Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 15,406
- 31,387
UTANGULIZI
Joto la uchaguzi 2015 linapanda kwa kasi.
Tofauti na nyuma,mwaka huu kutakuwa na mitazamo tofauti baina ya vyama na ndani ya vyama
CCM ikitaka kuendeleza utawala wa miaka 50, wapinzani wakitaka kumaliza miaka 50 ya CCM.
Ni uchaguzi uliotanguliwa na wa serikali za mitaa uliotoa matokeo yasiyotarajiwa yanayoitia CCM hofu ya kuungana na UNIP–Zambia au KANU-Kenya katika maktaba
Kwa updande mwingine, ni uchaguzi unaokuja wapinzani wakizidi kuimarika katika vyama vyao au umoja wao wa UKAWA
Na ni uchaguzi unaokuja wananchi wakiwa katika hali tofauti zamitazamo
1 Kuondokewa hofu kuhusu upinzani kama vyama vya kuvuruga Amani
2 Hali ya maisha wakitazama umasikini waku titia na utajiri unatopea
3 Kupanda kwa gharama za maisha na kuvia kwa huduma za jamii na umma
4 Kupoteza matumani (hope) ya hatima ya nchi yao na kizazi kjacho
5 Kubobea kwa rushwa kama mfumo wa maisha ya nchi naWananchi
6 Kukiwa na mtafarauku wa zoezi la katiba kushindwa
7 Majaaliwa ya nchi katika muskabali mzima wa muungano
Kwa vigezo vyovyote uchaguzi hautabirikii .Siasa ni mchezo usiotabirika na wenye kutoa matokeo tofauti na inavyodhaniwa
Majibu, utabiri na ukweli wa uchaguzi upo kwa kundi moja tu,Wananchi.
Je, wananchi wanatambua wameshika karata muhimu kwa mustakabaliwao?
Je, wananchi wanajua maana ya uchaguzi na athari zake chanyana hasi?
Je, chamatawala kitaendelea kushika hatamu ya nchi?
Je, wapinzani wamejipanga kusahihisha makosa ya siku zilizopita?
Je, mvutano ndani ya CCM,utabiriwa kuparaganyika utatimia?
Je, Wananchi wamechoka, na watatafuta mabadilikonje ya CCM?
Je, hali ya wapinzani na upinzan iipoje kuelekea Oktoba?
Tutakuwa na mfululizo wa mabandiko kuangali uchaguzi kwa ujumlawake.
Katika mfululizo wa mabandiko, tutajadili
Umuhimu wa uchaguzi na kwanini Watanzania hawajaelewa
Changamoto zinazokabili pande mbiliza uchaguzi(watawala na wapinzani)
Mtazamo wa wagombea watarajiwa katikahatua za awali. Hali ya chamatawala baada ya miaka50
Mbinu mpya za CCM kuzuia mabadiliko ya kisiasa nchini(miswada ya sheria inayokimbizwa bungeni kwa hati za dharura)
Tunaomba uvumilivu wakati ukifika tutasemezana
Hakitaachwa kitu, mtu, watu au kundi. Nchi kwanza
Joto la uchaguzi 2015 linapanda kwa kasi.
Tofauti na nyuma,mwaka huu kutakuwa na mitazamo tofauti baina ya vyama na ndani ya vyama
CCM ikitaka kuendeleza utawala wa miaka 50, wapinzani wakitaka kumaliza miaka 50 ya CCM.
Ni uchaguzi uliotanguliwa na wa serikali za mitaa uliotoa matokeo yasiyotarajiwa yanayoitia CCM hofu ya kuungana na UNIP–Zambia au KANU-Kenya katika maktaba
Kwa updande mwingine, ni uchaguzi unaokuja wapinzani wakizidi kuimarika katika vyama vyao au umoja wao wa UKAWA
Na ni uchaguzi unaokuja wananchi wakiwa katika hali tofauti zamitazamo
1 Kuondokewa hofu kuhusu upinzani kama vyama vya kuvuruga Amani
2 Hali ya maisha wakitazama umasikini waku titia na utajiri unatopea
3 Kupanda kwa gharama za maisha na kuvia kwa huduma za jamii na umma
4 Kupoteza matumani (hope) ya hatima ya nchi yao na kizazi kjacho
5 Kubobea kwa rushwa kama mfumo wa maisha ya nchi naWananchi
6 Kukiwa na mtafarauku wa zoezi la katiba kushindwa
7 Majaaliwa ya nchi katika muskabali mzima wa muungano
Kwa vigezo vyovyote uchaguzi hautabirikii .Siasa ni mchezo usiotabirika na wenye kutoa matokeo tofauti na inavyodhaniwa
Majibu, utabiri na ukweli wa uchaguzi upo kwa kundi moja tu,Wananchi.
Je, wananchi wanatambua wameshika karata muhimu kwa mustakabaliwao?
Je, wananchi wanajua maana ya uchaguzi na athari zake chanyana hasi?
Je, chamatawala kitaendelea kushika hatamu ya nchi?
Je, wapinzani wamejipanga kusahihisha makosa ya siku zilizopita?
Je, mvutano ndani ya CCM,utabiriwa kuparaganyika utatimia?
Je, Wananchi wamechoka, na watatafuta mabadilikonje ya CCM?
Je, hali ya wapinzani na upinzan iipoje kuelekea Oktoba?
Tutakuwa na mfululizo wa mabandiko kuangali uchaguzi kwa ujumlawake.
Katika mfululizo wa mabandiko, tutajadili
Umuhimu wa uchaguzi na kwanini Watanzania hawajaelewa
Changamoto zinazokabili pande mbiliza uchaguzi(watawala na wapinzani)
Mtazamo wa wagombea watarajiwa katikahatua za awali. Hali ya chamatawala baada ya miaka50
Mbinu mpya za CCM kuzuia mabadiliko ya kisiasa nchini(miswada ya sheria inayokimbizwa bungeni kwa hati za dharura)
Tunaomba uvumilivu wakati ukifika tutasemezana
Hakitaachwa kitu, mtu, watu au kundi. Nchi kwanza