NINA kila sababu ya kumtukuza Mungu kwa uzima na afya, pia natoa pole kwa Watanzania kwa kuwapoteza ndugu na jamaa zao katika ajali iliyotokea Alhamisi wiki hii eneo la Kibamba, jijini Dar es...
Mchungaji Mtikila apata pigo
na Datus Boniface
MWENYEKITI wa Chama cha Kidemokrasia (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, amepata pigo baada ya Naibu Katibu Mkuu wa Wanawake wa chama hicho...
Kwa niaba ya familia nawatakia Ibada njema wale wote wenye mapenzi mema na wanaotaraji kwenda kumuabudu mungu katika roho na kweli siku ya kesho
usikubali kukaa nyumbani nenda ukamwabudu mungu...
MWANASIASA wa siku nyingi, Sir George Kahama ameungama mbele ya Rais Jakaya Kikwete, mambo matatu ambayo hakuyafanikisha wakati akiwa mtumishi wa umma na mojawapo ni ujenzi wa Makao Makuu ya Taifa...
ONENI HII. JK NYERERE ,1994.........
Nchi yetu bado changa. Tusione haya kuendeleza taratibu ambazo zinaonekana kuwa zinafaa, na wala kubadili zile ambazo japokuwa huko nyuma zimetufaa, lakini...
Dk Slaa awashukia Spika Sitta na WeremaHemed Kivuyo, Arusha
MBUNGE wa Karatu Dk Wilbrod Slaa, amewashukia spika wa bunge, Samuel Sitta na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Warema...
jamani nashindana na kabinti fulani kanangangania kudeka kila siku kakiwa kwa mama yetu ndogo..ni 25 yrs lakini kakienda kwao pamoja na kuolewa kama kachanga kanavyoishi sasa huu ni ugonjwa ...
Kuuliza sio ujinga wanakwetu, kutojua ndo ujinga!!
Nisaidieni nijue maana /madhumuni/sababu na faida ya diaspora maanake nimengia kwenye blog ya michuzi naona picha na maelezo kibao ya...
Matukio ya raia kufa kwa ajali za umeme wilayani Moshi kufuatia hitilafu za wazi katika miundombinu ambazo TANESCO walitaarifiwa mapema na zikapuuziwa sasa yamezidi. Hivi majuzi kafa baba mmoja...
Muda unaenda wacha twende zetu makumbusho ;nikaona ni vyema tutakiane heri na fanaka bila kuwekana sawa kwenye uhai wetu..si wote wale wenzetu wanaolewa wanajishindwa kujihimili basi kumbuka hata...
Captain Adeline Champagnat, a senior member of the police cyber crimes unit, said the 25-year-old man gained access to passwords of Twitter administrators and used them to try to break into the...
LEFT back Juma Jabu, remain the main injury worry as Taifa Stars stepped up training ahead of the crunch African Nations Championships (CHAN) qualifier game against Somalia in Dar es Salaam this...
Watch your drink
By Noela Oyuga
THE CITIZEN
Partygoers beware! There are predators on the prowl, who could turn your merrymaking into the most horrifying moment of your life if you let your...
Hatimaye leo nimejiandikisha kupiga kura. Sasa nauza kadi yangu. Kama unaihitaji unapaswa kuwa na sifa hizi:
1. Uwe mgombea wa Urais, Ubunge au Udiwani
2. Uwe huombi, hupokei wala hupokelewi...
Tanzania girl who topped Makerere Education Written by Simon Musasizi Sunday, 14 February 2010 16:08
Josephine Seruhere
The 60th graduation at Makerere University was another milestone for...
Open www.jamiiforums.com
Fungua hilo MS word file, copy the javascript (moja baada ya nyingine). Kisha bonyeza F6, utapelekwa katika address bar na copy paste hiyo javascript; then click...
Jaman mwenye kuweza kuweka uu wimbo wa "jipu la kwapa""hilooo anisaidie humu ndani nimesikia leo nimufurahi sana..nilipousikia kwenye clouds mchana na wakina gea!!!.jipu la kwapa ukilishika...
WASHITAKIWA watatu jana walifanya kituko mahakamani kwa kuvua nguo na kubaki uchi huku wakiwa wamejipaka kinyesi kibichi cha binadamu na kisha kutoroka kabla ya kukamatwa tena baadaye.
Tukio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.