Naomba kujua kupitia Jukwaa hivi hapa tulipofika Je wa kulaumiwa ni Rais au ni System [mfumo] wetu. Manake hapa Taifa lilipofika system [A system is a way of working, organizing, or doing...
Kumfahamu mtu yeyote ni lazima utazame historia yake ya utotoni aliosoma nao, aliocheza nao... walimu wake... walezi wake, majirani na kadhalika...
Sasa sisi Tanzania ni nadra sana kusikia...
Kuna baadhi ya watu ambao wanataka tuamini kuwa siku Tanzania ikichukuliwa na wapinzani basi matatizo yote ya Tanzania yatatoweka kama ukungu! Baadhi ya watu hawa, hawaishi kuonesha udhaifu wa...
Salamu baba yangu,
Natumaini U mzima baba yangu mpendwa'
Kijana wako naendela kutafuta Maisha huku mjini na usiwe na wasiwasi kwani barua yako kuhusu kibanda chako cha majani kuvuja niliipata na...
Some few months ago (In April to be precise) I wrote this thread: https://www.jamiiforums.com/hoja-nzito/125963-on-the-brink-what-is-troubling-tanzanian-economy.html
In it I asked these...
..hii ni sehemu ya mahojiano ya Waziri Mkuu Mstaafu Sinde Warioba alipozungumza na gazeti la raia mwema.
..alianza hivi:
"Mwaka 1985 hatukuwa na akiba ya fedha za kigeni. Tulikuwa...
Hapana Haja ya Kuiogopa Historia ya Uhuru wa Tanganyika
MohamedSaid
Mzee Yusuf Halimoja karudi tena safari hii anasemakatika kichwa cha makala yake, "Sijasema Uhuru Uliletwa na...
Wadau,
Imekuwa jadi kubwa humu na kwenye mitandao mingine ya kijamii (haswa facebook) kwa watu kumkatisha tamaa sana NAPE na juhudi zake za kukisafisha chama. Kazi hii ni ngumu na mnaelewa fika...
Mods na Admin namomba muiache hii thread hapa kwani inaonyesha jinsi gani wanasiasa wanvyoirudisha nyuma hii nchi
Mary Nagu anasema wazi kuwa hawezi kufanya mkutano wa siku 3 mfululizo kila...
Tafakuri Tunduizi:
Vijana wa kitanzania wana ndoto za kuishi maisha mazuri. wanahangaika kujenga nyumba zao mbali na mji, wengine itawachukua lifetime kukamilisha ujenzi wa nyumba zao na mara...
Ok enough with punch and judy politics.
With a 2010 population of approximately 43 million, Tanzania apparently the 7th most populous country in Africa. Our annual population growth rate is...
Nakala hii imebeba mambo matano makubwa
1. Historia ya daraja la kigamboni
2. Ufisadi
3. Uwezo na tabia ya magufuli
4. NSSF na kutoa misaada
5. UUzwaji wanyumba za serikali
Update:
1...
Umewahi kujiuliza kwa nini nchi za Ulaya zinaendelea kutajirika kila kukicha huku za kwetu zikiendelea Kumasikinika?
Umewahi kujiuliza kwa nini wakati Life Expectancy kwao Ikiongezeka kwetu ndiyo...
I am forced to post this kwenye jamii intelligence kwani naamini mgomo wa madaktari umesababisha huge damages to our system na hasa kwenye kulinda usalama wa raia ingawa media na serikali...
Ikulu wanasema kuwa kuwa na website sio muhimu
Staff wa ikulu wanatumia e-mails za YAHOO
Ikulu wanasema kwa mwenye malalamiko anashauriwa aandike kwenye official e-mail ya ikulu...
Wakuu,
Ni muda sasa toka nianzishe mada yoyote hapa JF. Sababu zipo nyingi ila kubwa ni kukosa muda.
Hivi kweli migomo ya mara kwa mara ndio suluhisho la matatizo ya wafanyakazi au wanafunzi au...
Pamoja na ukweli kwamba vyama vingi vya siasa Tanzania vinaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, Kanuni, na Taratibu, pia kuna ukweli kwamba vyama vyote vikubwa CCM, Chadema na CUF, vina udhaifu mkubwa...
Kwanini Waziri Magufuli amekosea Tunapoongelea utawala wa haki na sheria tunazungumzia ufuataji wa sheria na taratibu zilizopo katika uendeshaji wa nchi yetu kila siku kwa maana tunajua nchi...
Habari zilizozagaa mtaani ni kuwa Bakari mwapachu, yule mzee aliyeshindwa ubunge na Omar Nundu kule Tanga analobby Kikwete amteue kama mwenyekiti wa shirika la ndege la ATCL. Ukweli ni kwamba kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.