Great Thinkers

JF's Great Thinkers' home | If you want to be enrolled, contact us
Kijana anapokua anatakiwa kutayarishwa ili akue kiakili . Aweze kutimiza majukumu yake katika familia yake lakini pia aweze kutimiza majukumu katika jamii yake na taifa lake. Ni wajibu wa jamii...
13 Reactions
0 Replies
3K Views
Kitu kibaya binadamu anachoweza kufanya ni kutumaini mambo mabaya kutokea kwa binadamu mwenzake, badala ya kumuombea kheri. Kwa kumuombea kheri na wewe pia unajiombea kheri. Kunasababu gani ya...
27 Reactions
0 Replies
5K Views
Tutakapoanza awamu ya tano ya uongozi Tanzania, nitarudi hapa kutaka tujadili sifa za viongozi wa siku sijazo kwa kuangalia vigezo hivyo. Sasa hivi siyo wakati mzuri kujadili mambo hayo.
7 Reactions
5 Replies
7K Views
Ni MUHIMU kuheshimu kila mtu Mipaka yake. Tusivuke mistari. Kuna mambo yanayotuhusu sisi tujishughulishe nayo hayo. Tusiingilie mambo ya wengine. Ingawaje wakati fulani tunakuwa sahihi na...
12 Reactions
0 Replies
4K Views
Binadamu na utukufu wake wote au uovu wake wote, mwisho wake ni kifo. Wote tutazikwa kule, Maskini kwa tajiri kifo hakichagui. Kinatenda haki kwa wote. Muda wetu wa kuishi duniani ni mfupi mno na...
18 Reactions
0 Replies
4K Views
Dunia ni chuo kama tunaishi kila siku tunajifunza. Toka tunazaliwa tunajifunza. Kwanza tunajifunza kutambaa, kisha kutembea, kusimama na kuongea, alafu tunajifunza mahusiano yetu na wengine...
10 Reactions
0 Replies
3K Views
MOJA YA KURASA YA KITABU CHA KIU YA UZALENDO AMBACHO NILIANDIKA MWAKA 2013 Lakini kwanza ni kwa jamii zetu kuwa na nidhamu, mpangilio na utaratibu. Maendeleo kama maendeleo ni matokeo ya kazi na...
10 Reactions
2 Replies
5K Views
Nadhani badala ya kumshangilia Raisi Magufuli kwa hatua anazochukua katika ukusanyaji na udhibiti wa kodi na matumizi yasiyo ya lazima katika serikali. Ambalo ni jambo la kimsingi . Tujue kwamba...
6 Reactions
1 Replies
4K Views
Uongozi ni sehemu ya mahusiano ya watu. Huwezi kuwa kiongozi mzuri kama huna maarifa katika mahusiano ya watu. Hiki ni kionjo muhimu sana katika uongozi. Watu wengi wanapungukiwa nacho. Ili uwe...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Katika mambo ambayo binadamu anatakiwa kulinda ni uhuru wake wa kutoa maoni na jinsi anavyoyaona mambo kwa upande wake. Uhuru huu ni msingi muhimu sana kwa jamii yeyote huru. Mtu anaweza kuwa na...
7 Reactions
0 Replies
4K Views
Maendeleo ya binadamu yanategemea sana watu. Watu ndio resource kubwa sana ambayo taifa lolote linalo, Kwa kiongozi mwenye akili atajua jinsi ya kutumia watu vizuri ili kujiletea maendeleo...
4 Reactions
0 Replies
3K Views
Ulaya na marekani wamehangaika sana katika uvumbuzi , swali la kujiuliza upande wetu huku Afrika wajibu wetu nini kwa sasa? Muelekeo wetu ni upi? Ni kweli kwamba kwa vumbuzi zao wameturahisishia...
5 Reactions
0 Replies
4K Views
Leo siongei sana naongea kitu kifupi mno kwa wenye akili watanielewa. Ni kitu gani kinachofanya mataifa kuwa makubwa na kutawala mataifa mengine? Ni uwezo wa mataifa hayo ku ''create'' ...
10 Reactions
0 Replies
3K Views
If you read Animal Farm by George Orwell, then you know how the 7 emancipation commandments were changed by the pigs, lead by Napoleon, after they came to power. 1. Before : Whatever goes upon...
8 Reactions
15 Replies
6K Views
Habari wana JF, Kawaida kama wanadamu huwa tunakuwa na matarajio ya vitu mbali mbali, na matarajio hayo huegemea tokana na viashiria vinavyowezesha haya matarajio ku materialise. Tumetofautiana...
51 Reactions
110 Replies
33K Views
Hamu kubwa ya kupata maarifa na ufahamu wa mambo ni jambo lililofanya mataifa ya ulaya kukua. Bila maarifa hakuna jamii itakayopiga hatua kimaendeleo. Jamii yeyote itakapoanza kuheshimu...
2 Reactions
0 Replies
3K Views
Haihitajiki kusubiri Jumatatu ya October 26 kuanza kutafakari Uchaguzi wa 2015. Matokeo ya uchaguzi kwa sisi wengine si kigezo sana tena cha kuona ni upande gani wa njia panda tunachukua kama...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
kuna habari ambazo zinatumwa katika mitandao ya kijamii kuwa mawakili wa cdm/ukawa wapo uholanzi kufungua kesi kuhusu uchaguzi huu na namna ccm ilivyobaka demokrasia, sasa naomba wataalam wa...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Wasalaam wakuu. Nianze kutoa pole kwa wafuasi/wanachama na waumini wa Upinzani wa kweli nchini bila kujali itikadi za vyama vyao. Pole zaidi zikiwa kwa wanaUKAWA lakini pia wanaCCM walioshindwa...
5 Reactions
0 Replies
3K Views
Wasalam wanajamvi! Heka heka za viongozi kutoka chama kimoja cha siasa kwenda kingine zinaendelea. Tofauti na miaka ya uchaguzi iliyopita mwaka kuanzia mwaka1995 hadi mwaka 2010, mwaka huu...
4 Reactions
4 Replies
4K Views
Back
Top Bottom