Mchekechoni
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 279
- 19
Ni kweli kwamba X-mas inahusishwa na mambo ya kipagani (sex orgy), ila Chrismas inahusu kuzaliwa kwa masihi Yesu Kristo. So beware..wanaosherehekea X-mas leo ucku wamebook nyumba za wenyeji, yaani all rooms fully booked. But, wale wa Chrismas watakuwa church kwa saaaana, so get the difference and see which one you celebrate!