mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 22,322
- 56,058
Kuna watu wamekuwa wakijadili umahiri wa Lugha ya Malkia kwa MTUKUFU MHESHIMIWA RAIS DOKTA Magufuli.
Lakini kiukweli tatizo halipo katika Lugha ya malkia bali Lugha kwa ujumla
Ukimsikiliza kiswahili chake sio standard anatafuna maneno na mengine hawezi kuyatamka ana misamihati michache sana ya kiswahili
wataalamu wa linguistic pale BAKITA na TUKI fanyeni kazi yenu
Mungu amegawa vipaji tofauti,kujua lugha ni kipaji ila hata wasio na kipaji wakipigwa msasa wanakuwa na angalau.
Lakini kiukweli tatizo halipo katika Lugha ya malkia bali Lugha kwa ujumla
Ukimsikiliza kiswahili chake sio standard anatafuna maneno na mengine hawezi kuyatamka ana misamihati michache sana ya kiswahili
wataalamu wa linguistic pale BAKITA na TUKI fanyeni kazi yenu
Mungu amegawa vipaji tofauti,kujua lugha ni kipaji ila hata wasio na kipaji wakipigwa msasa wanakuwa na angalau.