Salaam wana JF,
Ikiwa imebaki miaka mitatu kufika mwaka 2015, yaani ukomo wa muda Umoja wa Mataifa(UN) iliyotoa kwa nchi 193 wanachama(miaka 15 toka mwaka 2000), malengo kadha wa kadha(Malengo...
Heshima Mbele
Ni muda sijaanzisha Mada hapa ila kuna jambao ambalo limekuwa likinitatiza kwa muda sasa ila naamini nyie mnaweza kuwa mnajua?
Hivi kwanini Lowassa anautaka Urais? akichaguliwa...
Ningependa kujua ni sababu gani iliyomfanya Nyerere ajikite zaidi katika juhudi za ukombozi wa bara la Afrika kiasi cha kumfanya atumie muda mwingi, rasilimali za Taifa na maisha ya Watanzania...
DHANA YA 'DAMAGE CONTROL'
Kwa mara ya mwisho tuligusia namna ambayo siku 14 zilipita bila uongozi wa Chadema kutoa ufafanuzi , maelezo au majibu sakata la AR.
Siku 14 ni nyingi sana kuachia...
Jana nimepata fursa ya kusoma taarifa za kamati mbili zilizokuwa zinachunguza tukio la kuuawa kwa mwandishi wa habari wa Channel ten Daudi Mwangosi. Lakini kikubwa nilichokuwa nakisubiri ni ripoti...
Ndugu wana Jamii ya wazalendo,
Ni dhahiri kabisa sera ya majimbo ya chadema yenye lengo la kurejesha mamlaka kwa wananchi, na kuondoa mamlaka ya wateule wachache kama wakuu wa mikoa na wilaya...
Bado sijajua kwa usahihi mpaka wa uchanga wa umri wa Taifa lolote ni miaka mingapi, ila nikiitazama Tanzania bado naona miaka 50 bado taifa hili ni changa. Katika uchanga huu ni lazima tukubali...
Habari wana JF,
Hali ya nchini kwetu Tanzania hadi hapa tulipofika kwa sasa haijalishi kuwa tunaenda wapi mana tayari tumefika pabaya… Kwa kundi ama hali yoyote ile ifikapo pabaya dawa...
Salaam,
Friedrich Hegel was a 19th c German philosopher who proposed among other things that in any society there is an order (economic, social and political) that will grow to the state of its...
Mh Zitto naomba utufafanulie sisi wana JF, ushirikiano wako na serikali ya CCM. Tunajua siasa si uadui lakini ndani ya CCM kuna ushahidi wa kutosha kuwa siasa ni uadui. Mfano, Kuna uthibitisho wa...
Mwaka 2015 sio mbali, na kwa mara nyingine tena watanzania tutapata fursa ya kutumia haki yetu ya kikatiba kumchagua mtu mmoja ambae tunaamini kwamba ndiye atakaefaa kutuongoza kama taifa katika...
Mkapa ajuta
• Ahuzunishwa wageni kuhodhi uchumi
na Mwandishi Wetu | Tanzania Daima~Sauti ya Watu
RAIS mstaafu, Benjamin Mkapa, amesema anajutia kitendo chake cha kuliingiza taifa...
Hakuna kitu sikipendi kama Unafiki na sintaweza kuvumilia hata ikiwa kipenzi changu ndiye mkisiwa..Mh.Zitto naomba sana maelezo yako... habari ndio hii:-
From foes to partners: Tales of Zitto...
Mambo mengi yamesemwa kuhusu tatizo la umeme nchini Tanzania, mimi nitaanza kwa kugusia mambo machache yanayoonyesha matatizo ya umeme yalivyokuwa makubwa ndani ya bara letu la Afrika...
Wadau.
NIMEKAA nikitafakari utendaji wa idara yetu ya Usalama wa Taifa. Hii ni taasisi muhimu sana kwa usalama wa nchi na wananchi wake, nchi zote idara hii ina heshima kubwa ndani ya jamii.
Kwa...
Hii ni mchango katika kupambana na lindi la umaskini kwa mtu mmoja mmoja na hatimaye nia iweze kuingia miongoni mwetu ili kubadilisha mitazamo yetu(Taifa kwa ujumla)
Ni jambo lisilohitaji mjadala kwamba serikali ya awamu ya nne, hasa katika kipindi cha minne imefeli katika maeneo yote yanayohusiana usimamizi wa rasilimali za nchi kwa manufaa ya walio wengi na...
Niliwahi kusema hapa kwamba wanaomshauri raisi na kumuandikia Hotuba walikuwa wanaboa, kwakuwa hawakuwa hata wana-capture issues muhimu na kumfanya Raisi aongelee vuvumi na mambo ambayo mengine...
Rejea thread ya Roulette ya tarehe 19 mwezi huu (Link) kua leo kutakua na mjadala kati ya Matola na zomba kuhusu tathmini ya utawala wa Rais Kikwete tokea aingie madarakani mwaka 2005 hadi sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.