Leo ningependa kuendelea kujadili jambo ambalo nimekuwa nikijadili kwa muda mrefu sana kuhusu maadili na nidhamu. Lakini leo nitajikita katika dhana yenyewe ya maadili na nidhamu na nitaongelea...
Fikirishi za Ngumbalu 01
Palitokea mkulima aliyerithi shamba toka kwa babu zake wa kufikia baada ya kupiga kelele kwa majirani wa mbali pale alipochoka kuwafanyia kazi mababu hawa kama kibarua ...
Isitokee hata siku moja tukafikiri watu kutoka nje watakuja kujenga umoja wetu na kuliletea maendeleo taifa letu, Kama tumeshindwa kujenga umoja wetu huku ndani, hakuna mtu, au taifa lolote...
Kwa wenye hekima maisha ni fumbo ambalo linapaswa kufumbuliwa. Na Dunia ni chuo ambacho binadamu anatakiwa kujifunza kila siku ili kufikia ukuaji wake wa mwisho kiakili. Chuo hiki ni kikubwa...
Hayati Mwalimu Nyerere ni Muasisi wa Taifa hili, ni raisi wa kwanza na ameifanyia makubwa nchi hii,.
Lakini Yeye mwalimu si muasisi pekee wa nchi hii na wala hakuijenga peke yake.
leo hii...
"..Serikali ninayoiongoza, ilichaguliwa na masikini...Kama matajiri walifikiri nitakuwa upande wao basi wamenoa. Mimi nilichaguliwa na masikini na nitawatumikia masikini na si matajiri."-Rais John...
Kazi ya Mungu ni ya kiwango cha juu zaidi ya Kazi ya mikono ya binadamu. Ushahidi wa hili uko dhahiri machoni petu. Hata zile Kazi tunazoita zetu sio zetu. Kwasababu Mungu ndiye aliyetuumba na...
Nidhamu ni kitu cha msingi sana katika maisha ya binadamu. Nidhamu humpa uwezo binadamu kuongoza mawazo yake na matendo yake katika mkondo unaofaa. Uwezo huu umfanya binadamu kutawala maisha yake...
Tunapokua ni lazima ukuaji wetu uambatane na hekima na busara. Kwasababu binadamu sio ukuaji wa mwili tu bali pia ukuaji wake wa kiakli.
Ukuaji wa binadamu sio kurefuka tu au unene au kutoka...
Moja ya vitu vigumu sana ambavyo napambana navyo na pengine labda sio mimi peke yangu na watu wengine ni subira.
Wote tuna matarajio na matamanio ambayo tungependa tuyakamilishe. Matarajio haya...
Kilichotokea kimetokea huwezi kukibadilisha. Jukumu tulilonalo ni kujenga baadae mpya yenye matumaini na faraja. Kila mtu anapaswa kufahamu hilo.
Ni lazima tufundishe akili zetu kutafakari na...
Ni swali wanalojiuliza watu wengi, baada ya Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC), kumtangaza Dk. Ali Mohamed Shein, kuwa mshindi wa nafasi ya urais kwenye uchaguzi wa marudio uliofanyika Jumapili...
Unapodai mabadiliko katika nchi , wewe kwanza umebadilika ?. Je unatabia ambazo zina reflect raia anayewajibika na mwema? Hili ni swali ambalo wote tunapaswa kujiuliza, tunaopenda na kuhitaji...
Why is it that African leaders have become power mongers, from Museveni to Nkurunzinza, from Ali Mohammed Shein to Mugabe?
How dare they claim democracy while they rig elections, cancel official...
Nadhani kwa picha hii nitaeleweka kuhusu ubinafsi ambao nimekuwa nikionglea mara kwa mara na umuhimu wa umoja katika malengo.
Weka taswira kwamba boti hilo kubwa ni Nchi. Imewabeba raia ambao...
Swali la kujiuliza tunawatayarishaje watu wetu kuingia kwenye ofisi za umma na katika utumishi wa umma? Tume wa train vipi watu wetu katika nidhamu zao na maadili. Binadamu hakui kama uyoga ni...
Nafikiria hii kauli kutaka kujua Mheshimiwa alikuwa anamaanisha nini. bado sijafahamu sawa sawa.
Kwahiyo tunatawaliwa hatuongozwi? Kuna tofauti kubwa kati ya kutawaliwa na kuongozwa.
Watu...
Ni jambo muhimu sana kwetu kama tunataka kukua kiakili kila wakati kukumbushana na kuelimishana kuhusu mambo muhimu ambayo yana uwezo wa kujenga akili zetu na tabia zetu kuwa bora Zaidi lakini pia...
Kila taifa linapaswa kuwa na misingi na linapaswa kuwa na vitu ambavyo wanaamini ndivyo vinavyowaunganisha pamoja kama taifa. Taifa lolote bila ya kuwa na uelewa mpana kwanini wako pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.