"Wanafunzi darasa la saba 2010 wasiojua kusoma na kuandika, wamefaulu kujiunga kidato cha kwanza 2011 kwa asilimia zaidi". Haya ni maandalizi ya vibaraka au maprofesa katika TZ ya leo na ya kesho?
si wote kuwa hawajui kusoma, na kama wasingejua kusoma wasingefaulu maana wasingeweza kusoma hata kujibu hayo maswali ya mitihani.
kwa hiyo walio faulu kwa ujumla wanajua walau kusoma kama hawakuchakachua huo mtihani.
Changamoto iliyopo kwao ni kama watapata walimu wazuri na wakutosha mashuleni kwao huko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.