Freddy81
Member
- Feb 3, 2009
- 99
- 3
Haya ni baadhi tu ya maneno ya kiswahili ambayo ukiwa tanga utayasikia tofauti kidogo
1. Nakuja - Naja
2. Unaenda- waenda
3. unanichokoza- Wanchokoza
4. unataka - Wataka
5. Mama mdogo - Odo
6. Mama mkubwa - Mkuu
Hayo ni baadhi tu, bado hiyo lafudhi yao yani utapenda kuwasikiliza.. Lkn je ni kiswahili fasaha?
1. Nakuja - Naja
2. Unaenda- waenda
3. unanichokoza- Wanchokoza
4. unataka - Wataka
5. Mama mdogo - Odo
6. Mama mkubwa - Mkuu
Hayo ni baadhi tu, bado hiyo lafudhi yao yani utapenda kuwasikiliza.. Lkn je ni kiswahili fasaha?