Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Rejea thread ya Roulette ya tarehe 19 mwezi huu (Link) kua leo kutakua na mjadala kati ya Matola na zomba kuhusu tathmini ya utawala wa Rais Kikwete tokea aingie madarakani mwaka 2005 hadi sasa.
Nimeandaa maswali kumi ambayo nimeyatafuta kupitia kwa members wengine wa Jamii Forums na kwa kupitia mijadala ya nyuma katika jukwaa la siasa, yanayo husiana na utawala wa Rais Kikwete.
Inawezekana sitauliza maswali yote ambayo wana Jamii Forum wangependa niwaulize wawili hawa kutokana na idadi ya maswali nilio pewa na muandaaji wa mjadala huu (Moderator), ila baada ya Matola na Zomba kujibu hayo maswali kumi wanajamii forum watapewa nafasi ya kuwauliza waalikwa maswali. Tutajaribu kuchagua maswali yenye mantiki, kwa hiyo taafdhali uliza maswali ambayo yataonesha uwezo wako wa kufikiri na kuhoji.
Mjadala utaenda kama ifwatavyo:
Nawashukuru Mods kwa kunipa nafasi hii ya kuwahoji Great Thinkers wawili hawa, na pia nawashukuru mmbers wote watakao fatilia mjadala huu.
Kama Matola na Zomba wako tayar, naomba waseme neno fupi, na baada ya hapo nitaanza na wali la kwanza.
Karibuni na asanteni.
Updates:
Update Muhimu:
Nimeandaa maswali kumi ambayo nimeyatafuta kupitia kwa members wengine wa Jamii Forums na kwa kupitia mijadala ya nyuma katika jukwaa la siasa, yanayo husiana na utawala wa Rais Kikwete.
Inawezekana sitauliza maswali yote ambayo wana Jamii Forum wangependa niwaulize wawili hawa kutokana na idadi ya maswali nilio pewa na muandaaji wa mjadala huu (Moderator), ila baada ya Matola na Zomba kujibu hayo maswali kumi wanajamii forum watapewa nafasi ya kuwauliza waalikwa maswali. Tutajaribu kuchagua maswali yenye mantiki, kwa hiyo taafdhali uliza maswali ambayo yataonesha uwezo wako wa kufikiri na kuhoji.
Mjadala utaenda kama ifwatavyo:
- Nitsweka swali moja moja, na swali la kwanza ataanza kujibu Zomba, la pili ataanza kujibu Matola na tuta-alternate hivo hadi tutakapo maliza maswali yote.
- Baada ya kila mwalikwa kujibu swali toka kwangu, kila mwalika atapewa nafasi ya kumuuliza mwenzie swali la ufafanuzi ya yale alio jibu. Ni matarajio yetu kwamba waalikwa watahojiana kwa kufata kanuni za mjadala na hasa kuzingatia sheria za Jamii Forums.
- Kwa mtiririko mzuri wa mjadala huu ningewaomba wanajamii forum wengine wasichangii kwanza hadi pale tutakapo maliza kuwahoji waalikwa wetu. Kwa wakati huu, kuna thread maalum imeandaliwa jukwaa la siasa ambapo members watakua huru kuchangia, na kuuliza maswali. (Link to the thread)
Nawashukuru Mods kwa kunipa nafasi hii ya kuwahoji Great Thinkers wawili hawa, na pia nawashukuru mmbers wote watakao fatilia mjadala huu.
Kama Matola na Zomba wako tayar, naomba waseme neno fupi, na baada ya hapo nitaanza na wali la kwanza.
Karibuni na asanteni.
Updates:
- Swali la kwanza:Rais Kikwete amekuwa madarakani tokea mwaka 2005. Ukilinganisha na utawala wa Marais wastaafu, Mwalimu Nyerere, Mzee Mwinyi na Mkapa, nini maoni yako kuhusiana na utawala Rais Kikwete? Rais Kikwete ana yapi ya kujivunia aliyofanya katika kipindi cha miaka aliyokaa madarakani? Jibu la swali liguse sekta zote kuanzia ya uchumi, afya, usafiri,sheria na utawala, michezo, n.k.
- Jibu la Zomba: Link, Link, Link
- Jibu la Matola: Link, Link
- Swali la pili: Wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita, Rais Kikwete alitoa ahadi nyingi tuu ambazo alisema atazitekeleza kama angechaguliwa kuwa Rais. Baadhi ya hizo ahadi zimeonyereshwa Jukwaa la Siasa. Je, unafikiri anawea kutekeleza ahadi zote alizotoa kabla ya uchaguzi mkuu ujao?
- Jibu la Matola: Link
- Jibu la Zomba: Link
- Swali la tatu: Akihojiwa na gazeti la Washington Post hivi karibuni, Rais Kikwete alisema kuwa tatizo kubwa linalomkabili ni upungufu wa resources. Rais alisema kama akipata dola bilioni moja kwa mwezi kama mapato ya serikali, anataifanya Tanzania kuwa mbingu. Unakubaliana na Rais kuwa tatizo linalomkabili kama Rais ni lack of resources? Unadhani akipewa hizo bilioni moja kila mwezi anaweza kuifanya Tanzania kama mbingu?
- Jibu la Zomba: Link
- Jibu la Matola: Link
- Swali la Nne: Akihojiwa na gazeti la Washington Post hivi karibuni, Rais Kikwete alisema kuwa tatizo kubwa linalomkabili ni upungufu wa resources. Rais alisema kama akipata dola bilioni moja kwa mwezi kama mapato ya serikali, anataifanya Tanzania kuwa mbingu. Unakubaliana na Rais kuwa tatizo linalomkabili kama Rais ni lack of resources? Unadhani akipewa hizo bilioni moja kila mwezi anaweza kuifanya Tanzania kama mbingu?
- Jibu la Matola: Link
- Jibu la Zomba: Link
Update Muhimu:
Jamani wana JF kuna mambo ni personal zaidi, lakini hili lililonipata naona ni janga, mama yangu mzazi amefail step na alikuwa amefanyiwa oparesheni ya neuron surgeon sasa ametonenesha ile sehemu aliyofanyiwa oparesheni, nimeshinda MOI leo na sikuweza kufanya chochote, Nampenda Mama yangu siwezi kumteleza.
Natumia fursa hii kuwaomba radhi wana JF kwamba wanisamehe kwa kutokupatikana leo, nadhani kwa waelewa wanajuwa vyema uchungu wa Mama. Roulette mimi ndio nimerudi nyumbani sasa hivi wakati waliofunga wanajiandaa kupata daku. tusameheehane ndugu zangu, nina majonzi.