Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

On JF:

wakuu naomba msaada wa website zenye mambo ya eco-tourIsma ya Tanzania THANKS NA HERI YA MWAKA MPYA WANA JF
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bodi ya Mikopo yawakana wanafunzi na Fauzia Hassan na Magreth Mkwera BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
DC Mbozi aingilia kati sakata la walimu na Moses Ng'wat, Mbeya HATIMAYE sakata la walimu 12 wa Shule ya Msingi Chindi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
UDSM watishia kugoma na Mwandishi wetu WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) wametishia kugoma kuingia...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
LONDON- A primary school science project has for the first time appeared in Biology Letters on Wednesday, which is an internationally recognized peer-reviewed academic journal. The research was...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakubwa,kwa wale wanaotafuta material kadha wa kadha,munaweza tembeleaAfroIT E Learning Page kwa ajili ya vitabu mbalimbali ambapo una uwezo wa kusoma online.Tunajitahidi kuhakikisha tunaweka...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ushirikina wakimbiza walimu Mbozi na Moses Ng'wat, Mbeya WALIMU 12 wa Shule ya Msingi Chindi iliyo wilayani Mbozi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Pata notes za kujisomea katika .pdf, .doc na .ppt toka hapa Document Search engine. Free unlimited pdf, doc, ppt search and download.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
tangu nilipoanza kufuatilia huu mtandao wa "great thinkers",nimegundua wengi hawaipendi UDOM,hatakama kuna positive moves za kiuanaharakat,nawasilisha
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Gazeti la habari leo linatuhabarisha ya kuwa zaidi ya asilimia sitini ya wanafunzi wa Chuo Kikuu kikongwe kulikoni vyote cha UDSM kina ukosefu mkubwa wa vitanda vya kulalia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Aman ya Utanzania iwe nanyi wanaJF, Ndugu zangu juzi nilikua katika safari ndogondogo za mwisho wa mwaka huku mikoa ya nyanda za juu kusini katika mikoa ya Rukwa, Mbeya ,Ruvuma na Iringa...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Ndugu wanaJF, nilikuwa Algeria kwa wiki moja hivi na huko nimeonana na baadhi ya Watanzania, ambao wameamua kufanya kazi huko kuliko kurudi Tanzania kwa kile walichodai "viongozi wetu ndio...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Serikali iyafanyie kazi maoni ya HakiElimu Janet Josiah WALIMU ni kiungo muhimu katika sekta ya elimu nchini kuanzia...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Salaam wana JF., Yamepita ya UDOM na MUHIMBILI Univ. kumtununuku udokta mkwere., Mzumbe University ndio wanafanya mahafali leo., Tutarajie nini kutoka kwao ukizingatia kuwa ni chuo maswahiba wa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kwa miaka mingi, Mfumo wa utawala wa siasa umeomanishwa na utawala wa serekali. kwa namna hii tofauti na nchi kama Ethiopia, wananchi wa Tanzania kwa kupitia serekali yao, mashirika ya umma na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Serikali yasalimu masharti Udom Wednesday, 22 December 2010 19:49 Habel Chidawali na Masoud Masasi, Dodoma HATIMAYE Serikali imesalimu amri kwa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MKUU wa Wilaya ya Uyui mkoani Tabora, Stanley Kolimba, ameshtushwa na taarifa kuwa Shule ya Msingi Mbuyuni katika Kata ya Kigwa, ina wanafunzi 584, walimu sita, vyumba vya madarasa viwili na vyoo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bara la Afrika limekuwa likikumbwa na matatizo yanayofanana mfano: angalia Ivory coast, Zimbabwe, Kenya, Sudan na kwingine. imefika wakati baadhi ya watu wanajiaminisha kwamba hali hii inatokea...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
"Wanafunzi darasa la saba 2010 wasiojua kusoma na kuandika, wamefaulu kujiunga kidato cha kwanza 2011 kwa asilimia zaidi". Haya ni maandalizi ya vibaraka au maprofesa katika TZ ya leo na ya kesho?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom