UTANGULIZI
Joto la uchaguzi 2015 linapanda kwa kasi.
Tofauti na nyuma,mwaka huu kutakuwa na mitazamo tofauti baina ya vyama na ndani ya vyama
CCM ikitaka kuendeleza utawala wa miaka 50...
Hisia hii ya kumuona mtu mwingine kama sehemu yako, ambaye mna sehemu katika taifa, mna haki na wajibu ndio msingi wa uraia.
Kujitambua huku ndiko kutakako tufanya kuwa taifa lililo kamilika...
Leo ningependa tujiulize wote kwa pamoja ni nini haswa maana ya elimu ? Tujiulize, tutafakari, tujaribu kupata majibu, ni nini haswa maana ya elimu? Na kwanini watu wanapelekwa shule ? Na...
Natatizwa sana kuona Serikali ya KIkwete ikijiimarisha "kiulinzi" kupitia Jeshi, Polisi na hata Usalama wa Taifa eti kudhibiti na kuzuia machafuko wakati wa uchaguzi mkuu.
Serikali imeweka...
Salaam.
Kampeni za uchaguzi zimefunguliwa na sasa Kumekucha Tanzania!
Nipende kuwapongeza wanaCCM kwa kufungua rasmi kampeni yao hapo jana (23.08.2015) lakini kwa namna mpya ya kejeli...
UTANGULIZI
Uchaguzi ni tukio la kidemokarasia la kuchagua au kuchaguliwa kupata watakaokupewa madaraka
Si tukio la kupata ''watawala'' bali viongozi watakaotumikia wananchi
Ni muhimu...
Katika binadamu kuna hazina iliyojificha ndani kabisa ya roho ya binadamu, Ni kazi ya fikra kuitafuta kwa kutafakari, na kwasababu pasipo kutafakari hazina hii haitofichuka
Ni wajibu wetu...
Kuna tabia ambazo hufanya mataifa kuendelea na kuna tabia ambazo zikiwepo katika mataifa, kamwe watu hao hawatoendelea. Jamii zozote ambazo zina thamini familia na mahusiano yao katika jamii, na...
With the electricity crisis ever worsening and the budget of the Ministry of Energy and Minerals having been withdrawn amid allegations of attempted corruption of MPs, more and more people are...
Nina uhakika kuna wengi wetu wameshaangalia sinema au kusoma vitabu vya kijajusi ambavyo Wapelelezi wa aina mbalimbali waliweza kupelekwa sehemu na kutulia kwa miaka mingi huku wakifanya kazi zao...
Habari hii imenisisimua na kunifurahisha sana. Ni wazi kabisa Buhari na Babantunde wamekuja kwa nia safi ya kufufua uchumi na kuimarisha thamani ya sarafu ya Nigeria Naira.
Tanzania tumefungulia...
Josephus: Whats StrongerWine, Women, or Truth?
Now, in the first year of the kings reign, Darius feasted those that were about him, and those born in his house, with the rulers of the...
Sio lengo la elimu kuzalisha watu wenye tabia mbaya. Bali ni lengo la elimu kuzalisha watu wenye tabia njema ambao watasaidia kupeleka mbele taifa letu.
Elimu inapozalisha watu wenye tabia...
Kumekuwa na mashindano ya kuongelea uadilifu Tanzania mwaka huu na hasa kuangalia wagombea Urais.
Kuna kundi moja kwa nguvu linadai Mgombea Edward Lowassa ni fisadi mkubwa na hastahili kuwa Rais...
Kitu kimoja ambacho nimejifunza katika maisha, huwezi ku control matendo ya watu wengine. Unaweza ku control matendo yako pekee, ambayo uko responsible nayo.
Na maisha yetu yanategemea...
Siasa lazima iongozwe na mantiki huwezi tenganisha siasa na mantiki. Nchi za kipuuzi pekee huweka mantiki pembeni.
Tunapoacha mantiki na kufuata maslahi yetu binafsi huku maslahi ya taifa...
Huu ni wakati wenu ambao mnaishi kwa sasa duniani. Kumbukeni mabadiliko yako ndani yenu. Mnabadilika kutoka utoto kwenda ujana na uzee. Utakapokuwa mzee, hautokuwa kama ulivyokuwa kijana. Unajua...
Niliandika kipande hiki tarehe 8 August 2009
WARAKA WA REVERAND KISHOKA KWA WA TANZANIA
Nimefuatilia kwa karibu sana kuhusu kile kinachoitwa vita ya ufisadi nchini mwetu inayoendeshwa katika...
Waraka wa Mchungaji kwa Watanzania
Ndugu Mtanzania,
Naomba kuwasilisha kwako waraka huu ukiwa ni mwamsho na na hamasa kwetu kama Wananchi na Taifa ili kulikwamua taifa letu kutoka katika...
Ni katika kuitafuta haki, kuondoa fitina, majungu au habari zisizo na mshiko na za kusadikikasadikika.
1. Ufisadi wa Richmond ukoje? Je tunaupembua kama rushwa, kukiukwa sheria & taratibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.