RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
wana JF naomba kutoa hoja, tumezoea kuona companies nyingi kufanya promotions mabalimbali, lakini hili la kutoa 100M kwa mtu mmoja wakati una wateja Mil 5, sio busara. wapo wateja wengi ambao kutoka 100M ungewapatia watu 1000 shs milion moja moja, sasa hapa hata kurekebisha maisha ya wateja tungesema its ok,but single person getting 100M in TZ by just sending an sms, aah its disgusting, probability ndo hivyo inamwangukia mwenye nacho, so tabaka la maskini na tajiri linakuzwa!! unakuta mtu kama huyu mshindi wala hatumii hela yake kujiingiza ktk promotion may be anawekewa na ofice shs laki5 kila mwezi,so laki2 akiziweka ktk promotion anatuma tu sms kweli ataacha kujishindia?so natoa wazo tu hizi zawadi kwa nchi kama zetu ziwe za kiwango kizuri ziwafaidishe wateja wanahitaji kweli hela, si kumpa mtu ambae tayari anjiweza! pia wateja hawa ndo wataipigia debe kampuni kwani kila mtu atavutiwa nae ajiunge au aqwe mteja!! natoa hoja