Jeshi kufanya mazoezi ya kivita

Kaitaba

JF-Expert Member
Jun 30, 2009
916
52
Kuna tetesi kuwa jeshi linatarajia kufanya mazoezi ya kivita mkoani pwani wiki ijayo,

Pia inasemekana kuwa yatakuwa niya usiku na mchana, kwa wiki nzima,

Pia wavuvi wametakiwa kutovua ktk siku hizo zote, familia sijui zitaishi vipi,

Wenye data zaidi watujulishe, hayo mazoezi ya kivita ni ya nini kwa wiki nzima?
 
Du!
Labda ni kuharibu mabomu zaidi yanayokaribia kuekspaya!
Si Unajua nchi yetu inaendeshwa na matukio mzee...Ishu ya Mbagala ndo imetuamsha usingizini.
Acha wafanye bana kuliko kutuulia ndugu zetu na kuharibu majumba yetu.
 
Kuna tetesi kuwa jeshi linatarajia kufanya mazoezi ya kivita mkoani pwani wiki ijayo,

Pia inasemekana kuwa yatakuwa niya usiku na mchana, kwa wiki nzima,

Pia wavuvi wametakiwa kutovua ktk siku hizo zote, familia sijui zitaishi vipi,

Wenye data zaidi watujulishe, hayo mazoezi ya kivita ni ya nini kwa wiki nzima?

Yaani kama itakuwa kweli basi wanataka kuteketeza silaha zilizokuwa zimeexpire.

Verry good idea nahisi wanajipanga na mahakama ya Kadhi
 
Kuna tetesi kuwa jeshi linatarajia kufanya mazoezi ya kivita mkoani pwani wiki ijayo,

Pia inasemekana kuwa yatakuwa niya usiku na mchana, kwa wiki nzima,

Pia wavuvi wametakiwa kutovua ktk siku hizo zote, familia sijui zitaishi vipi,

Wenye data zaidi watujulishe, hayo mazoezi ya kivita ni ya nini kwa wiki nzima?
Kuna waheshimiwa nimewapigia simu muda si mrefu wamenambia watanifahamisha ukweli wa habari hii. Sintosita kuwafahamisha kama ni tetesi ama ni kweli kwani ni vema jamii kuwa na taarifa ya tukio kama hili.

Regards,

Maxence
 
Kuna tetesi kuwa jeshi linatarajia kufanya mazoezi ya kivita mkoani pwani wiki ijayo,

Pia inasemekana kuwa yatakuwa niya usiku na mchana, kwa wiki nzima,

Pia wavuvi wametakiwa kutovua ktk siku hizo zote, familia sijui zitaishi vipi,

Wenye data zaidi watujulishe, hayo mazoezi ya kivita ni ya nini kwa wiki nzima?

hivi punde nimeona ndege za kivita zikipiga jaramba katika anga la morogoro, sina hakika kama nazo zinahusika katika mazoezi hayo!
 
hivi punde nimeona ndege za kivita zikipiga jaramba katika anga la morogoro, sina hakika kama nazo zinahusika katika mazoezi hayo!

Habari ya Morogoro Mkuu?

Hapa katika kambi ya Kaboya kuna pilikapilika za hapa na pale!
 
Ni kawaida JWTZ kufanya mazoezi ya kivita kila mwaka(kutegemea na bajeti ya jeshi) yakihusiha commands zote, hii nafikiri ni lile la kila mwaka wandugu. Na tangu nimefahamu kwa infantry wanafanyia Msata mkoa wa Pwani kila mwaka. Na mazoezi ya kila command nayo hufanyika kila mwaka na kila command inapanga yenyewe ifanyie mkoa gani.
 
Hapa tatizo ni njaa itakayowapata wavuvi kwa wiki nzima, kwanini wasifanye siku moja moja badala ya kufanya mfululizo?
 
Back
Top Bottom