Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
SMZ INAJUA UBAGUZI HUU KATIKA SKULI YA GLORIA?
Niliwahi kutembelea skuli (shule) moja huko Zanzibar inayojulikana kama Gloria ambayo nasikia wamiliki wake ni watu kutoka Uganda.
Cha ajabu katika skuli hiyo hawataki kuwajiri walimu kutoka Zanzibar eti wanasema hawajui kusomesha na huwaita wala urojo. Hawajui kufundisha. Walimu wanaowataka ni wale kutoka Tzbara. Uganda na Kenya au tuseme nje ya Zanzibar.
Kauli hii niliipata baada ya kufanya utafiti wa kina baada ya kupata taarifa kwa wasamaria wema. Ni tatizo ambalo kila anaepeleka barua za maombi kwanza huulizwa unatoka wapi? Kama mlaurojo hapa hutakiwi. Ni kweli zanzibar hawana walimu wanaofaa kusomesha skuli hiyo? Au huu ni ubaguzi usiomaana?
Kama hawajui mbona hata Bongo katia vyuo vikuu wazanziabar wanatakiwa?
Mbona skuli kama high view, Laurent, sunny, sufa ambazo ndizo skuli bora kwa private zinawalimu kutoka Zanzibar na wanafunzi wanafaulu ktk kiwango cha juu? Mbona wanafunzi wanaongea english kama wamezaliwa Uk?
\hili la gloria limetokea na linaelekea wapi? Kuwaita walimu wenye asili ya zanzibar ni wala urojo hawafai kufundisha skuli yao tena ndani ya nchi mpya ya Zanzibar?mtaa wa mombasa?
Smz imeridhia? Maalim seif ameridhia? Waziri wa elimu anajua na amaeridhia hali hi?
mzeewahoja halikubali na yupo zenj kufanya utafiti wa kina swala hili na taarifa zake kuzitoa kwenye vyombo vya habari
Niliwahi kutembelea skuli (shule) moja huko Zanzibar inayojulikana kama Gloria ambayo nasikia wamiliki wake ni watu kutoka Uganda.
Cha ajabu katika skuli hiyo hawataki kuwajiri walimu kutoka Zanzibar eti wanasema hawajui kusomesha na huwaita wala urojo. Hawajui kufundisha. Walimu wanaowataka ni wale kutoka Tzbara. Uganda na Kenya au tuseme nje ya Zanzibar.
Kauli hii niliipata baada ya kufanya utafiti wa kina baada ya kupata taarifa kwa wasamaria wema. Ni tatizo ambalo kila anaepeleka barua za maombi kwanza huulizwa unatoka wapi? Kama mlaurojo hapa hutakiwi. Ni kweli zanzibar hawana walimu wanaofaa kusomesha skuli hiyo? Au huu ni ubaguzi usiomaana?
Kama hawajui mbona hata Bongo katia vyuo vikuu wazanziabar wanatakiwa?
Mbona skuli kama high view, Laurent, sunny, sufa ambazo ndizo skuli bora kwa private zinawalimu kutoka Zanzibar na wanafunzi wanafaulu ktk kiwango cha juu? Mbona wanafunzi wanaongea english kama wamezaliwa Uk?
\hili la gloria limetokea na linaelekea wapi? Kuwaita walimu wenye asili ya zanzibar ni wala urojo hawafai kufundisha skuli yao tena ndani ya nchi mpya ya Zanzibar?mtaa wa mombasa?
Smz imeridhia? Maalim seif ameridhia? Waziri wa elimu anajua na amaeridhia hali hi?
mzeewahoja halikubali na yupo zenj kufanya utafiti wa kina swala hili na taarifa zake kuzitoa kwenye vyombo vya habari