Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

  • Poll Poll
Kila siku tunalia hali ngumu ya uchumi,mara vigogo wanaiba fedha ya nchi yet tunawafahamu hata kwa majina mmojammoja lakini najiuliza inakuwaje wakati wa uchaguzi tunawachagua hao hao tunaowaoita...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Serikali imeiagiza Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) kuzifanyia uchunguzi wa kina asasi zisizo za kiserikali (NGO`s) zinazosamehewa kodi kwa kuwa baadhi yao zinafanya biashara. Aidha, imeiagiza...
0 Reactions
17 Replies
5K Views
Inasikitisha sana kuona Kampuni hii yenye dhamana ya moja kwa moja na maisha ya watu imeweza kukiuka maadili yake kwa kiwango cha juu sana. Nimeona niweke hii thread hapa JF ili tuijadili maada...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Kwa muda sasa nimekuwa najiuliza uzuri wa CCM kumpa heshima huyu Seif . Kapewa mafao yote na ulinzi nk .Najua haki hizi ni zake tangia mwanzo hata kama alikuwa upinzani lakini kwa CCM na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Aibu tupu Dodoma 2007-11-07 15:40:07 Na Mary Edward, Dodoma Licha ya kinyang`anyiro cha uchaguzi wa Chama cha Mapinduzi CCM, kumalizika salama, lakini aibu zilizotokea huko zimebaki...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kama uko UK una access na Channel 5. Kuna programme ya Blood Diamonds kwa muda wa saa nzima imeaanza 2000Hrs. Worth watching, you never know....
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ni hakika kuwa CCM imepoteza mwelekeo. Viongozi na makada wake. Nimekata tamaa kiasi cha kuombea waondolewe madarakani haraka. Sina shaka na vyama shindani vya CCM, japo ni vichanga lakini...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Je tumefika mahali ambapo tulitaka kufika kama Taifa? Je hapa tulipo ndipo wazazi wetu waliposimama kulilia uhuru na kuwa Taifa walitarajia ndipo tungekuwa? Je hapa tulipo ndipo kwa haki yote...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Hi, everybody! Nimekuona nikiona nafasi nyingi (si nafasi za kazi) zimekuwa zikitokea siku za hivi karibuni, hapa Tz na nje, lkn wengi wamekuwa wakizikosa nafasi hizo k/sbb ya kutokuwa na taarifa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Is the Commonwealth relevant? President Yoweri Museveni will next week host the Commonwealth head of governments meeting in Uganda. The summit is held every two years and will discuss the...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Thousands of people have marched to the Justice Department in Washington to call for stronger action against racially motivated crimes. Civil rights leaders organised the demonstration following...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Raia mwema Nchem Nchicheme? Novemba 14, 2007 KWAMBA kuna daktari mmoja au wawili, au watatu wamefanya uzembe wa hatari kwa maisha ya mgonjwa, hakuna mjadala. Hakika, uzembe uliosababisha...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mapema leo asubuhi nimetumiwa e mail na wanafunzi wa kitanzania wanaosoma kule nchini china wakiwa na matatizo ya kutokupelekewa pesa na bodi ya mikopo tangu mwezi wa saba. naiweka hapa e mail...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
November 2007 The first ever comprehensive global study of protection of journalists' sources has found that there is widespread legal recognition of the right around the world...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna mtu kanitumia ujumbe kwamba kuna apprentice Africa ambayo inandaliwa na wanaigeria sijui dili au ni usaanii lakini ukita maelezo zaidi nenda google kisha google neno The apprentice Africa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
  • Closed
SIKUJUA JAMBO FORUMS NI DEAL........ Lowassa,JK wa mnunua Mwanakijiji Bei Mbaya kuhusu Picha Chafu za kashifa na ushaidi mwingi aliyo nayo MWJ kuhusu viongozi hao na wengine ,kwahiyo wameamua...
0 Reactions
86 Replies
12K Views
Nimepata simu muda mfupi toka kwa Mzee mmoja mida hii na katika maongezi yetu kasema ziara za mawaziri wa JK katika kuelezea bajeti waliishia kuongea na madiwani kwa mikutano ya ndani maana...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
USEMI wa Rais Jakaya Kikwete, alipochukua uongozi wananchi, kwamba anakusudia kuendesha uongozi wake akijenga katika yale yaliyofanywa na mtangulizi wake, Rais mstaafu Benjamin Mkapa, unaweza kuwa...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
Ndugu zangu watanzania wote mnaomiliki magari hizi ni bei mpya kupata new motor vehicle lecence pamoja na registration za magari pale TRA Bei imepanda kwa asilimia 95%. Hivi kweli tutafika...
0 Reactions
25 Replies
8K Views
Back
Top Bottom