Wanajamvi
Huu ni mwendelezo wa uzi wa https://www.jamiiforums.com/great-thinkers/308989-duru-za-siasa-matukio-20.html
Tutaangalia matukio mbali mbali yanayotokea nchini na dunia kwa nyakati...
DEAR MZEE MATONYA WA UKWERENI....
Damn, Damn, Damn! Florida Evans would have cursed!
Damn, Damn, Damn, Mchungaji Kishoka is cursing!
Walahi huu Umatonya umetukaa fiti kama vile kushoneshewa...
Nimekuwa nikijiuliza kwa muda, hivi ni kweli kuwa Tanzania na watu wake wote ambao ni Milioni 39.999.999 tumekubali kwa urahisi kuongozwa na mtu mmoja na kwamba kila linalokwenda mrama ni yeye...
Benki Kuu imetoa ripoti yake kwa ajili ya mwaka wa fedha 2007/2008 ambayo inaonyesha deni la Taifa kuongezeka kwa takriban 25% katika mwaka mmoja! Deni letu la nje bado ni kubwa ingawa deni la...
Kama Taifa, Watanzania tumepoteza uimara na umadhubuti wa kudai kwa nguvu uwajibikaji.
Kama Taifa, tumeruhusu uongozi mbovu kushikilia dhamana ya kuliongoza Taifa.
Tumefanya hilo kwa hiari...
Hotuba kwa walalahoi wenzangu kutangaza nia ya kugombea urais wa Tanzania
Ndugu Walalahoi wenzangu,
Kwanza nimshukuru mwenyezi Mungu ambaye kwa uwezo wake usiomithilika tumepata pumzi na nguvu...
Watu wanadhani kwamba kufanikiwa ni kuwa na mali nyingi kuna ukweli katika hili jambo? kwamba mtu aliyefanikiwa ni yule mwenye mali nyingi na wote wasionazo hawajafanikiwa? sidhani kama kuna...
Ujumbe wangu leo ni kwa vijana popote walipo katika nchi yetu. Vijana wa aina zote kabisa. Wa mjini na wa vijijini. Walioelimika na wasioelimika. Kama kichwa cha habari kinavyoelezea nataka...
Kama **** shipping line kati ya South Africa na Tanzania upo?ngarama za kusafirisha pick up unacheza katika kiwango gani?crate lililobeba pikipiki inakuwaje gharama zake? Kuna agent aliyeko hapa...
Wanajamvi
Katika mabandiko 4 yajayo tutangaalia hali ya kisiasa mbali na BMK
Tutajadili mbinu na mikakati inayotarajiwa siku za karibuni
Namna CCM wanavyohaingaika kujinusuru
Na namna UKAWA...
Ukweli ni kwamba kama unanipenda utaniheshimu. Huwezi kuniambia unanipenda wakati huniheshimu. Mapenzi huonekana katika heshima. Kama unampenda mke wako utamheshimu na kama una mpenda mume wako...
Hiki ni kitabu kidogo cha busara. Ni matokeo ya tafakuri kuhusu maisha na mwenendo ulio bora. Kitabu hiki ni nuru na mwongozo uliobora. Kitaongeza ufahamu kwa wasio na ufamu na kukuza uelewa wao...
Ufalme uliogawanyika wenyewe kwa wenyewe hauwezi kusimama. Usemi huu una maana gani kwetu kama taifa? Je tunaweza kukaa na kutafakari kuhusu usemi huu? Nawaomba tukae na kufikiria kwa makini...
Kila wakati sisi binadamu ni muhimu kupata nafasi ya kufanya reflection. Tafakari ya kina kuhusu maisha yetu, kuhusu tabia zetu, kuhusu uwepo wetu duniani. Kuhusu mahusiano yetu. Ukuaji wa...
Ukitaka kuijua Marekani na CIA angalia hio mivie yenye title kill the messenger.
Hii ni kwa ajili ya ma anko ruckus wote wanaojipendekeza na ulaya na kuona wazungu wao ni malaika. Sitataja majina...
Je kwanini wapiga kura wamemtema Jonathan ?
Raia wa Nigeria wameshazoea kuwa rais anayeongoza hawezikushindwa katika uchaguzi wa Nigeria!
Lakini leo Nigeria imefungua ukurasa mpya.
Rais aliyeko...
Kuielewa rasimu ya katiba inahitaji kujua kusoma, kuandika, na kuhesabu. Kupiga kura kunahitaji kujua kusoma, kuandika, na kuhesabu. Sensa ya 2012 inaoesha kuna jumla ya watanzania 5.5m (milioni...
Viongozi wetu ni muhimu sana kujiepusha na kufanya biashara kama wanataka kuongoza taifa hili vyema, huwezi kuviweka vitu hivi pamoja na vikafanya kazi katika ufanisi wa hali ya juu. (Uongozi +...
Maarifa ni kitu cha msingi sana katika maisha ya binadamu, ili tuendeshe maisha yetu ya kila siku tunahitaji maarifa. Na kama maarifa yakituongoza katika kila kitu tunachofanya na kutenda...
MARIDHIANO NI BORA KULIKO KATIBA YENYEWE
CCM HAINA HOJA, SASA INATEMBEZA KIPIGO KWA KASI NA VIWANGO
WARIOBA KATETEA NCHI, WANANCHI MTAMWANGALIA HADI LINI?
Wana duru,
Kutokana na mazingira ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.