Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

MWANAMKE Sophia Philemon [44] ambaye ni mama wa watoto watatu, amehukumiwa kwenda kutumikia kifungo cha miaka saba jela baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mapenzi na mwanafunzi chini ya miaka...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kuna daladala imegongwa na Lory la mafuta muda si mrefu eneo la Kibamba - Morogoro Rd, Dar es Salaam. Zimamoto wameelekea eneo la tukio kuzima moto. Taarifa zaidi naamini zitafuata Kutoka Global...
0 Reactions
122 Replies
13K Views
Haya..source A HEATHROW security man was quizzed by police after ogling a girl colleague "naked" in a new anti-terror body scanner. Jo Margetson, 29, reported John Laker, 25, after he took...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Katika jamii yetu ya Kiafrika imezoeleka kwamba Mwafrika akizaa na Mzungu/Mwarabu na mtoto akawa nywele na rangi vyenye mwonekano wa Kizungu/Kiarabu basi huyo huitwa Chotara. Swali langu ni...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
MFANYAKAZI wa Shirika la Magazeti ya Serikali (TSN) Muhidin Issa Michuzi ameondoka jana kuelekea London, Uingereza, kuhudhuria kongamano la pili la Watanzania wanaoishi nchi za nje (Diaspora 2...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Usikilize huu wimbo kwa umakini hadi mwisho. Misholi kaamua kuwapasha watanzania. YouTube- tuombe amani
0 Reactions
0 Replies
977 Views
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikiona maiti za watu waliopata ajali au kupata madhara mbalimbali kubebwa kwenye gari za wazi kama hizo za polisi au pick ups. Kwa mawazo yangu nadhani ingekuwa jambo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
MNAJIMU mashuhuri nchini, Sheikh Yahya Hussein, amewashukuru marais wastaafu wa Awamu ya Pili na ya Tatu, Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa, kwa kumsaidia wakati alipokuwa mgonjwa kisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, ametajiwa majina ya polisi wawili waliohusika katika mauaji ya watu 14 na kuwajeruhi wengine 18 kisiwani Ukerewe, mkoani Mwanza. Watu hao...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari inayotokea sasa hivi kuna mshtakiwa anakimbia uchi kinondoni mahakamani, habari zaidi zitafuata.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Leo asubuhi nikiwa nasalimiana na mtu nje ya ofisi yangu, akaja kunguru na kutua juu ya kichwa changu. Kwa muda nikahisi ni mtu amenishika kichwani kwa mkono lakini ilinishtua kidogo maana yule...
0 Reactions
74 Replies
22K Views
WanaJF naomba munisadie mana nashindwa kuelewa huyu Mheshimiwa Pinda PM wetu wakati amechaguliwa alianza kwa makeke kila kitu alisema atashughulikia, Kweli HUYU NDO PINDA ALIYEINGIA KWA NGUVU ZOTE...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wajinga ndio waliwao; hivi ndivyo wanavyotusema! Tanzania is blessed with an abundance of mineral resources. In gold alone, Tanzania is estimated to be sitting on top of a US$39 billion...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Suspected NBC massive fraud: SA investigators called in to verify By ThisDay Reporter 23rd March 2010 A team of fraud experts from South Africa has been flown into the country to...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wana JF, Kuna Tetesi kuwa General Manager wa Hoteli moja ya Kitalii iliyoko ufukweni ya Hilton the Double Tree ambaye ni Mzungu ameswekwa Rumande kwa kosa la kumpiga mfanyakazi na kumtusi eti...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kulikuwa na watu wanne wakisafiri kwenye ndege ndogo ya abiria ndani ya ndege hiyo kulikuwa na daktari mmoja, mwanasiasa, Askofu na rubani. Wakiwa angani ndege ilipata hitilafu kukawa hakuna...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
By NIRMALA GEORGE, Associated Press Writer Nirmala George, Associated Press Writer – Wed Mar 24, 9:29 am ET NEW DELHI – For nearly 30 years, India and Bangladesh have argued over control of a tiny...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
What does it take to be happy in a relationship? If you're working to improve your marriage, here are the 10 habits of happy couples. 1. Go to bed at the same time Remember the beginning of your...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA wa mkoa wa mbeya,Advocate Shitambala majuzi alikuwa mgeni rasmi katika harambee ya kufungua parokia huko INYARA Mbalizi.Badala ya kumuarika Christofa Mwanjale...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa CCJ, Richard Kiyabo. Daftari lenye orodha ya majina ya wanachama wapya 450 wa Chama Cha Jamii (CCJ) Mkoa wa Kaskazini Pemba, linadaiwa kupotea...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom