Binti Maria
Senior Member
- Jun 26, 2007
- 158
- 33
Imehaririwa, inasubiri picha!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature currently requires accessing the site using the built-in Safari browser.
Imehaririwa, inasubiri picha!
Katika yote, kilio changu kikubwa ni ukubwa wa baraza la mawaziri. Tafadhali mheshimiwa punguza baraza hilo. Ni mzigo mkubwa kwa sisi walipa kodi.
Jamani,
Hii habari sio kweli, baraza la mawaziri haliwezi kuvunjwa saa sita usiku.
Nafikiri JF imeingiliwa na virus, inatakiwa tujitahidi kupata anti-virus vinginevyo JF itaharibika.