Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri.
Kwanza tumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutupa zawadi ya afya njema kwa siku ya leo.
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu, Wadau wa twitter, kuna hili hapa...
Naomba kuuliza chuo kina dai ada 875000 ya semister 2 tena kwa nguvu hali ya kua vyuo vinefungwa n haijulikan vitafunguliwa lini na hiyo semister haijaanza halaf wanasema kua wanafunzi walipe...
Nilituma maombi kwa njia ya online kwa kozi ya Clinical medicine naomba mnipe njia mbadala za kufany I'll nipate chuo cha serikali
Natanguliza shukrani kwenu
habarini humu ndani? ningependa kufahamu au kupewa maelezo kwa yeyote atayokuwa nayo, kuhusiana na akaunti za udom kutokufunguka na kuambiwa tumekosea passowrd ilihali password azjakosewa and pia...
Nimeomba chuo fulani lakini nilipoangalia tena taarifa zangu baada ya kufanya submission nikakuta kwamba nimekosea tarehe ya kuzaliwa(nimechanganya mwezi na tarehe). Lakini kwenye kipengere cha...
Mkurugenzi Wa TCU amedai kuwa asilimia 70 ya wahitim kidato cha sita kuna uwezekano mkubwa Wa kushindwa kupangiwa vyuo kutoka na taarifa zao kuwa kinyume na zile za maombi ya mkopo,haidha...
wakuu naombeni mnisaidie tofauti kati ya chuo cha wanyamaa pori mweka na chuo cha wanyam pori pasiansi na kwanin mweka ada yao ni kubwa sna? Msaada wenu wakuu
Mtu mwenye Masters ya Nursing for possible connection ya PhD. Nimeongea na Prof. already so that means mguu mmoja ndani tayari sababu PhD nyingi za USA connection ni muhimu na Prof akisema...
Naomba kuuliza kuhusu wanafunzi walio pangiwa kwenda vyuo kwa mwaka huu,nahisi wengi wao wamepangiwa kwenda kusoma course ambazo hawaja panga kusomea katika maisha yao wengine wanaweza wakawa na...
Mkuu yaani huwezi kuamini, kule NACTE ambapo viana wetuwanaomba nafasi za Masomo, kuna namba za simu zaidi ya 11 lakini hakuna anayepoke. Matokeo ya Kidayp cha sita yaliyotoka leo NACTE hawana na...
1264Mimi ni mwanafunzi nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nina malengo ya kusomea ACCOUNTANCY ila nimebaki njia panda kwa kutokuelewa wapi niende either chuo au advance maana nasikia advance...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.