Dr Slaa na Zitto ni Double or Sleeper Agent?

Sikonge

JF-Expert Member
Jan 19, 2008
11,550
6,062
Nina uhakika kuna wengi wetu wameshaangalia sinema au kusoma vitabu vya kijajusi ambavyo Wapelelezi wa aina mbalimbali waliweza kupelekwa sehemu na kutulia kwa miaka mingi huku wakifanya kazi zao (Double Agent) au kutokufanya kitu chochote cha Kipelelezi na wakawa wanasubiri amri itoke ili waamshwe na kuanza kufanya kazi yao ambayo ni ya muda mfupi sana kutoweka (Sleeper Agent).

Kuna kesi nyingi hasa za Wauza madawa ya kulevya au Majambazi, Mafia nk ambapo Polisi na hasa FBI kwa USA, Scotland Yard wa UK nk walipeleka mtu wao ambaye na yeye alikuwa akifanya kila kitu kama jambazi. Alijenga uaminifu na hao majambazi hadi wakamuamini na wakawa wanampa siri zote za ndani. Kali zaidi kutokea ni lile tukio la miaka ya 90 ambapo FBI walienda kuusambaratisha mtandao hatari ndani ya POLISI wa New Orleans. Mapolisi hawa walikuwa wakitumia kofia ya Polisi kuuwa watu, kutesa watu na kuuza madawa ya kulevya nk.

Hawa Ma-agent au Wapelelezi wanaolazwa, mara nyingi ni NATO vs Russia, India vs Pakistan, North Korea vs South Korea, China vs USA nk. Hawa huja nchi wanayoitaka wakiwa vijana wakitokea nchi tofauti na yao. Wakifika sehemu wanapotakiwa kuishi wakisubiri amri, huweza kuanza maisha, kuzaa watoto na kushirikiana na Wenyeji wao vizuri tu hadi muda ukifika ndiyo hufanya kazi yao na kukimbia. Kuna mashirika au makampuni makubwa pia huibiana Techonology kwa kupeleka vijana kwenye shirika la upinzani.

Tumeshuhudia kwa miaka mingi sana vyama vya siasa vinapoanza kuwa maarufu, watu walewale waliokifanya chama kuwa maarufu huanza fujo na kukikimbia chama chao huku wakikiacha kikiwa kimemeguka. Cha ajabu ni kuwa hao hao watu ukiwachunguza sana, utagundua kuwa umaarufu wao ni kama ulikuwa umetengenezwa na Waandishi wa habari kwa uangalizi mkubwa sana. Wengi wao miaka ya zamani walirudi CCM.
Wote akina Mrema, Kabourou, Masumbuko Lamwai et el walitangazwa sana kwenye vyombo vya habari hadi wakajipatia umaarufu wa kutisha. Zitto Kabwe na Dr. Slaa pia siyo siri walitanganzwa sana hadi kila mtu akawafahamu. Pamoja na kupata upinzani kidogo wa hapa na pale kutoka kwa watu kama Shonzah na genge lake, upinzani huo walihakikisha haufanyi madhara makubwa. Mtu kama faizaFozxy alihakikisha kila wiki anamtaja Padre wake ili watu wasimsahau. Katika dunia hii, hakikisha unatajwatajwa sana iwe kwa mabaya au mazuri. Kama wewe hawakutaji, basi umekwisha kisiasa. Mti wenye matunda.... ndiyo msemo wao.

Tuje kwenye listi ya Mwembeyanga. Yale majina sijui nani aliyatoa ila tunaona hadi leo, anayetajwa ni mmoja tu Lowassa ingawa waliotajwa walikuwa 11 na bado wapo CCM. Hiyo listi ambayo Tundu Lissu anadai ndiyo aliiandaa, ndiyo iliyokuja kumpa umaarufu sana Dr. Slaa. Pia Dr Slaa alikuja kuwa hadi anatamba wazi kabisa kuwa nusu ya usalama wa Taifa (TISS) wanatoa ripoti kwake, mhhhhh!!!
Dr Slaa na Mzindakaya ukiwachunguza sana, unaona wanafanana. Wote walipewa majina na Skendo ili wazilipuwe.

Upande mwingine tuna Zitto vs Kafulila. Alichokifanya Zitto ni kuibua khashfa ya Madini na hapo vyombo vya habari vyote vikawa ni Zitto tu kila sehemu. Bungeni akasimamishwa kwa wiki kadhaa kufika kwenye vikao na kuanza kutembezwa nchi nzima kama shujaa. Alichofanya Zitto ukikiangalia sana, hakikuwa na madhara yeyote makubwa zaidi ya rasha rasha za hapa na pale.
Alichokifanya David Kafulila ni kilekile kwenye kesi ya Escrwo. Ila kwa Kafulila, hili halikuwa limemapangwa na madhara yake yakawa makubwa sana. Kafulila hakupewa umaarufu wowote na kibaya zaidi akawa kama vile anaminywa kabisa kwenye vyombo vya habari. Siku hizi amebaki yeye kujisifu tu ila Media hazisemi kabisa. Kama hiyo haitoshi, Zitto akadandia hilo treni na kusema hizo habari za Escrow ni yeye ndiyo alimpa ili mradi kupunguza umaarufu huo wa David Kafulila .

Kwa sasa hivi siyo siri tena kuwa Zitto yupoyupo tu na ni kama Agent aliyefumuliwa kabla ya muda na sasa hivi wanamuangalizia Plan B ili asije kuwekwa uchi zaidi. Anaweza kuwa hapo na baada ya uchaguzi, yeye na ATC wakawa wanapewa umaarufu hadi wawe chama maarufu cha upinzani, tayari kwenda kuwavuruga wapinzani wengine.

Kinachonisumbua hadi leo kwangu mimi ni:
- Kwa nini Mzee Slaa kaacha Chadema na kuingia CCM kwa mlango wa nyuma kama alivyoingia Serena Hotel?

- Je alikuwa kazini siku nyingi akiwa amelazwa akisubiri muda tu?

- Je Zitto hakuwa Agent wa CCM kama tulivyoaminishwa hapa ila alibebeshwa Mikoba yote ili watu wamuone yeye tu na kutokumfikiria kabisa Dr Slaa kama Msaliti wa kweli?

- Au ni kweli Mama Josephine alimfukuza ndani na akalala kwenye gari na baada ya hapo akawa kashikishwa adabu na akapiga magoti kutii amri za Josephine? Yaani kama usaliti ndiyo ulianza na ilibidi asalimu amri kwa kuchagua kushikamana na Josephine au kuisaliti Chadema na kwenda CCM.

- Je mtu aliyesemwa hana KIPATO kwenye ule Waraka wa Prof. Mkumbo au Samson Mwigamba na wakakataa katakata kumtaja na wengi wakidhani ni Zitto, alikuwa ni Dr Slaa?
- Kwa nini Tundu Lissu na Kafulila pamoja na kazi kubwa walioifanya bungeni, hadi leo hawajapewa umaarufu wa Zitto na Dr Slaa?
- Kwa nini wizi wa Escrow na madudu mengine hayasemwi ila Richmond peke yake ingawa inamhusisha Kikwete moja kwa moja? Je baada ya uchaguzi, watu wataendelea na Richmond na hasa ukichukulia Mkubwa hatakuwa badi Mkubwa?

- Je ni kweli Dr. Slaa kaamua kuimaliza Chadema na hasa Lowassa au ni Double Agent wa Chadema huko CCM? Tumtegemee wiki kadhaa kabla ya uchaguzi arudi Chadema na kuanika yote aliyofanyiwa na CCM? Hadi leo hakuna jipya sana alilolisema ambalo watu hawalijui kuhusu Lowassa. Labda ya Chadema.

Kama kweli Dr wetu alikuwa ndiyo Silaha ya mwisho ya CCM ndani ya Chadema ambayo walikuwa wakiitegemea, basi inabidi kumpa hongera sana Mbowe kwa mchezo alioufanya. Kama angelibaki na Dr Slaa kama mgombea wa Chadema, basi Magufuli alikuwa kashajishindia siku nyingi na akibaki kuapishwa tu.
Je CCM wana mtu bado ndani ya Chadema? Kwangu mie aliyebaki pekee marufu ni Mbowe ingawa na yeye ni kama vile kuna mtu anahakikisha anadharaulika sana nchi hii. Tishio pekee kwa siku za mbeleni ni Mnyika na Lissu ila na wao pamoja na juhudi zote, wanahakikisha habari zao haziandikwi sana.

Mwisho nikiri kuwa Usalama wa Taifa wa Tanzania (TISS) kuna mijitu ina VICHWA, laiti vingelitumika kujenga UCHUMI?

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Nina uhakika kuna wengi wetu wameshaangalia sinema au kusoma vitabu vya kijajusi ambavyo Wapelelezi wa aina mbalimbali waliweza kupelekwa sehemu na kutulia kwa miaka mingi huku wakifanya kazi zao (Double Agent) au kutokufanya kitu chochote cha Kipelelezi na wakawa wanasubiri amri itoke ili waamshwe na kuanza kufanya kazi yao ambayo ni ya muda mfupi sana kutoweka (Sleeper Agent).

Kuna kesi nyingi hasa za Wauza madawa ya kulevya au Majambazi, Mafia nk ambapo Polisi na hasa FBI kwa USA, Scotland Yard wa UK nk walipeleka mtu wao ambaye na yeye alikuwa akifanya kila kitu kama jambazi. Alijenga uaminifu na hao majambazi hadi wakamuamini na wakawa wanampa siri zote za ndani. Kali zaidi kutokea ni lile tukio la miaka ya 90 ambapo FBI walienda kuusambaratisha mtandao hatari ndani ya POLISI wa New Orleans. Mapolisi hawa walikuwa wakitumia kofia ya Polisi kuuwa watu, kutesa watu na kuuza madawa ya kulevya nk.

Hawa Ma-agent au Wapelelezi wanaolazwa, mara nyingi ni NATO vs Russia, India vs Pakistan, North Korea vs South Korea, China vs USA nk. Hawa huja nchi wanayoitaka wakiwa vijana wakitokea nchi tofauti na yao. Wakifika sehemu wanapotakiwa kuishi wakisubiri amri, huweza kuanza maisha, kuzaa watoto na kushirikiana na Wenyeji wao vizuri tu hadi muda ukifika ndiyo hufanya kazi yao na kukimbia. Kuna mashirika au makampuni makubwa pia huibiana Techonology kwa kupeleka vijana kwenye shirika la upinzani.

Tumeshuhudia kwa miaka mingi sana vyama vya siasa vinapoanza kuwa maarufu, watu walewale waliokifanya chama kuwa maarufu huanza fujo na kukikimbia chama chao huku wakikiacha kikiwa kimemeguka. Cha ajabu ni kuwa hao hao watu ukiwachunguza sana, utagundua kuwa umaarufu wao ni kama ulikuwa umetengenezwa na Waandishi wa habari kwa uangalizi mkubwa sana. Wengi wao miaka ya zamani walirudi CCM.
Wote akina Mrema, Kabourou, Masumbuko Lamwai et el walitangazwa sana kwenye vyombo vya habari hadi wakajipatia umaarufu wa kutisha. Zitto Kabwe na Dr. Slaa pia siyo siri walitanganzwa sana hadi kila mtu akawafahamu. Pamoja na kupata upinzani kidogo wa hapa na pale kutoka kwa watu kama Shonzah na genge lake, upinzani huo walihakikisha haufanyi madhara makubwa. Mtu kama faizaFozxy alihakikisha kila wiki anamtaja Padre wake ili watu wasimsahau. Katika dunia hii, hakikisha unatajwatajwa sana iwe kwa mabaya au mazuri. Kama wewe hawakutaji, basi umekwisha kisiasa. Mti wenye matunda.... ndiyo msemo wao.

Tuje kwenye listi ya Mwembeyanga. Yale majina sijui nani aliyatoa ila tunaona hadi leo, anayetajwa ni mmoja tu Lowassa ingawa waliotajwa walikuwa 11 na bado wapo CCM. Hiyo listi ambayo Tundu Lissu anadai ndiyo aliiandaa, ndiyo iliyokuja kumpa umaarufu sana Dr. Slaa. Pia Dr Slaa alikuja kuwa hadi anatamba wazi kabisa kuwa nusu ya usalama wa Taifa (TISS) wanatoa ripoti kwake, mhhhhh!!!
Dr Slaa na Mzindakaya ukiwachunguza sana, unaona wanafanana. Wote walipewa majina na Skendo ili wazilipuwe.

Upande mwingine tuna Zitto vs Kafulila. Alichokifanya Zitto ni kuibua khashfa ya Madini na hapo vyombo vya habari vyote vikawa ni Zitto tu kila sehemu. Bungeni akasimamishwa kwa wiki kadhaa kufika kwenye vikao na kuanza kutembezwa nchi nzima kama shujaa. Alichofanya Zitto ukikiangalia sana, hakikuwa na madhara yeyote makubwa zaidi ya rasha rasha za hapa na pale.
Alichokifanya David Kafulila ni kilekile kwenye kesi ya Escrwo. Ila kwa Kafulila, hili halikuwa limemapangwa na madhara yake yakawa makubwa sana. Kafulila hakupewa umaarufu wowote na kibaya zaidi akawa kama vile anaminywa kabisa kwenye vyombo vya habari. Siku hizi amebaki yeye kujisifu tu ila Media hazisemi kabisa. Kama hiyo haitoshi, Zitto akadandia hilo treni na kusema hizo habari za Escrow ni yeye ndiyo alimpa ili mradi kupunguza umaarufu huo wa David Kafulila .

Kwa sasa hivi siyo siri tena kuwa Zitto yupoyupo tu na ni kama Agent aliyefumuliwa kabla ya muda na sasa hivi wanamuangalizia Plan B ili asije kuwekwa uchi zaidi. Anaweza kuwa hapo na baada ya uchaguzi, yeye na ATC wakawa wanapewa umaarufu hadi wawe chama maarufu cha upinzani, tayari kwenda kuwavuruga wapinzani wengine.

Kinachonisumbua hadi leo kwangu mimi ni:
- Kwa nini Mzee Slaa kaacha Chadema na kuingia CCM kwa mlango wa nyuma kama alivyoingia Serena Hotel?

- Je alikuwa kazini siku nyingi akiwa amelazwa akisubiri muda tu?

- Je Zitto hakuwa Agent wa CCM kama tulivyoaminishwa hapa ila alibebeshwa Mikoba yote ili watu wamuone yeye tu na kutokumfikiria kabisa Dr Slaa kama Msaliti wa kweli?

- Au ni kweli Mama Josephine alimfukuza ndani na akalala kwenye gari na baada ya hapo akawa kashikishwa adabu na akapiga magoti kutii amri za Josephine? Yaani kama usaliti ndiyo ulianza na ilibidi asalimu amri kwa kuchagua kushikamana na Josephine au kuisaliti Chadema na kwenda CCM.

- Je mtu aliyesemwa hana KIPATO kwenye ule Waraka wa Prof. Mkumbo au Samson Mwigamba na wakakataa katakata kumtaja na wengi wakidhani ni Zitto, alikuwa ni Dr Slaa?
- Kwa nini Tundu Lissu na Kafulila pamoja na kazi kubwa walioifanya bungeni, hadi leo hawajapewa umaarufu wa Zitto na Dr Slaa?
- Kwa nini wizi wa Escrow na madudu mengine hayasemwi ila Richmond peke yake ingawa inamhusisha Kikwete moja kwa moja? Je baada ya uchaguzi, watu wataendelea na Richmond na hasa ukichukulia Mkubwa hatakuwa badi Mkubwa?

- Je ni kweli Dr. Slaa kaamua kuimaliza Chadema na hasa Lowassa au ni Double Agent wa Chadema huko CCM? Tumtegemee wiki kadhaa kabla ya uchaguzi arudi Chadema na kuanika yote aliyofanyiwa na CCM? Hadi leo hakuna jipya sana alilolisema ambalo watu hawalijui kuhusu Lowassa. Labda ya Chadema.

Kama kweli Dr wetu alikuwa ndiyo Silaha ya mwisho ya CCM ndani ya Chadema ambayo walikuwa wakiitegemea, basi inabidi kumpa hongera sana Mbowe kwa mchezo alioufanya. Kama angelibaki na Dr Slaa kama mgombea wa Chadema, basi Magufuli alikuwa kashajishindia siku nyingi na akibaki kuapishwa tu.
Je CCM wana mtu bado ndani ya Chadema? Kwangu mie aliyebaki pekee marufu ni Mbowe ingawa na yeye ni kama vile kuna mtu anahakikisha anadharaulika sana nchi hii. Tishio pekee kwa siku za mbeleni ni Mnyika na Lissu ila na wao pamoja na juhudi zote, wanahakikisha habari zao haziandikwi sana.

Mwisho nikiri kuwa Usalama wa Taifa wa Tanzania (TISS) kuna mijitu ina VICHWA, laiti vingelitumika kujenga UCHUMI?

Mungu Ibariki Tanzania.
Hii ni habari nzuri sana kuisoma na kutafakari kisinema,i ndio kama hadith za kusadikika kina Alfu Lela ulela na kina Umsolopagas na Inkosikazi yake. Mkuu wangu hivi sio wewe uloanzisha humu mada ya kumchagua Dr.Slaa naukampa sifa zote mwaka 2010 tukishirikiana na wengi wakampokea? sasa iweje leo usema Dr.Slaa anaweza kuwa double au sleeper agent lakini umeshindwa kumuona Lowassa kama agent anapoingia ambaye alikuwa na nguvu zote tena Fisadi kwa kwanza katika List ambayo wewe unasema Tundu Lissu ndiye aloiandaa!..

Yaani kumbe list aliandaa Tundu Lissu akiwa na ushahidi tosha, leo yeye anadai tupeleke ushahidi wa Ufisadi wa Lowassa ati kumbe leo katakaswa na kuwa msafi? huyu Tundu Lissu ni mwanasheria - WAKILI kwa taaluma tena kabobea leo anataka kusema alipompa Dr.Slaa yale majina hakuwa na Ushahidi zilikuwa tuhuma! na aliweza vipi kumpumbaza Dr.Slaa na kundi zima la UKAWA maana hawa walikuwepo na wameungana kama leo hii, hadi wajipange pamoja na kumpa ridhaa yao Dr.Slaa awataje viongozi wa juu wa CCM na serikali (list of Shame) ambao unasema wamemtuma yeye kuja CDM kupeleleza. Kupeleleza lipi ikiwa wao ndio wanatajwa hadharani kuwa mafisadi? Hii inaingia akilini kweli?

Ila basi kinachoweza kueleweka zaidi ni hatua ilipofika Chadema, chama kimesambaratika tena wakati wa Uchaguzi baada ya kufanya vizuri mwaka 2010.. Kwa nini mtafute mchawi wakati tumefunzwa kuwa Katika misiba - Wachawi ndio hulia tena kwa sauti kubwa na mayowe huku macho yao makavu!. Ndio nayaona UKAWA leo, Mimi sijamsikia kiongozi yeyote wa Chadema walobakia akiwa na uchungu wa chama hapa kilipofika. Wote wanasherehekea mavuno ambayo hawakuyapanda ni kama kusherehekea mali za China!

Dr.Slaa alisema kweli nusu ya usalama wa Taifa (TISS) wana report kwake, sasa wewe ulitaka wa report kwa nani ikiwa yeye ndiye alokuwa mgombea Urais kwa tiketi ya Chadema? Kwani Alichokisema pale ilikuwa uongo au ni mikakati waloandaa viongozi wa Chadema kuhakikisha Usalama wa Taifa wanawaunga mkono..

Sema asichokijua Dr.Slaa wakati wote ni kwamba Usalama wa Taifa walikuwa katika makundi mawili moja la huyu Supreme leader wenu dhidi ya Usalama walobakia na JK. Inajulikana wazi kuwa ujio wa Othman Rashid kuwa mkuu wa Usalama iliwaumiza wengi walokuwa juu yake. Na hata Zitto alipokuwa akikutana na mtu yeyote wa Usalama wa Taifa ambaye yuko upande wa JK habari zilipelekwa CDM kuwa Zitto anauza chama lakini Je, wale wa Upande wa Supreme walikuwa wasafi?. Sidhani kama Zitto na Dr.Slaa walijua haya maana yaliandaliwa na wazee wenyewe kuwa mgombea Urais hatakuwa kati yao iwe 2015 wala 2020. Hizi ndio za mujini na ugonvi baina ya Mbowe na Zitto ulitengenezwa toka mwanzo mzee wetu Dr Slaa zezeta kwa Uadilifu hakujua vya kunyonga japo haramu lakni vinalika kwa wenye uchu..

Kwa hiyo, kulikuwepo kweli na watu wa Lowassa toka NEC hadi Usalama wa Taifa wakitumiwa na Chadema baada ya kuangushwa kwa Lowassa uwaziri mkuu kaitka maandalizi ya haya tunayoyaona leo. Lakini haikuwa siri kwao, na JK alikuwa mjanja zaidi kuendelea kumpa HOPE Lowassa ndani ya chama hadi pale walipokuwa tayari kama alivyoweza kuwahadaa Chadema na Warioba kwenye Katiba MPYA. JK alikuwa mjuzi wa kununua muda akiamini Wadanganyika (Watanzania) wepesi wa kusahau lakini leo haya yote unaweza mtokea puani..Kwa aina fulani Mabadiliko mnayotaka ndio CCM wameyafanya toka ndani.. JK anaweza kusikfika kwa hili kuwaondoa wachawi CCM bila uganga!

Nilimuamini Zitto toka zamani sii kwa sababu ya mapenzi naye isipokuwa kwa kuelewa ukweli wa haya na ya Dr.Slaa hayana ubishi kabisa Chadema wamechemsha wenyewe toka walipoamua kuacha misingi ilowafikisha hapo walipo hata kama walifunika kombe. Leo hii Tanzania tunakosa hata kujiuza na mali zetu wenyewe kwa sababu tunategemea mali za nje tena fake toka China kuwa bora zaidi ya vyetu halafu unaweza kweli kulaumu viongozi? Hii ni HULKA (Mentality), ni akili ya Wapumbavu ama niseme ma Lodi Lofa wasiojiamini!
 
Nina uhakika kuna wengi wetu wameshaangalia sinema au kusoma vitabu vya kijajusi ambavyo Wapelelezi wa aina mbalimbali waliweza kupelekwa sehemu na kutulia kwa miaka mingi huku wakifanya kazi zao (Double Agent) au kutokufanya kitu chochote cha Kipelelezi na wakawa wanasubiri amri itoke ili waamshwe na kuanza kufanya kazi yao ambayo ni ya muda mfupi sana kutoweka (Sleeper Agent).

Kuna kesi nyingi hasa za Wauza madawa ya kulevya au Majambazi, Mafia nk ambapo Polisi na hasa FBI kwa USA, Scotland Yard wa UK nk walipeleka mtu wao ambaye na yeye alikuwa akifanya kila kitu kama jambazi. Alijenga uaminifu na hao majambazi hadi wakamuamini na wakawa wanampa siri zote za ndani. Kali zaidi kutokea ni lile tukio la miaka ya 90 ambapo FBI walienda kuusambaratisha mtandao hatari ndani ya POLISI wa New Orleans. Mapolisi hawa walikuwa wakitumia kofia ya Polisi kuuwa watu, kutesa watu na kuuza madawa ya kulevya nk.

Hawa Ma-agent au Wapelelezi wanaolazwa, mara nyingi ni NATO vs Russia, India vs Pakistan, North Korea vs South Korea, China vs USA nk. Hawa huja nchi wanayoitaka wakiwa vijana wakitokea nchi tofauti na yao. Wakifika sehemu wanapotakiwa kuishi wakisubiri amri, huweza kuanza maisha, kuzaa watoto na kushirikiana na Wenyeji wao vizuri tu hadi muda ukifika ndiyo hufanya kazi yao na kukimbia. Kuna mashirika au makampuni makubwa pia huibiana Techonology kwa kupeleka vijana kwenye shirika la upinzani.

Tumeshuhudia kwa miaka mingi sana vyama vya siasa vinapoanza kuwa maarufu, watu walewale waliokifanya chama kuwa maarufu huanza fujo na kukikimbia chama chao huku wakikiacha kikiwa kimemeguka. Cha ajabu ni kuwa hao hao watu ukiwachunguza sana, utagundua kuwa umaarufu wao ni kama ulikuwa umetengenezwa na Waandishi wa habari kwa uangalizi mkubwa sana. Wengi wao miaka ya zamani walirudi CCM.
Wote akina Mrema, Kabourou, Masumbuko Lamwai et el walitangazwa sana kwenye vyombo vya habari hadi wakajipatia umaarufu wa kutisha. Zitto Kabwe na Dr. Slaa pia siyo siri walitanganzwa sana hadi kila mtu akawafahamu. Pamoja na kupata upinzani kidogo wa hapa na pale kutoka kwa watu kama Shonzah na genge lake, upinzani huo walihakikisha haufanyi madhara makubwa. Mtu kama faizaFozxy alihakikisha kila wiki anamtaja Padre wake ili watu wasimsahau. Katika dunia hii, hakikisha unatajwatajwa sana iwe kwa mabaya au mazuri. Kama wewe hawakutaji, basi umekwisha kisiasa. Mti wenye matunda.... ndiyo msemo wao.

Tuje kwenye listi ya Mwembeyanga. Yale majina sijui nani aliyatoa ila tunaona hadi leo, anayetajwa ni mmoja tu Lowassa ingawa waliotajwa walikuwa 11 na bado wapo CCM. Hiyo listi ambayo Tundu Lissu anadai ndiyo aliiandaa, ndiyo iliyokuja kumpa umaarufu sana Dr. Slaa. Pia Dr Slaa alikuja kuwa hadi anatamba wazi kabisa kuwa nusu ya usalama wa Taifa (TISS) wanatoa ripoti kwake, mhhhhh!!!
Dr Slaa na Mzindakaya ukiwachunguza sana, unaona wanafanana. Wote walipewa majina na Skendo ili wazilipuwe.

Upande mwingine tuna Zitto vs Kafulila. Alichokifanya Zitto ni kuibua khashfa ya Madini na hapo vyombo vya habari vyote vikawa ni Zitto tu kila sehemu. Bungeni akasimamishwa kwa wiki kadhaa kufika kwenye vikao na kuanza kutembezwa nchi nzima kama shujaa. Alichofanya Zitto ukikiangalia sana, hakikuwa na madhara yeyote makubwa zaidi ya rasha rasha za hapa na pale.
Alichokifanya David Kafulila ni kilekile kwenye kesi ya Escrwo. Ila kwa Kafulila, hili halikuwa limemapangwa na madhara yake yakawa makubwa sana. Kafulila hakupewa umaarufu wowote na kibaya zaidi akawa kama vile anaminywa kabisa kwenye vyombo vya habari. Siku hizi amebaki yeye kujisifu tu ila Media hazisemi kabisa. Kama hiyo haitoshi, Zitto akadandia hilo treni na kusema hizo habari za Escrow ni yeye ndiyo alimpa ili mradi kupunguza umaarufu huo wa David Kafulila .

Kwa sasa hivi siyo siri tena kuwa Zitto yupoyupo tu na ni kama Agent aliyefumuliwa kabla ya muda na sasa hivi wanamuangalizia Plan B ili asije kuwekwa uchi zaidi. Anaweza kuwa hapo na baada ya uchaguzi, yeye na ATC wakawa wanapewa umaarufu hadi wawe chama maarufu cha upinzani, tayari kwenda kuwavuruga wapinzani wengine.

Kinachonisumbua hadi leo kwangu mimi ni:
- Kwa nini Mzee Slaa kaacha Chadema na kuingia CCM kwa mlango wa nyuma kama alivyoingia Serena Hotel?

- Je alikuwa kazini siku nyingi akiwa amelazwa akisubiri muda tu?

- Je Zitto hakuwa Agent wa CCM kama tulivyoaminishwa hapa ila alibebeshwa Mikoba yote ili watu wamuone yeye tu na kutokumfikiria kabisa Dr Slaa kama Msaliti wa kweli?

- Au ni kweli Mama Josephine alimfukuza ndani na akalala kwenye gari na baada ya hapo akawa kashikishwa adabu na akapiga magoti kutii amri za Josephine? Yaani kama usaliti ndiyo ulianza na ilibidi asalimu amri kwa kuchagua kushikamana na Josephine au kuisaliti Chadema na kwenda CCM.

- Je mtu aliyesemwa hana KIPATO kwenye ule Waraka wa Prof. Mkumbo au Samson Mwigamba na wakakataa katakata kumtaja na wengi wakidhani ni Zitto, alikuwa ni Dr Slaa?
- Kwa nini Tundu Lissu na Kafulila pamoja na kazi kubwa walioifanya bungeni, hadi leo hawajapewa umaarufu wa Zitto na Dr Slaa?
- Kwa nini wizi wa Escrow na madudu mengine hayasemwi ila Richmond peke yake ingawa inamhusisha Kikwete moja kwa moja? Je baada ya uchaguzi, watu wataendelea na Richmond na hasa ukichukulia Mkubwa hatakuwa badi Mkubwa?

- Je ni kweli Dr. Slaa kaamua kuimaliza Chadema na hasa Lowassa au ni Double Agent wa Chadema huko CCM? Tumtegemee wiki kadhaa kabla ya uchaguzi arudi Chadema na kuanika yote aliyofanyiwa na CCM? Hadi leo hakuna jipya sana alilolisema ambalo watu hawalijui kuhusu Lowassa. Labda ya Chadema.

Kama kweli Dr wetu alikuwa ndiyo Silaha ya mwisho ya CCM ndani ya Chadema ambayo walikuwa wakiitegemea, basi inabidi kumpa hongera sana Mbowe kwa mchezo alioufanya. Kama angelibaki na Dr Slaa kama mgombea wa Chadema, basi Magufuli alikuwa kashajishindia siku nyingi na akibaki kuapishwa tu.
Je CCM wana mtu bado ndani ya Chadema? Kwangu mie aliyebaki pekee marufu ni Mbowe ingawa na yeye ni kama vile kuna mtu anahakikisha anadharaulika sana nchi hii. Tishio pekee kwa siku za mbeleni ni Mnyika na Lissu ila na wao pamoja na juhudi zote, wanahakikisha habari zao haziandikwi sana.

Mwisho nikiri kuwa Usalama wa Taifa wa Tanzania (TISS) kuna mijitu ina VICHWA, laiti vingelitumika kujenga UCHUMI?

Mungu Ibariki Tanzania.
Hii drama peleka jukwaa la siasa.
 
Nimeweka maswali mengi Sana lakini hukujibu hata moja. Nini maoni yako kwa Maswali yangu? Una nyongeza?

Nilitegemea utasoma Na kujikita kwenye habari hiyo. Soma tena yote ndiyo ujibu Mkuu.

Sikonge, unataka kusafisha ubabaishaji wa Mbowe na Mbatia kwa drama?, acha hizo
 
Kama GT, nilitegemea mengi zaidi ya mipasho. Jitahidi usome Na ujibu walau swami mojo tu. Habari hapa Ni swali......

UKIPENDA SANA unapunguza uwezo wa kufikili...CHADEMA shimoni
 
Nina uhakika kuna wengi wetu wameshaangalia sinema au kusoma vitabu vya kijajusi ambavyo Wapelelezi wa aina mbalimbali waliweza kupelekwa sehemu na kutulia kwa miaka mingi huku wakifanya kazi zao (Double Agent) au kutokufanya kitu chochote cha Kipelelezi na wakawa wanasubiri amri itoke ili waamshwe na kuanza kufanya kazi yao ambayo ni ya muda mfupi sana kutoweka (Sleeper Agent).

Kuna kesi nyingi hasa za Wauza madawa ya kulevya au Majambazi, Mafia nk ambapo Polisi na hasa FBI kwa USA, Scotland Yard wa UK nk walipeleka mtu wao ambaye na yeye alikuwa akifanya kila kitu kama jambazi. Alijenga uaminifu na hao majambazi hadi wakamuamini na wakawa wanampa siri zote za ndani. Kali zaidi kutokea ni lile tukio la miaka ya 90 ambapo FBI walienda kuusambaratisha mtandao hatari ndani ya POLISI wa New Orleans. Mapolisi hawa walikuwa wakitumia kofia ya Polisi kuuwa watu, kutesa watu na kuuza madawa ya kulevya nk.

Hawa Ma-agent au Wapelelezi wanaolazwa, mara nyingi ni NATO vs Russia, India vs Pakistan, North Korea vs South Korea, China vs USA nk. Hawa huja nchi wanayoitaka wakiwa vijana wakitokea nchi tofauti na yao. Wakifika sehemu wanapotakiwa kuishi wakisubiri amri, huweza kuanza maisha, kuzaa watoto na kushirikiana na Wenyeji wao vizuri tu hadi muda ukifika ndiyo hufanya kazi yao na kukimbia. Kuna mashirika au makampuni makubwa pia huibiana Techonology kwa kupeleka vijana kwenye shirika la upinzani.

Tumeshuhudia kwa miaka mingi sana vyama vya siasa vinapoanza kuwa maarufu, watu walewale waliokifanya chama kuwa maarufu huanza fujo na kukikimbia chama chao huku wakikiacha kikiwa kimemeguka. Cha ajabu ni kuwa hao hao watu ukiwachunguza sana, utagundua kuwa umaarufu wao ni kama ulikuwa umetengenezwa na Waandishi wa habari kwa uangalizi mkubwa sana. Wengi wao miaka ya zamani walirudi CCM.
Wote akina Mrema, Kabourou, Masumbuko Lamwai et el walitangazwa sana kwenye vyombo vya habari hadi wakajipatia umaarufu wa kutisha. Zitto Kabwe na Dr. Slaa pia siyo siri walitanganzwa sana hadi kila mtu akawafahamu. Pamoja na kupata upinzani kidogo wa hapa na pale kutoka kwa watu kama Shonzah na genge lake, upinzani huo walihakikisha haufanyi madhara makubwa. Mtu kama faizaFozxy alihakikisha kila wiki anamtaja Padre wake ili watu wasimsahau. Katika dunia hii, hakikisha unatajwatajwa sana iwe kwa mabaya au mazuri. Kama wewe hawakutaji, basi umekwisha kisiasa. Mti wenye matunda.... ndiyo msemo wao.

Tuje kwenye listi ya Mwembeyanga. Yale majina sijui nani aliyatoa ila tunaona hadi leo, anayetajwa ni mmoja tu Lowassa ingawa waliotajwa walikuwa 11 na bado wapo CCM. Hiyo listi ambayo Tundu Lissu anadai ndiyo aliiandaa, ndiyo iliyokuja kumpa umaarufu sana Dr. Slaa. Pia Dr Slaa alikuja kuwa hadi anatamba wazi kabisa kuwa nusu ya usalama wa Taifa (TISS) wanatoa ripoti kwake, mhhhhh!!!
Dr Slaa na Mzindakaya ukiwachunguza sana, unaona wanafanana. Wote walipewa majina na Skendo ili wazilipuwe.

Upande mwingine tuna Zitto vs Kafulila. Alichokifanya Zitto ni kuibua khashfa ya Madini na hapo vyombo vya habari vyote vikawa ni Zitto tu kila sehemu. Bungeni akasimamishwa kwa wiki kadhaa kufika kwenye vikao na kuanza kutembezwa nchi nzima kama shujaa. Alichofanya Zitto ukikiangalia sana, hakikuwa na madhara yeyote makubwa zaidi ya rasha rasha za hapa na pale.
Alichokifanya David Kafulila ni kilekile kwenye kesi ya Escrwo. Ila kwa Kafulila, hili halikuwa limemapangwa na madhara yake yakawa makubwa sana. Kafulila hakupewa umaarufu wowote na kibaya zaidi akawa kama vile anaminywa kabisa kwenye vyombo vya habari. Siku hizi amebaki yeye kujisifu tu ila Media hazisemi kabisa. Kama hiyo haitoshi, Zitto akadandia hilo treni na kusema hizo habari za Escrow ni yeye ndiyo alimpa ili mradi kupunguza umaarufu huo wa David Kafulila .

Kwa sasa hivi siyo siri tena kuwa Zitto yupoyupo tu na ni kama Agent aliyefumuliwa kabla ya muda na sasa hivi wanamuangalizia Plan B ili asije kuwekwa uchi zaidi. Anaweza kuwa hapo na baada ya uchaguzi, yeye na ATC wakawa wanapewa umaarufu hadi wawe chama maarufu cha upinzani, tayari kwenda kuwavuruga wapinzani wengine.

Kinachonisumbua hadi leo kwangu mimi ni:
- Kwa nini Mzee Slaa kaacha Chadema na kuingia CCM kwa mlango wa nyuma kama alivyoingia Serena Hotel?

- Je alikuwa kazini siku nyingi akiwa amelazwa akisubiri muda tu?

- Je Zitto hakuwa Agent wa CCM kama tulivyoaminishwa hapa ila alibebeshwa Mikoba yote ili watu wamuone yeye tu na kutokumfikiria kabisa Dr Slaa kama Msaliti wa kweli?

- Au ni kweli Mama Josephine alimfukuza ndani na akalala kwenye gari na baada ya hapo akawa kashikishwa adabu na akapiga magoti kutii amri za Josephine? Yaani kama usaliti ndiyo ulianza na ilibidi asalimu amri kwa kuchagua kushikamana na Josephine au kuisaliti Chadema na kwenda CCM.

- Je mtu aliyesemwa hana KIPATO kwenye ule Waraka wa Prof. Mkumbo au Samson Mwigamba na wakakataa katakata kumtaja na wengi wakidhani ni Zitto, alikuwa ni Dr Slaa?
- Kwa nini Tundu Lissu na Kafulila pamoja na kazi kubwa walioifanya bungeni, hadi leo hawajapewa umaarufu wa Zitto na Dr Slaa?
- Kwa nini wizi wa Escrow na madudu mengine hayasemwi ila Richmond peke yake ingawa inamhusisha Kikwete moja kwa moja? Je baada ya uchaguzi, watu wataendelea na Richmond na hasa ukichukulia Mkubwa hatakuwa badi Mkubwa?

- Je ni kweli Dr. Slaa kaamua kuimaliza Chadema na hasa Lowassa au ni Double Agent wa Chadema huko CCM? Tumtegemee wiki kadhaa kabla ya uchaguzi arudi Chadema na kuanika yote aliyofanyiwa na CCM? Hadi leo hakuna jipya sana alilolisema ambalo watu hawalijui kuhusu Lowassa. Labda ya Chadema.

Kama kweli Dr wetu alikuwa ndiyo Silaha ya mwisho ya CCM ndani ya Chadema ambayo walikuwa wakiitegemea, basi inabidi kumpa hongera sana Mbowe kwa mchezo alioufanya. Kama angelibaki na Dr Slaa kama mgombea wa Chadema, basi Magufuli alikuwa kashajishindia siku nyingi na akibaki kuapishwa tu.
Je CCM wana mtu bado ndani ya Chadema? Kwangu mie aliyebaki pekee marufu ni Mbowe ingawa na yeye ni kama vile kuna mtu anahakikisha anadharaulika sana nchi hii. Tishio pekee kwa siku za mbeleni ni Mnyika na Lissu ila na wao pamoja na juhudi zote, wanahakikisha habari zao haziandikwi sana.

Mwisho nikiri kuwa Usalama wa Taifa wa Tanzania (TISS) kuna mijitu ina VICHWA, laiti vingelitumika kujenga UCHUMI?

Mungu Ibariki Tanzania.

Somehow ujio wa Lowasa CHADEMA umefanikiwa kuwaibua hao double agents waliokuwamo ndani ya chama.

Ndio maana ghafla Slaa huyu huyu aliyekuwa akivurumishiwa matusi kutoka kila kona na CCM (Padre, Babu, Mzinzi na mwizi wa wake za watu n.k...) Ghafla CCM hao hao wamegeuka na kuanza kumpamba, ghafla wamekuwa karibu naye na kumpa kila aina support ili kuimaliza CHADEMA. Ghafla uswahiba wa karibu na kina Mwakyembe kupeana "data" za kummaliza Lowasa! Ghafla press zinafadhiliwa kumpa airtime tena kwa kurudia kwa siku kadhaa!

Ndio maana anaweza kutamka kauli za hatari kwamba eti "Nusu ya usalama wa taifa inaripoti kwake" na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa! Why? Sababu yeye ni sehemu ya game inayochezwa na usalama hao hao kuvuruga watu! Somehow nafikiri Mbowe machale yalianza kumcheza siku nyingi ndio maana hakutaka kureact kwa kupanik Slaa alipoamua kuingia mitini, akasema kwa kifupi tu kwamba jamaa yuko mapumzikoni atawakuta mbele ya safari!
 
Nina uhakika kuna wengi wetu wameshaangalia sinema au kusoma vitabu vya kijajusi ambavyo Wapelelezi wa aina mbalimbali waliweza kupelekwa sehemu na kutulia kwa miaka mingi huku wakifanya kazi zao (Double Agent) au kutokufanya kitu chochote cha Kipelelezi na wakawa wanasubiri amri itoke ili waamshwe na kuanza kufanya kazi yao ambayo ni ya muda mfupi sana kutoweka (Sleeper Agent).

Kuna kesi nyingi hasa za Wauza madawa ya kulevya au Majambazi, Mafia nk ambapo Polisi na hasa FBI kwa USA, Scotland Yard wa UK nk walipeleka mtu wao ambaye na yeye alikuwa akifanya kila kitu kama jambazi. Alijenga uaminifu na hao majambazi hadi wakamuamini na wakawa wanampa siri zote za ndani. Kali zaidi kutokea ni lile tukio la miaka ya 90 ambapo FBI walienda kuusambaratisha mtandao hatari ndani ya POLISI wa New Orleans. Mapolisi hawa walikuwa wakitumia kofia ya Polisi kuuwa watu, kutesa watu na kuuza madawa ya kulevya nk.

Hawa Ma-agent au Wapelelezi wanaolazwa, mara nyingi ni NATO vs Russia, India vs Pakistan, North Korea vs South Korea, China vs USA nk. Hawa huja nchi wanayoitaka wakiwa vijana wakitokea nchi tofauti na yao. Wakifika sehemu wanapotakiwa kuishi wakisubiri amri, huweza kuanza maisha, kuzaa watoto na kushirikiana na Wenyeji wao vizuri tu hadi muda ukifika ndiyo hufanya kazi yao na kukimbia. Kuna mashirika au makampuni makubwa pia huibiana Techonology kwa kupeleka vijana kwenye shirika la upinzani.

Tumeshuhudia kwa miaka mingi sana vyama vya siasa vinapoanza kuwa maarufu, watu walewale waliokifanya chama kuwa maarufu huanza fujo na kukikimbia chama chao huku wakikiacha kikiwa kimemeguka. Cha ajabu ni kuwa hao hao watu ukiwachunguza sana, utagundua kuwa umaarufu wao ni kama ulikuwa umetengenezwa na Waandishi wa habari kwa uangalizi mkubwa sana. Wengi wao miaka ya zamani walirudi CCM.
Wote akina Mrema, Kabourou, Masumbuko Lamwai et el walitangazwa sana kwenye vyombo vya habari hadi wakajipatia umaarufu wa kutisha. Zitto Kabwe na Dr. Slaa pia siyo siri walitanganzwa sana hadi kila mtu akawafahamu. Pamoja na kupata upinzani kidogo wa hapa na pale kutoka kwa watu kama Shonzah na genge lake, upinzani huo walihakikisha haufanyi madhara makubwa. Mtu kama faizaFozxy alihakikisha kila wiki anamtaja Padre wake ili watu wasimsahau. Katika dunia hii, hakikisha unatajwatajwa sana iwe kwa mabaya au mazuri. Kama wewe hawakutaji, basi umekwisha kisiasa. Mti wenye matunda.... ndiyo msemo wao.

Tuje kwenye listi ya Mwembeyanga. Yale majina sijui nani aliyatoa ila tunaona hadi leo, anayetajwa ni mmoja tu Lowassa ingawa waliotajwa walikuwa 11 na bado wapo CCM. Hiyo listi ambayo Tundu Lissu anadai ndiyo aliiandaa, ndiyo iliyokuja kumpa umaarufu sana Dr. Slaa. Pia Dr Slaa alikuja kuwa hadi anatamba wazi kabisa kuwa nusu ya usalama wa Taifa (TISS) wanatoa ripoti kwake, mhhhhh!!!
Dr Slaa na Mzindakaya ukiwachunguza sana, unaona wanafanana. Wote walipewa majina na Skendo ili wazilipuwe.

Upande mwingine tuna Zitto vs Kafulila. Alichokifanya Zitto ni kuibua khashfa ya Madini na hapo vyombo vya habari vyote vikawa ni Zitto tu kila sehemu. Bungeni akasimamishwa kwa wiki kadhaa kufika kwenye vikao na kuanza kutembezwa nchi nzima kama shujaa. Alichofanya Zitto ukikiangalia sana, hakikuwa na madhara yeyote makubwa zaidi ya rasha rasha za hapa na pale.
Alichokifanya David Kafulila ni kilekile kwenye kesi ya Escrwo. Ila kwa Kafulila, hili halikuwa limemapangwa na madhara yake yakawa makubwa sana. Kafulila hakupewa umaarufu wowote na kibaya zaidi akawa kama vile anaminywa kabisa kwenye vyombo vya habari. Siku hizi amebaki yeye kujisifu tu ila Media hazisemi kabisa. Kama hiyo haitoshi, Zitto akadandia hilo treni na kusema hizo habari za Escrow ni yeye ndiyo alimpa ili mradi kupunguza umaarufu huo wa David Kafulila .

Kwa sasa hivi siyo siri tena kuwa Zitto yupoyupo tu na ni kama Agent aliyefumuliwa kabla ya muda na sasa hivi wanamuangalizia Plan B ili asije kuwekwa uchi zaidi. Anaweza kuwa hapo na baada ya uchaguzi, yeye na ATC wakawa wanapewa umaarufu hadi wawe chama maarufu cha upinzani, tayari kwenda kuwavuruga wapinzani wengine.

Kinachonisumbua hadi leo kwangu mimi ni:
- Kwa nini Mzee Slaa kaacha Chadema na kuingia CCM kwa mlango wa nyuma kama alivyoingia Serena Hotel?

- Je alikuwa kazini siku nyingi akiwa amelazwa akisubiri muda tu?

- Je Zitto hakuwa Agent wa CCM kama tulivyoaminishwa hapa ila alibebeshwa Mikoba yote ili watu wamuone yeye tu na kutokumfikiria kabisa Dr Slaa kama Msaliti wa kweli?

- Au ni kweli Mama Josephine alimfukuza ndani na akalala kwenye gari na baada ya hapo akawa kashikishwa adabu na akapiga magoti kutii amri za Josephine? Yaani kama usaliti ndiyo ulianza na ilibidi asalimu amri kwa kuchagua kushikamana na Josephine au kuisaliti Chadema na kwenda CCM.

- Je mtu aliyesemwa hana KIPATO kwenye ule Waraka wa Prof. Mkumbo au Samson Mwigamba na wakakataa katakata kumtaja na wengi wakidhani ni Zitto, alikuwa ni Dr Slaa?
- Kwa nini Tundu Lissu na Kafulila pamoja na kazi kubwa walioifanya bungeni, hadi leo hawajapewa umaarufu wa Zitto na Dr Slaa?
- Kwa nini wizi wa Escrow na madudu mengine hayasemwi ila Richmond peke yake ingawa inamhusisha Kikwete moja kwa moja? Je baada ya uchaguzi, watu wataendelea na Richmond na hasa ukichukulia Mkubwa hatakuwa badi Mkubwa?

- Je ni kweli Dr. Slaa kaamua kuimaliza Chadema na hasa Lowassa au ni Double Agent wa Chadema huko CCM? Tumtegemee wiki kadhaa kabla ya uchaguzi arudi Chadema na kuanika yote aliyofanyiwa na CCM? Hadi leo hakuna jipya sana alilolisema ambalo watu hawalijui kuhusu Lowassa. Labda ya Chadema.

Kama kweli Dr wetu alikuwa ndiyo Silaha ya mwisho ya CCM ndani ya Chadema ambayo walikuwa wakiitegemea, basi inabidi kumpa hongera sana Mbowe kwa mchezo alioufanya. Kama angelibaki na Dr Slaa kama mgombea wa Chadema, basi Magufuli alikuwa kashajishindia siku nyingi na akibaki kuapishwa tu.
Je CCM wana mtu bado ndani ya Chadema? Kwangu mie aliyebaki pekee marufu ni Mbowe ingawa na yeye ni kama vile kuna mtu anahakikisha anadharaulika sana nchi hii. Tishio pekee kwa siku za mbeleni ni Mnyika na Lissu ila na wao pamoja na juhudi zote, wanahakikisha habari zao haziandikwi sana.

Mwisho nikiri kuwa Usalama wa Taifa wa Tanzania (TISS) kuna mijitu ina VICHWA, laiti vingelitumika kujenga UCHUMI?

Mungu Ibariki Tanzania.

Sikonge:

Tukiwa wakweli, tukiweka orodha ya wabunge watano waliofanya kazi zao kwa umakini katika kipindi cha 20005-2015, Dr. Slaa na Zitto watakuwa kwenye listi ya wabunge watano bora. Sidhani kama serikali ya CCM ilitaka kuweka vibaraka katika vyama vya upinzani ambao watawasumbua. Hivyo hoja yako ya kuwa wao ni Double or Sleeper Agents haina mshiko na huwatendei haki zao.

Watu wanawakumbuka washindi. Leo CDM wakishinda urais, watu watamkumbuka Lowassa na sio Dr. Slaa. Juhudi zote za Dr. Slaa za kujenga chama mtazisahau. Na hiki ni kitu kisicho kidogo kukichukua kwa wale waliojenga chama na kusahaulika. Hivyo Dr. Slaa ana haki ya kuzungumza na kutoa dukuduku lake.
 
Somehow ujio wa Lowasa CHADEMA umefanikiwa kuwaibua hao double agents waliokuwamo ndani ya chama.

Ndio maana ghafla Slaa huyu huyu aliyekuwa akivurumishiwa matusi kutoka kila kona na CCM (Padre, Babu, Mzinzi na mwizi wa wake za watu n.k...) Ghafla CCM hao hao wamegeuka na kuanza kumpamba, ghafla wamekuwa karibu naye na kumpa kila aina support ili kuimaliza CHADEMA. Ghafla uswahiba wa karibu na kina Mwakyembe kupeana "data" za kummaliza Lowasa! Ghafla press zinafadhiliwa kumpa airtime tena kwa kurudia kwa siku kadhaa!

Ndio maana anaweza kutamka kauli za hatari kwamba eti "Nusu ya usalama wa taifa inaripoti kwake" na hakuna hatua yoyote inayochukuliwa! Why? Sababu yeye ni sehemu ya game inayochezwa na usalama hao hao kuvuruga watu! Somehow nafikiri Mbowe machale yalianza kumcheza siku nyingi ndio maana hakutaka kureact kwa kupanik Slaa alipoamua kuingia mitini, akasema kwa kifupi tu kwamba jamaa yuko mapumzikoni atawakuta mbele ya safari!

Uwekezaji alioufanya Mbowe kwenye kumleta Lowasa upinzani na ikitokea amechukua nchi basi ataingia kwenye kumbukumbu za watanzania miaka mingi ijayo.
Ila binafsi naamini hata Lowasa ni sehemu ya mchezo as a back up plan kama Dr. Slaa akawa ameshindwa kazi.
 
Zakumi,

Ndiyo maana nimeweka maswali mengi sana kwani hadi sasa siamini kama hili jambo linatokea.

Ukweli ni kuwa hadi sasa Dr Slaa hayupo Chadema na kwa namna fulani yupo CCM huku akiwa karibu sana na timu nzima ya viongozi wa Chadema wakiongoza mashambulizi kwa Lowassa na kwa namna fulani kwa Chadema.

Hayo maneno yako yangelikuwa yana maana kama Dr. Slaa angelikuwa kafukuzwa kwenye chama ila yeye baada ya kuhakikisha Lowassa kamleta ndani ya UKAWA, huyooo kaamua kumkimbia na kuanza kumshambulia.

Ila katika maswali yangu, kuna makala ambayo Pasco kaamua kuirudia. Kwenye hiyo makala ambayo LINK ipo chini:

https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...kirusi-hiki-ni-nani-na-the-motive-behind.html

Pasco kaelezea jinsi KIRUSI huyo ambaye wengine wamemuita DELILA, amehakikisha anaibomoa Chadema kwa utaratibu ambao inawezekana kweli upo na umeratibiwa vizuri sana na watu wenye kichwa chao.

Mkandara , umejibu mambo mengi sana ambayo hata sikuuliza. Hadi kesho mie ni Muumini wa Dr Slaa ila hata nijidanganye vipi, leo hii Dr Slaa siyo Chadema tena na kawa rafiki na Mwakyembe et el. Hilo hata useme vipi ila ndiyo ukweli wenyewe uliopo sasa hivi. Hata kama nilitengeneza listi kuwa Dr. Slaa agombee Urais, ukweli kwa leo hali ipo tofauti kabisa na mwaka 2010 muda kama huu. Hata wewe unalijua hilo ila umejitia upofu. Dr. Slaa siyo mwana Chadema tena na wengi wetu tumeanza kumshabikia yeye na ndiyo tukaingia kuwa hata Washabiki wa Chadema ingawa ukweli ni kuwa mie hadi leo nina Kadi ya CCM tu na Chadema sina. Ila sijailipia hiyo kadi kwa miaka mingi......tetetee

Ndiyo maana nilimalizia hiyo makala kwa maneno haya ambayo au hukuyaona au kwa makusudi kabisa ulijitia utomvu machoni ili usione nimeandika nini mwishoni. Tafadhali msome na Pasco na urudi upya kujadili hapa au kwa Pasco kuhusu KIRUSI aliyetajwa na Zitto ambaye najua u muumini wake sana tu.

Je ni kweli Dr. Slaa ameanguka dakika ya MWISHO baada ya kulemewa na Kirusi hicho? Je maneno ya Tundu Lissu kuwa alifukuzwa ndani akalala kwenye Gari ni ya kweli? Ilikuwa ni Mkwara wa Delila kweli au ndiyo alikuwa kaambiwa kwa kujua Udhaifu wake Samson uko wapi?

Mwisho niliandika hivi:
- Je ni kweli Dr. Slaa kaamua kuimaliza Chadema na hasa Lowassa au ni Double Agent wa Chadema huko CCM? Tumtegemee wiki kadhaa kabla ya uchaguzi arudi Chadema na kuanika yote aliyofanyiwa na CCM? Hadi leo hakuna jipya sana alilolisema ambalo watu hawalijui kuhusu Lowassa. Labda ya Chadema.


Sikonge:

Tukiwa wakweli, tukiweka orodha ya wabunge watano waliofanya kazi zao kwa umakini katika kipindi cha 20005-2015, Dr. Slaa na Zitto watakuwa kwenye listi ya wabunge watano bora. Sidhani kama serikali ya CCM ilitaka kuweka vibaraka katika vyama vya upinzani ambao watawasumbua. Hivyo hoja yako ya kuwa wao ni Double or Sleeper Agents haina mshiko na huwatendei haki zao.

Watu wanawakumbuka washindi. Leo CDM wakishinda urais, watu watamkumbuka Lowassa na sio Dr. Slaa. Juhudi zote za Dr. Slaa za kujenga chama mtazisahau. Na hiki ni kitu kisicho kidogo kukichukua kwa wale waliojenga chama na kusahaulika. Hivyo Dr. Slaa ana haki ya kuzungumza na kutoa dukuduku lake.
 
Unaposoma na kujibu hiyo Thread ya Pasco, nimeshtushwa na meno kuwa Delila alikuwa akiandika kwenye ID ya Dr wetu.

Nimeamua kutafuta hii thread ya zamani na nimeanza kufikiria mara mbilimbili:

Hivi huyu Dr Slaa kweli angelianza kujibizana na watu kwenye Mitandao na hasa mtu kama Yericko?

Hata kama ni kweli, uandikaji wake ungelikuwa wa kisomi na umekaa KIUME zaidi.

Hizi lugha za UNIKOME, UKOME, Unitue, Unikome kama ulivyokoma ziwa la Mama yako..... huwa ni KIKE zaidi....

Yericko,

Siasa ya unafiki sipendi. Nimenyamaza lakini naona mnazidi kunichokoza. Ni afadhali mngelikaa kimya kama nilivyonyamaza mimi. Uwongo wowote na upotoshwaji wowote sitauvumilia. Nitaukanusha hapo hapo. Hata kama una lengo lako ambalo silifahamu naomba sana usitumie jina langu. Nimefundishwa uwongo ni dhambi siko tayari kushiriki dhambi hiyo.

sina kikao chochote cha Secretariat sina mpango wowote ninaopanga kuwasilisha popote. Naomba watanzania wapuuze propaganda zote zinazofanyika kwa jina langu.

Ningehitaji kutuma taarifa yoyote kwa umma ningeliita Press Conference Mwenyewe au ningelitumia utaratibu wowote uliouliozoeleka.

Naomba kutoa onyo kwa mtu yeyote awaye, matumizi ya jina la Dr Slaa yakome.

From: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ongo-ni-dhambi-na-siko-tayari-kuishiriki.html
 
Unaposoma na kujibu hiyo Thread ya Pasco, nimeshtushwa na meno kuwa Delila alikuwa akiandika kwenye ID ya Dr wetu.

Nimeamua kutafuta hii thread ya zamani na nimeanza kufikiria mara mbilimbili:

Hivi huyu Dr Slaa kweli angelianza kujibizana na watu kwenye Mitandao na hasa mtu kama Ben Saanane?

Hata kama ni kweli, uandikaji wake ungelikuwa wa kisomi na umekaa KIUME zaidi.

Hizi lugha za UNIKOME, UKOME, Unitue, Unikome kama ulivyokoma ziwa la Mama yako..... huwa ni KIKE zaidi....



From: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...ongo-ni-dhambi-na-siko-tayari-kuishiriki.html

Ben anaingiaje hapa tena mkuu?
 
Mazee, ukisoma juu utaona jina la YERICKO na ndiyo alikuwa Mlengwa.

Ukitajwatajwa kimila wanasema utakuwa na fedha nyingi? Sina uhakika, teteteee.... Ulimi hauna mfupa wanasema.

Samahani kwa makosa ambayo nafikiri hata wewe ulijua wazi kabisa nilikosea. Tupo pamoja na ngoja nirekebishe.

Ben anaingiaje hapa tena mkuu?
 
Mazee, ukisoma juu utaona jina la YERICKO na ndiyo alikuwa Mlengwa.

Ukitajwatajwa kimila wanasema utakuwa na fedha nyingi? Sina uhakika, teteteee.... Ulimi hauna mfupa wanasema.

Samahani kwa makosa ambayo nafikiri hata wewe ulijua wazi kabisa nilikosea. Tupo pamoja na ngoja nirekebishe.

Haha Umenichekesha sana mkuu.Nilikuchokoza tu.
 
Katika hali ya kutatanisha aidha ni makosa ya kisanduku cha post zangu ama nimeingiliwa, siwezi kujibu mtu yeyote kwa kutumia kitufe cha Reply ama reply with quote kwa sababu nikibofya kinanipa ukuruasa wa juu wa tovuti hii wenye matangazo.

Hivyo nimepitia njia za mkato na vichochoro kuweza kuandika haya. Mkuu wangu Sikonge mnatia aibu kabisa juu ya maswala yoyote yanayomhusu Dr.Slaa na hasa mnapozidi kumuongelea kwa mabaya. Inaonyesha jinsi sisi waafrika tusivyokuwa na shukran kama vile mwanamke aloachwa hakosi kusema mabaya ya bwana japo ndani ya roho yake inamuuma.

Leo hii Chadema wamesahau kabisa kwamba hata huyu Mama mkewe Dr. mnayemsema ovyo kuwa ndiye kiherehere! Huyu mkewe ndiye alopigwa hadi kuvuliwa nguo akikimbia nusu uchi huku madamu yanamtoka kwa jina la Chadema!. Wengi tulihudhunika sana! Je, wakati ule alikuwa akimwakilisha Dr.Slaa au ilikuwa habari za ubunge wa Arusha! Mlikuwa wapi kina nyie wakati maa huyu akijitolea hadi nafsi yake. Kumbukeni hata Lipumba alivyokamatwa na kupigwa kama mnyama akiwa mgombea Urais! Leo hii hata CUF wanamuona hawafai sii mtu wao hawamuhitaji!..ama kweli waswahili walisema waacha Mbachao kwa msala upitao!

Ndio ana mabaya yake na tuliyazungumza humu siku za nyuma, lakini Dr. Slaa mumewe mlitaka atazame maslahi pana ya Lowassa kuliko mumewe? iweje nyie ukurasa wa Lowasssa waandike wapambe wake na wajibu lakini kwa Slaa ni mkewe, kwani hao wa Lowassa ni mashoga zake? JK ukurasa wake Twitter anaandika mwenyewe? Mnachosha jamani zungumzieni sera zenu, kujeni na Ideas mtawafanyia nini Watanzania kuliko kuanza kutunga sinema za simulizi ati true stories kutokana na events zilizokwisha pita.

Sasa ikiwa dr.Slaa yupo karibu na Mwakyembe kuna kosa gani, Mwakyembe sii kaenguliwa pia, Mwakyembe sii alikuwa chaguo la wengi tena inasemekana Chadema walimtaka sana kujiunga kwao baada ya kutupwa na CCM 2010 au nasema uongo? Leo kawa mbaya sana kwa sababu tu yuko CCM na rafiki wa Dr.Slaa. Unawajua marafiki wa Lowassa! Juma Mwapachu yuko chama gani? Mengi, Mzee Kikunge Ngombale Mwilu! mbona hawa hamsemi ya upande huo?

Pengine Dr. Slaa anahitaji kuliwazwa na mtu mwenye fikra pana mwenye akili kubwa baada ya nyie nyote kumkimbia kama hataki kujiunga na kundi la wachumia tumbo! Hata wale walokuwa wapambanaji bungeni wamefukia vichwa vyao mchangani kama mbuni! Wako wapi kina Lema, Mndee, Mnyika na kundi zima la Bavicha!..Mimi nawaona tu mitandaoni wakirusha madongo kwa mbali yasiyo rasmi..

Mwacheni Dr. Slaa hamtaweza kuliharibu jina lake kwa dhana na tuhuma hata kidogo! Mliyafanya kwa Zitto yakawafikisha hapa mlipo leo mkiitwa UKAWA, sasa mkianza na Dr.Slaa badala ya kutangaza sera zenu mtajikuta Uchaguzi umekwisha mkaanza tena kutafuta mchawi..
 
Mahaba Niuwe........ Mama Josephine akiwa NUSU UCHI.....

josepjine-slaa-1.jpg
Wengine bado tunahuzunika hadi leo kwa unyama huo.


Bado hujaandika chochote kuhusu kisa kilichomuondoa Katibu Mkuu na Kipenzi chetu ndani ya CHADEMA.

Kwa nini hata kama alikuwa hakubaliani, asingelikaa kama Lipumba kwa kurudi kuwa Mbunge tu wa KARATU?

Utake usitake, kuna kitu kimemuondoa kutoka kwa RAFIKI yake Mbowe na kumtupa Mikononi mwa Mwakyembe.

Leo hii Chadema wamesahau kabisa kwamba hata huyu Mama mkewe Dr. mnayemsema ovyo kuwa ndiye kiherehere! Huyu mkewe ndiye alopigwa hadi kuvuliwa nguo akikimbia nusu uchi huku madamu yanamtoka kwa jina la Chadema!. Wengi tulihudhunika sana!

Mwacheni Dr. Slaa hamtaweza kuliharibu jina lake kwa dhana na tuhuma hata kidogo! Mliyafanya kwa Zitto yakawafikisha hapa mlipo leo mkiitwa UKAWA, sasa mkianza na Dr.Slaa badala ya kutangaza sera zenu mtajikuta Uchaguzi umekwisha mkaanza tena kutafuta mchawi..
 
Back
Top Bottom