Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
na wewe tunaomba cv yakoumbea huo sasa,midume mizima hovyo
hiyo alipewa kimmyakimya nini?...ngoja tusubirie hiyo phdana honorary degree; phd ya heshima ipo njiani
mmmh, ni kama aliishia form 4 tu.
tuongee masuala hapa sio kujadili eti Miraji sijui kafanya nn!!! anatusaidia nini? atapunguza foleni huyo miraji? kuna masuala mengi ya kuongea Ufisadi,wizi wa kura,maji,foleni miji mikubwa,watu wetu wanakufa njaa,Wahindi wanaibia nchi etc
Baada ya kupata division zero makongo nilikuja kumsikia tena wakati anasoma "short course" ya IT huko india. Ndio alikuwa chief operations manager wa ofisi ya kampeni za mkulu pale upanga.
Short course huwa hazihitaji kuwa na division nzuri hata zero unasoma tummmmhh sasa india aliendaje na division zero au alitumia cheti cha mtu manake bongo kwa kuchakachua vyeti....
ni mtoto wa kikwete au ndugu tu??mi namjua Riz 1 from magazeti manake ndo anawika sana.
Unaomba cv yake unataka kumuajiri
Nawe bibie kwa kusupport pumba ndio zaku huyu MK ni mtu maarufu sana na anatumia pesa ya ume hivyo sie wananchi tunayo haki kuhoji ana CV gani??good question....
Nawe bibie kwa kusupport pumba ndio zaku huyu MK ni mtu maarufu sana na anatumia pesa ya ume hivyo sie wananchi tunayo haki kuhoji ana CV gani??