Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

WASHITAKIWA watatu jana walifanya kituko mahakamani kwa kuvua nguo na kubaki uchi huku wakiwa wamejipaka kinyesi kibichi cha binadamu na kisha kutoroka kabla ya kukamatwa tena baadaye. Tukio...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ukiwa ghetto umelala na masela usiku unashtushwa na ubaridi pamoja na unyevunyevu kwene TIGO,unaamka lkn ulipoangaza unakuta kila mtu yuko bize na usingizi tena wanakoroma kwa saaana tuu..unaamua...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hili suala limekuwa kama jadi ya Watanzania wengi sana hasa mijini na majiji kwa watu kutumia nyembe kwa matumizi yao binafsi na kuzitupa hovyo barabarani na wanaoathirika ni watoto wadogo ambao...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Daniel Mjema, Moshi Gazeti la Mwananchi MWANAMKE ambaye ni mke wa mtu mwenye watoto watatu, amehukumiwa kifungo cha miaka saba jela baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mapenzi na...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Namna ambavyo sheikh anavyotumia vyombo mbalimbali vya habari na mawasiliano kunadi unajimu wake, ni kama yuko kwenye promosheni ya biashara yake. Kweli wasikilizaji wa unajimu wake wameongezeka...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Shalom! Unaendeleaje?, asubuhi ya leo nilikuwa natafakari, Yoh15; Yesu anasema mimi ni mzabibu, Yeye ni Mzabibu na sisi ni matawi, tawi linalozaa hulikatia vizuri, na lile lisilo zaa hulikata na...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Serikali katika sera yake ya elimu ilishatamka kuwa lugha rasmi ya kufundisha shule za msingi ni kiswahili na kiingereza kitafundishwa kama somo. Lakini cha ajabu serikali hiyi hiyo inaendesha...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
MWANAMKE Sophia Philemon [44] ambaye ni mama wa watoto watatu, amehukumiwa kwenda kutumikia kifungo cha miaka saba jela baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mapenzi na mwanafunzi chini ya miaka...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kuna daladala imegongwa na Lory la mafuta muda si mrefu eneo la Kibamba - Morogoro Rd, Dar es Salaam. Zimamoto wameelekea eneo la tukio kuzima moto. Taarifa zaidi naamini zitafuata Kutoka Global...
0 Reactions
122 Replies
13K Views
Haya..source A HEATHROW security man was quizzed by police after ogling a girl colleague "naked" in a new anti-terror body scanner. Jo Margetson, 29, reported John Laker, 25, after he took...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Katika jamii yetu ya Kiafrika imezoeleka kwamba Mwafrika akizaa na Mzungu/Mwarabu na mtoto akawa nywele na rangi vyenye mwonekano wa Kizungu/Kiarabu basi huyo huitwa Chotara. Swali langu ni...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
MFANYAKAZI wa Shirika la Magazeti ya Serikali (TSN) Muhidin Issa Michuzi ameondoka jana kuelekea London, Uingereza, kuhudhuria kongamano la pili la Watanzania wanaoishi nchi za nje (Diaspora 2...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Usikilize huu wimbo kwa umakini hadi mwisho. Misholi kaamua kuwapasha watanzania. YouTube- tuombe amani
0 Reactions
0 Replies
977 Views
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikiona maiti za watu waliopata ajali au kupata madhara mbalimbali kubebwa kwenye gari za wazi kama hizo za polisi au pick ups. Kwa mawazo yangu nadhani ingekuwa jambo...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
MNAJIMU mashuhuri nchini, Sheikh Yahya Hussein, amewashukuru marais wastaafu wa Awamu ya Pili na ya Tatu, Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa, kwa kumsaidia wakati alipokuwa mgonjwa kisha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, ametajiwa majina ya polisi wawili waliohusika katika mauaji ya watu 14 na kuwajeruhi wengine 18 kisiwani Ukerewe, mkoani Mwanza. Watu hao...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari inayotokea sasa hivi kuna mshtakiwa anakimbia uchi kinondoni mahakamani, habari zaidi zitafuata.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Leo asubuhi nikiwa nasalimiana na mtu nje ya ofisi yangu, akaja kunguru na kutua juu ya kichwa changu. Kwa muda nikahisi ni mtu amenishika kichwani kwa mkono lakini ilinishtua kidogo maana yule...
0 Reactions
74 Replies
22K Views
WanaJF naomba munisadie mana nashindwa kuelewa huyu Mheshimiwa Pinda PM wetu wakati amechaguliwa alianza kwa makeke kila kitu alisema atashughulikia, Kweli HUYU NDO PINDA ALIYEINGIA KWA NGUVU ZOTE...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wajinga ndio waliwao; hivi ndivyo wanavyotusema! Tanzania is blessed with an abundance of mineral resources. In gold alone, Tanzania is estimated to be sitting on top of a US$39 billion...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom