MWANAMKE Sophia Philemon [44] ambaye ni mama wa watoto watatu, amehukumiwa kwenda kutumikia kifungo cha miaka saba jela baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mapenzi na mwanafunzi chini ya miaka...
Kuna daladala imegongwa na Lory la mafuta muda si mrefu eneo la Kibamba - Morogoro Rd, Dar es Salaam.
Zimamoto wameelekea eneo la tukio kuzima moto. Taarifa zaidi naamini zitafuata
Kutoka Global...
Haya..source
A HEATHROW security man was quizzed by police after ogling a girl colleague "naked" in a new anti-terror body scanner.
Jo Margetson, 29, reported John Laker, 25, after he took...
Katika jamii yetu ya Kiafrika imezoeleka kwamba Mwafrika akizaa na Mzungu/Mwarabu na mtoto akawa nywele na rangi vyenye mwonekano wa Kizungu/Kiarabu basi huyo huitwa Chotara.
Swali langu ni...
MFANYAKAZI wa Shirika la Magazeti ya Serikali (TSN) Muhidin Issa Michuzi ameondoka jana kuelekea London, Uingereza, kuhudhuria kongamano la pili la Watanzania wanaoishi nchi za nje (Diaspora 2...
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikiona maiti za watu waliopata ajali au kupata madhara mbalimbali kubebwa kwenye gari za wazi kama hizo za polisi au pick ups. Kwa mawazo yangu nadhani ingekuwa jambo...
MNAJIMU mashuhuri nchini, Sheikh Yahya Hussein, amewashukuru marais wastaafu wa Awamu ya Pili na ya Tatu, Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa, kwa kumsaidia wakati alipokuwa mgonjwa kisha...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, ametajiwa majina ya polisi wawili waliohusika katika mauaji ya watu 14 na kuwajeruhi wengine 18 kisiwani Ukerewe, mkoani Mwanza.
Watu hao...
Leo asubuhi nikiwa nasalimiana na mtu nje ya ofisi yangu, akaja kunguru na kutua juu ya kichwa changu.
Kwa muda nikahisi ni mtu amenishika kichwani kwa mkono lakini ilinishtua kidogo maana yule...
WanaJF naomba munisadie mana nashindwa kuelewa huyu Mheshimiwa Pinda PM wetu wakati amechaguliwa alianza kwa makeke kila kitu alisema atashughulikia, Kweli HUYU NDO PINDA ALIYEINGIA KWA NGUVU ZOTE...
Wajinga ndio waliwao; hivi ndivyo wanavyotusema!
Tanzania is blessed with an abundance of mineral resources. In gold alone, Tanzania is estimated to be sitting on top of a US$39 billion...
Suspected NBC massive fraud: SA investigators called in to verify
By ThisDay Reporter
23rd March 2010
A team of fraud experts from South Africa has been flown into the country to...
Wana JF,
Kuna Tetesi kuwa General Manager wa Hoteli moja ya Kitalii iliyoko ufukweni ya Hilton the Double Tree ambaye ni Mzungu ameswekwa Rumande kwa kosa la kumpiga mfanyakazi na kumtusi eti...
Kulikuwa na watu wanne wakisafiri kwenye ndege ndogo ya abiria ndani ya ndege hiyo kulikuwa na daktari mmoja, mwanasiasa, Askofu na rubani. Wakiwa angani ndege ilipata hitilafu kukawa hakuna...
By NIRMALA GEORGE, Associated Press Writer Nirmala George, Associated Press Writer Wed Mar 24, 9:29 am ET
NEW DELHI For nearly 30 years, India and Bangladesh have argued over control of a tiny...
What does it take to be happy in a relationship? If you're working to improve your marriage, here are the 10 habits of happy couples.
1. Go to bed at the same time
Remember the beginning of your...
Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA wa mkoa wa mbeya,Advocate Shitambala majuzi alikuwa mgeni rasmi katika harambee ya kufungua parokia huko INYARA Mbalizi.Badala ya kumuarika Christofa Mwanjale...
Mwenyekiti wa CCJ, Richard Kiyabo.
Daftari lenye orodha ya majina ya wanachama wapya 450 wa Chama Cha Jamii (CCJ) Mkoa wa Kaskazini Pemba, linadaiwa kupotea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.