Kamjingijingi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2009
- 806
- 129
Mjadala uliotawala katika bunge kuhusu Wizara ya maliasili na utalii, kuhusu contena zilizoshikwa na pembe za ndovu huko vietnam, wanashagha nini ? Eti limepitaje mpaka kufika huko ? Naona wengi wamesahau kuhusu magogo ! kwani mpaka sasa bado hao wachina wana wawakilishi wao hapa nchini. Na wengine wanaendelea na shughuli yao huko maeneo ya mbagala !
Hilo ni shamba la bibi ! Wana JF mnaionaje hiyo ? kweli tutaweza kutunza mazingira yetu ? Makotena hayaruki hewani yenyewe, yanapita bandarini kiholela ! Hizi wizara ya "maliasili" na wizara ya "mazingira" zina lala usingizi mpaka wakati wa budget ! Au mpaka Mheshimiwa Anna Malecela alipue ? Anastahili pongezi kwa ujasiri aliouonyesha na kupewa wizara ya mazingira tuokoe nchi yetu kuwa jangwa !
Hilo ni shamba la bibi ! Wana JF mnaionaje hiyo ? kweli tutaweza kutunza mazingira yetu ? Makotena hayaruki hewani yenyewe, yanapita bandarini kiholela ! Hizi wizara ya "maliasili" na wizara ya "mazingira" zina lala usingizi mpaka wakati wa budget ! Au mpaka Mheshimiwa Anna Malecela alipue ? Anastahili pongezi kwa ujasiri aliouonyesha na kupewa wizara ya mazingira tuokoe nchi yetu kuwa jangwa !