Niliwahi kusema hapa kwamba wanaomshauri raisi na kumuandikia Hotuba walikuwa wanaboa, kwakuwa hawakuwa hata wana-capture issues muhimu na kumfanya Raisi aongelee vuvumi na mambo ambayo mengine...
Rejea thread ya Roulette ya tarehe 19 mwezi huu (Link) kua leo kutakua na mjadala kati ya Matola na zomba kuhusu tathmini ya utawala wa Rais Kikwete tokea aingie madarakani mwaka 2005 hadi sasa...
Madudu mengi na ya hatari yanayotokea katika siasa za nchi yetu yanaashiria kuwa idara yetu ya Usalama wa Taifa imefika mwisho kiutendaji. Ebu ona:-
-Rais akamteua Chenge baada ya kuvunjwa kwa...
Mjomba wangu daktari, salamu sana,
Ama baada ya salamu,
Kwanza nitoe shukrani kubwa kwa kunirudishia majibu ya kina nilipokuuliza swali kwa nini mama na mpenzi wake baba waliamua kuniita...
Science is a systematic enterprise that builds and organizes knowledge in the form of testable explanations and predictions about the universe.
Aristotle: Science refers to the body of reliable...
Nimekuwa nikifuatilia ukuaji wa uchumi wa daftari wa nchi zetu za Africa Mashariki hasa (Tanzania, Kenya na Uganda).
Leo naomba wajuzi watusaidie kujua zaidi..
Uchumi wa daftari wa Tanzania...
Hamna afadhali, tunabaguliwa na watu wote. Wahindi, Wachina, Warusi, Wayahudi, Walatini nakila jamii zinatuona kama takataka.
Hivi kibaya ni kipi haswa ambacho tumekifanya?
Thousands of Israelis...
Wana JF,
Imefika wakati sasa kuanza kuhoji nani haswa ni Mzanzibari Asilia kihistoria maana tunakoenda sasa si huko na katika kujua haya inatupasa kupitia historia yetu hata kabla Waajemi na...
Heshima Mkuu!
Professor Ali Mazrui katika moja ya kitabu chake "The African Condition" aliandika Mwl. Nyerere is an "Intellectual Cannibal". Baada ya kusoma context ya matumizi ya maandishi...
Ni Lini WatanzaniaTutaelewa Dhana ya Mabadiliko?
NA GODFREY KASSANGA
DHUMUNI kubwa la Tanganyika chiniya TANU, enzi zile za Mwl J K Nyerere, kudai uhuru kutoka kwa Wakoloni lilikuwani kuikomboa...
Katika siku za hivi karibuni dhana ya ukabila/udini na umimi imekuwa inachukua nafasi kubwa sana hasa baada ya msuguano wa kisiasa kuonekana unakuwa mkubwa hapa nchini. Nakumbuka katika hotuba...
Nini tunajifunza kutokana na kinachoendelea kwenye baadhi ya nchi za kiarabu hasa, Libya, Misri nk. Kabla ya mabadiliko ya tawala zao eg. Gadafi na kinachoendelea baada ya hayo mabadiliko...
Is...
Matatizo ya Nchi yetu yameongelewa kwa wingi wake na sasa imefikia hatua wananchi wanakata tamaa na kuona hawana cha kufanya juu ya yanayoendelea kutokea katika nchi yao. Hawawezi tena kukabiliana...
Sometimes I am thinking aloud while watching some of the documentaries:
Historia ya miaka 100 ya meli ya TITANIC, scientists are struggling to find out what went wrong and why the ship which was...
Katika mijadala mingi inaonyesha, inaonyesha kuwa watanzania wengi wanakubaliana kuwa chanzo cha matatizo ya nchi yetu ni uongozi. Wengine wanasema kuwa ni nchi inaongozwa bila dira. Wengine...
HELO GREAT THINKERS
NAOMBENI MNIKARIBISHE HUMU LEO NIMEWEKA MAMBO YA MAPENZI PEMBENI.
NAOMBENI MNIJIBU
KWANINI MZEE WETU NYERERE ALIACHIA MADARAKA MAPEMA BAADA YA KUTOA KATIKA MIKONO YA MKOLONI...
I have not taken enough time to study or read about the Tanzania economy but few days ago I have been asked to have a look ya ripoti mbalimbali na hasa hali ya kiuchumi. Well..almost everybody is...
Viumbe wote hawataki matatizo. Hata wanyama wakali kama simba, hawataki matatizo katika maisha yao, ndiyo maana huchukua tahadhari sana wakati wakiwinda ili wasijejikuta katika matatizo ya namna...
Tanzania kila unayekutana naye na kila idara ya serikali utakayokwenda utaambiwa kuna watu wa Usalama na PCCB
Sasa inawezekana vipi watu wanafanya ufisadi wa kutisha kuanzia mambo ya ndani...
Leo nimeamka nikimfikiria kijana wa kitanzania. Haswa baada ya kupokea maombi ya vijana 6 kwa sms wakitaka niwasaidie kupata mahala pa kujishikiza, kwa 'marafiki zangu'. Mtihani huu mgumu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.