Je tumefika mahali ambapo tulitaka kufika kama Taifa? Je hapa tulipo ndipo wazazi wetu waliposimama kulilia uhuru na kuwa Taifa walitarajia ndipo tungekuwa? Je hapa tulipo ndipo kwa haki yote...
Hi, everybody!
Nimekuona nikiona nafasi nyingi (si nafasi za kazi) zimekuwa zikitokea siku za hivi karibuni, hapa Tz na nje, lkn wengi wamekuwa wakizikosa nafasi hizo k/sbb ya kutokuwa na taarifa...
Is the Commonwealth relevant?
President Yoweri Museveni will next week host the Commonwealth head of governments meeting in Uganda.
The summit is held every two years and will discuss the...
Thousands of people have marched to the Justice Department in Washington to call for stronger action against racially motivated crimes.
Civil rights leaders organised the demonstration following...
Raia mwema
Nchem Nchicheme? Novemba 14, 2007
KWAMBA kuna daktari mmoja au wawili, au watatu wamefanya uzembe wa hatari kwa maisha ya mgonjwa, hakuna mjadala. Hakika, uzembe uliosababisha...
Mapema leo asubuhi nimetumiwa e mail na wanafunzi wa kitanzania wanaosoma kule nchini china wakiwa na matatizo ya kutokupelekewa pesa na bodi ya mikopo tangu mwezi wa saba.
naiweka hapa e mail...
November 2007
The first ever comprehensive global study of protection of journalists' sources has found that there is widespread legal recognition of the right around the world...
Kuna mtu kanitumia ujumbe kwamba kuna apprentice Africa ambayo inandaliwa na wanaigeria sijui dili au ni usaanii lakini ukita maelezo zaidi nenda google kisha google neno The apprentice Africa...
SIKUJUA JAMBO FORUMS NI DEAL........
Lowassa,JK wa mnunua Mwanakijiji Bei Mbaya kuhusu Picha Chafu za kashifa na ushaidi mwingi aliyo nayo MWJ kuhusu viongozi hao na wengine ,kwahiyo wameamua...
Nimepata simu muda mfupi toka kwa Mzee mmoja mida hii na katika maongezi yetu kasema ziara za mawaziri wa JK katika kuelezea bajeti waliishia kuongea na madiwani kwa mikutano ya ndani maana...
USEMI wa Rais Jakaya Kikwete, alipochukua uongozi wananchi, kwamba anakusudia kuendesha uongozi wake
akijenga katika yale yaliyofanywa na mtangulizi wake, Rais mstaafu Benjamin Mkapa, unaweza kuwa...
Ndugu zangu watanzania wote mnaomiliki magari hizi ni bei mpya kupata new motor vehicle lecence pamoja na registration za magari pale TRA Bei imepanda kwa asilimia 95%.
Hivi kweli tutafika...
Uingereza yaadhimisha kumbukumbu ya mashujaa
Mwandishi Wetu
HabariLeo; Monday,November 12, 2007 @00:06
SERIKALI ya Uingereza jana iliadhimisha kumbukumbu ya mashujaa wa nchi wanachama wa Jumuiya...
This is very encouraging, but I don't know how did they come up with $5.2 billion
Money transfers to EA hit $5.2b, account for 4pc of GDP
By KEVIN J. KELLEY
Special Correspondent
THE EAST...
Je hii site imevurugika au... maana siwezi kuipata kirahisi, kuna yeyote yule mwingine ambaye anapata tatizo?!
Nauliza kwani kama site nyinginezo zinazotembelewa na Watanzania wengi itakuwa...
sijaona salam za rambi rambi za chama makini juu ya huu msiba kama chama, jee ndio hauwahusu? ndio mafisadi hawastahiki kupewa mkono wa pole?
...Lipumba, Makamba wamlilia
Na Mwandishi Wetu...
Nimepata mail iliyo na tuhuma kuhusiana na BOT.Je kuna ukweli wowote kwenye mail hii|?
Hii ni habari halisi na ya uhakika kutoka ndani ya BOT. Je unawajua walioajiriwa kusimamia uchumi wa nchi...
Mimi sio mpenzi wa kusoma magazeti, ni mtu ninayependa kuangalia vichwa vya habari tu kisha huyo naacha sisomi tena, kama kusoma basi kuna waandishi ambao nimejijengea mazoea ya kusoma maoni na...
Hapo mwanzo niliwahi kuandika kuhusu YouTube na hati miliki haswa za sanaa zetu hapa Tanzania, tangia hapo nimekuwa mpenzi kutembea YouTube kuangalia sanaa mbalimbali haswa za miziki kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.