Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,496
- 17,372
Nimekuwa nikifuatilia ukuaji wa uchumi wa daftari wa nchi zetu za Africa Mashariki hasa (Tanzania, Kenya na Uganda).
Leo naomba wajuzi watusaidie kujua zaidi..
Uchumi wa daftari wa Tanzania unakuwa kwa 7% kwa mwaka wakati Uganda 6.4% kwa mwaka..
Kubadilisha Fedha Uganda miaka 3 hivi walikuwa .30 Tsh kwa 1 Ush. Sasa .80 Tsh kwa 1Ush.
Naomba kujua zaidi kwa nini fedha yao inazidi kuwa nguvu zaidi yetu? Uwiano wa kukua kiuchumi na nguvu ya pesa.
Source
https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html
&
https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/ug.html
Nawakilisha
Leo naomba wajuzi watusaidie kujua zaidi..
Uchumi wa daftari wa Tanzania unakuwa kwa 7% kwa mwaka wakati Uganda 6.4% kwa mwaka..
Kubadilisha Fedha Uganda miaka 3 hivi walikuwa .30 Tsh kwa 1 Ush. Sasa .80 Tsh kwa 1Ush.
Naomba kujua zaidi kwa nini fedha yao inazidi kuwa nguvu zaidi yetu? Uwiano wa kukua kiuchumi na nguvu ya pesa.
Source
https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/tz.html
&
https://www.cia.gov/library/publications/the-world-factbook/geos/ug.html
Nawakilisha