Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Kuna tetesi kuwa jeshi linatarajia kufanya mazoezi ya kivita mkoani pwani wiki ijayo,
Pia inasemekana kuwa yatakuwa niya usiku na mchana, kwa wiki nzima,
Pia wavuvi wametakiwa kutovua ktk siku hizo zote, familia sijui zitaishi vipi,
Wenye data zaidi watujulishe, hayo mazoezi ya kivita ni ya nini kwa wiki nzima?
Pia inasemekana kuwa yatakuwa niya usiku na mchana, kwa wiki nzima,
Pia wavuvi wametakiwa kutovua ktk siku hizo zote, familia sijui zitaishi vipi,
Wenye data zaidi watujulishe, hayo mazoezi ya kivita ni ya nini kwa wiki nzima?