Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
kuna habari ambazo zinatumwa katika mitandao ya kijamii kuwa mawakili wa cdm/ukawa wapo uholanzi kufungua kesi kuhusu uchaguzi huu na namna ccm ilivyobaka demokrasia, sasa naomba wataalam wa sheria na wadau wengine mtueleze kama hii inaswihi au vipi