mhadhiri Melkisedeki Kaijage wa Chuo Kikuu...
13 Reactions
31 Replies
724 Views
Back
Top Bottom