Jukwaa la Lugha

Swahili, English languages special forum. Jifunze Kiswahili (Learn Swahili)
Habari jf, Hivi naomba kuuliza, hili suala la kuenzi kiswahili ni la mtu mmoja au la kitaifa? Na kama ni la kitaifa mbona mawaziri hasa huyu wa mambo ya nje ambaye nimemsikiliza sana kwenye...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Unaweza kudanganya watu wote katika Taifa kwa muda Fulani, lakini huwezi kudanganya watu wote muda wote, ELEZEA.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ni j.pili njema wakuu, Poleni na majukumu ya and natumaini mambo yanenda kama alivyoyapangilia huyu alieshikilia mbingu huko juu bila kuweka nguzo. Dhumuni la uzi huu ni kuhusu holi neno...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nashangaa!! napoambiwa lugha yetu ni kiswahili wakati huo; Kwenye maombi ya kazi karibu yote nchi nzima wanatoa kwa kingereza,taarifa au tangazo flani labda unakuta mabadiliko ktk sector...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Uandish kwa lugha yetu unaelekea kupotoshwaUandishi kwa lugha yetu unaelekea kupotoshwa, achana na ile mtu kupunguza herufi ila neno litaeleweka na halitakua na utata mfano; Dsm-=Dar es Salaam...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
naomba kufahamishwa risala kwa kiingereza inaitwaje? ahsanteni
1 Reactions
4 Replies
13K Views
Habari zenu wanajamii forum,natumaini ni wazima wa afya Nilikuwa naomba kwa yeyote yule mwenye kitabu kimoja kinaitwa ELFU LELA ULELA aniwekee attachment ili niweze kuidownload maana kitabu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hi, Wakuu naomba mnielimishe maana ya AIRPORT kwa kiswahili tafadhali... Naipenda lugha yangu ya kiswahili, hivyo napenda ninapozungumza lugha hii nisichanganye na lugha ya kigeni...
0 Reactions
47 Replies
8K Views
Haya ni baadhi tu ya maneno ya kiswahili ambayo ukiwa tanga utayasikia tofauti kidogo 1. Nakuja - Naja 2. Unaenda- waenda 3. unanichokoza- Wanchokoza 4. unataka - Wataka 5. Mama mdogo - Odo 6...
0 Reactions
10 Replies
9K Views
Mapokezi ya kale ya hayo makabila tajwa hapo juu ’ yaliweza kuchukua sehemu moja ya Fasihi simulizi ambayo ilitumbuiza, nasihi, taanasi, sherehesha, kutoa taazia na kwa malengo mengineyo...
0 Reactions
12 Replies
8K Views
habari za muda huu wana jamvi, wakuu naombeni mnidadavulie kidogo tofauti ilyopo kati ya Binadamu na Mwanadamu make hapa nilipo kumetokea mvutano kidogo wa watu upande mmoja ukiwa unasema...
2 Reactions
23 Replies
10K Views
Naomba msaada wa tofauti ya haya maneno mawili magonjwa na maradhi.
0 Reactions
3 Replies
7K Views
Leo tujifunze lugha teule ya Kiswahili. 1. password- Nywila. 2. juice - sharubati. 3. chips - vibanzi. 4. PhD - uzamifu. 5. Masters - uzamili. 6. Degree - shahada. 7. Diploma - stashahada. 8...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
MWENDO KASI. 1)ni vu zaidi ya honda,hivyo ndivyo wavyoona. Vitambi vya zidi konda,vinakufa vya kunona. Ndo tunda walilopanda,kuleni acha kununa. Huo ndio mwendo kasi,karibia utazima. 2)sasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nadhani mko poa. Habari zenu wakuu na wajuzi wa lugha,mimi japo ni mswahili na kiswahili ndio lugha ambayo hata ndotoni ndio naitumia nina matatizo makubwa sana ya kutumia lugha hii kwenye simu...
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Ngazi kwa kiingereza inaitwaje ..je kupanda ngaz kwa kiingereza utasemaje
0 Reactions
43 Replies
17K Views
Watu wengi nimewasikia wakitamka neno 'embu' na kwa upande mwingine nimewasikia wakisema 'ebu' na wengine pia 'hebu' mfano; Mtu wa 1:embu niletee maji Mtu wa 2:ebu niletee maji Mtu wa 3:hebu...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Jaman naomba kujua nini maana ya OLE?
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Wataalam wa lugha, Naombeni mnipe tofauti ya maneno hayo hapo mawili.Ninaangalia namna ya kuandaa utetezi wa Lissu na kumchomoa makuchani mwa wabaya wake.
0 Reactions
1 Replies
9K Views
Wadau jina mseke ni jina la kabila gani? Much thanx in advance
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Back
Top Bottom