Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
wana jf kama inayojulikana kila mtu anakula madhbahuni mwake lakini kuna mambo ambayo inabidi uangalie jinsi ya kula usije kimbiza waumini ukaulizwa siku ya mwisho...hali hiyo imeanza kutokea kwa wafanyakzi wa qatar airways hapa airport ...si wao tu ni kwa kila airline company wanayofanyiwa check in kwa abiria kumwomba abiria alipe kiasi na hivyo kutopewa risiti....imekuwa kitu cha kawaida ila kwa hawa wenzetu imekuwa tabu hata kufanya nao kazi....wanaweza kukutumia ukachukua hata doller 1500 kwa siku siku ya mwisho unawapelekea wanakupa doller 25-40.....kibaya zaidi wameanza kudai pesa ambazo zinakaribia kabisa na bei halisi anayotakiwa kulipa abiria....ukiwaambia abiria analalamika wanajifanya kukaa pembeni na kutuachia mzigo mwisho wa siku tunaonekana wasaliti......kuna dada mmoja wa kipare anavaa miwani akishirkiana na mwenzake wa kipemba mnene kidogo alietokea SWISSPORT wanawasumbua sana abiria hata sie tunaofanya kazi ya kucheck in...tunawashauri kila mtu anakula baula lakini tusifanye kama ndio kichocheo cha kazi zetu yaani usipokutana na baula hakuna haja ya kufanya kazi...tukija kazini tuoende kazi kwanza vingine baadae....
natumaini watajitahidi kjirekebisha ili na waumini wasiweze kukimbia kanisani....
natumaini watajitahidi kjirekebisha ili na waumini wasiweze kukimbia kanisani....