WanaJF wafuatao: Reverend Masanilo, Buchanan, October......
Kwanza, Wana akili sana na michango yao inatija sana kwa Taifa hili, of course bila michango hapa JF ingelala sana
Pili, wanawapenda sana wa Tanzania except waswahili hawapendi wanaozungumza kiswahili
Ninawapongeza tena zidisheni michango hapa JF mtabadilisha Tanzania...
These members have very constructive idea...
wote tuige mifano yao..
I love Tanzania
Kwanza, Wana akili sana na michango yao inatija sana kwa Taifa hili, of course bila michango hapa JF ingelala sana
Pili, wanawapenda sana wa Tanzania except waswahili hawapendi wanaozungumza kiswahili
Ninawapongeza tena zidisheni michango hapa JF mtabadilisha Tanzania...
These members have very constructive idea...
wote tuige mifano yao..
I love Tanzania