WASHITAKIWA watatu jana walifanya kituko mahakamani kwa kuvua nguo na kubaki uchi huku wakiwa wamejipaka kinyesi kibichi cha binadamu na kisha kutoroka kabla ya kukamatwa tena baadaye.
Tukio...
Ukiwa ghetto umelala na masela usiku unashtushwa na ubaridi pamoja na unyevunyevu kwene TIGO,unaamka lkn ulipoangaza unakuta kila mtu yuko bize na usingizi tena wanakoroma kwa saaana tuu..unaamua...
Hili suala limekuwa kama jadi ya Watanzania wengi sana hasa mijini na majiji kwa watu kutumia nyembe kwa matumizi yao binafsi na kuzitupa hovyo barabarani na wanaoathirika ni watoto wadogo ambao...
Daniel Mjema, Moshi
Gazeti la Mwananchi
MWANAMKE ambaye ni mke wa mtu mwenye watoto watatu, amehukumiwa kifungo cha miaka saba jela baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mapenzi na...
Namna ambavyo sheikh anavyotumia vyombo mbalimbali vya habari na mawasiliano kunadi unajimu wake, ni kama yuko kwenye promosheni ya biashara yake.
Kweli wasikilizaji wa unajimu wake wameongezeka...
Shalom!
Unaendeleaje?, asubuhi ya leo nilikuwa natafakari, Yoh15; Yesu anasema mimi ni mzabibu,
Yeye ni Mzabibu na sisi ni matawi, tawi linalozaa hulikatia vizuri, na lile lisilo zaa hulikata na...
Serikali katika sera yake ya elimu ilishatamka kuwa lugha rasmi ya kufundisha shule za msingi ni kiswahili na kiingereza kitafundishwa kama somo. Lakini cha ajabu serikali hiyi hiyo inaendesha...
MWANAMKE Sophia Philemon [44] ambaye ni mama wa watoto watatu, amehukumiwa kwenda kutumikia kifungo cha miaka saba jela baada ya kupatikana na hatia ya kufanya mapenzi na mwanafunzi chini ya miaka...
Kuna daladala imegongwa na Lory la mafuta muda si mrefu eneo la Kibamba - Morogoro Rd, Dar es Salaam.
Zimamoto wameelekea eneo la tukio kuzima moto. Taarifa zaidi naamini zitafuata
Kutoka Global...
Haya..source
A HEATHROW security man was quizzed by police after ogling a girl colleague "naked" in a new anti-terror body scanner.
Jo Margetson, 29, reported John Laker, 25, after he took...
Katika jamii yetu ya Kiafrika imezoeleka kwamba Mwafrika akizaa na Mzungu/Mwarabu na mtoto akawa nywele na rangi vyenye mwonekano wa Kizungu/Kiarabu basi huyo huitwa Chotara.
Swali langu ni...
MFANYAKAZI wa Shirika la Magazeti ya Serikali (TSN) Muhidin Issa Michuzi ameondoka jana kuelekea London, Uingereza, kuhudhuria kongamano la pili la Watanzania wanaoishi nchi za nje (Diaspora 2...
Ni muda mrefu sasa nimekuwa nikiona maiti za watu waliopata ajali au kupata madhara mbalimbali kubebwa kwenye gari za wazi kama hizo za polisi au pick ups. Kwa mawazo yangu nadhani ingekuwa jambo...
MNAJIMU mashuhuri nchini, Sheikh Yahya Hussein, amewashukuru marais wastaafu wa Awamu ya Pili na ya Tatu, Ali Hassan Mwinyi na Benjamin Mkapa, kwa kumsaidia wakati alipokuwa mgonjwa kisha...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Lawrence Masha, ametajiwa majina ya polisi wawili waliohusika katika mauaji ya watu 14 na kuwajeruhi wengine 18 kisiwani Ukerewe, mkoani Mwanza.
Watu hao...
Leo asubuhi nikiwa nasalimiana na mtu nje ya ofisi yangu, akaja kunguru na kutua juu ya kichwa changu.
Kwa muda nikahisi ni mtu amenishika kichwani kwa mkono lakini ilinishtua kidogo maana yule...
WanaJF naomba munisadie mana nashindwa kuelewa huyu Mheshimiwa Pinda PM wetu wakati amechaguliwa alianza kwa makeke kila kitu alisema atashughulikia, Kweli HUYU NDO PINDA ALIYEINGIA KWA NGUVU ZOTE...
Wajinga ndio waliwao; hivi ndivyo wanavyotusema!
Tanzania is blessed with an abundance of mineral resources. In gold alone, Tanzania is estimated to be sitting on top of a US$39 billion...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.