SEHEMU YA KUMI NA MOJA
THE GIRLS IN ISLAND 12
Wakati tupo ufukweni nikimsubiria Shenaiza afanye maajabu yake ili tuondoke pale, nyuma yetu tulisikia mtu akipiga makofi. Tulipogeuka nyuma...
Udaku News
Picha za mapokezi za Mshindi wa Tuzo ya AMVCA2016 kipengele cha Movie bora ya Afrika Mashariki elizabeth michael ‘Lulu’ wakati akiwasili kwenye Uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Dar es...
THE GIRLS IN ISLAND-11
“kuhusu swala la kutoroka na kuwaacha wenzangu huku ni swala gumu sana Shenaiza.” Niliongea huku nikiwaonea huruma wale marafiki zangu tuliowaacha.
“acha mawazo hasi...
Masaa machache yaliopita Wasanii nguli wa kenya maarufu kwa jina la Sautsol Wametoa Filamu yao mpya waliomshirikisha msanii nguli wa Tanzania Alikiba #kingkiba . . .
Filamu hiyo iliyoachiwa...
SEHEMU YA TISA
THE GIRLS IN ISLAND 09
Alipomaliza kuoga, alitoka na kunichekea baada tu ya kuniona.
“wewe ni mwanaume wa shoka.” Aliongea malikia na kunilalia kifuani.
“sasa naweza...
Nilimsikia Ruge akihojiwa na Salama kwenye mkasi, akasema kuna kituo kimija cha redio hakipigi nyimbo za msanii fulani kwa miaka miwili sasa!!
Baadae nikaanza kusikia minong'ono mitaani na...
SEHEMU YA NANE
THE GIRLS IN ISLAND 08
Baada ya hapo nikapelekwa jela ambapo nilibaki nimeduwaa baada ya kuona jela kubwa kama hiyo iliyokuwa na watu zaidi ya milioni mbili kwa hesabu za haraka...
kama umesha-download au unayo UTORRENT (software inayokuwezesha kudownload movies,games na n.k) tumia site hii ambayo utaweza kudownload movie zako kupitia UTORRENT. ni site nzuri sana hiyo apo...
Nimeipenda sana hii tamthiliya ya Siri ya Mtungi.
Kwanza ina reflect uhalisia kuanzia jina la tamthiliya, uigizaji, mazingira, lugha mpaka majina ya characters. Majina kama vile Cheche, Mtungi...
Ni moja ya ngoma ambayo mpaka leo inaishi wakati imetoka miaka kama kumi iv imepita....ukiisikiza haiishi utamu daah apa fa aliumiza kichwa pembeni na komando jide...
Namisi sana aina ya miziki...
Kuna kiwanja kimoja pale jirani na Mlimani city cha kuitwa KATALUNYA!!
ni nani founder wake!? nataka kumpa pongezi tu kwa ubunifu na ukisasa kiasi chake kwa biashara hii ya vileo kulinganisha na...
Zangu hizi hapa. 1.24hour. 2.The seeker. 3.Robin hood. 4.Smillvile. hizi series unaweza kuangalia na familia. muv.1 Avatar. 2.Blood Diamond. nipe za kwako...
SEHEMU YA SABA
THE GIRLS IN ISLAND 07
“BAINA NA KELI”
Ilisikika sauti kutoka nje ya lile bwawa. Nikashangaa kuona wale wasichana wakiniachilia haraka na kusimama kikakamavu. Nilipotupa...
SEHEMU YA TANO
THE GIRLS IN ISLAND 05
“swali zuri sana,… ninapoongelea wanawake ni tofauti sana na wanawake hawa wa duniani. Kwanza hamshangai kuwa wanaishi jinsia moja katika hicho kisiwa...
SEHEMU YA SITA
THE GIRLS IN ISLAND 06
Baada ya mwendo mrefu, tuliona mwisho wa msitu huo na mbele yake kulikua na majani mafupi kama yaliyolimwa. Tukakazana mpaka tukafika eneo hilo...
Wazee na wanaJamvi,
Leo,katika collection zangu za bongo fleva nimekutana na mkongwe ambaye sasa ameshatangulia mbele za haki,Complex.Kwakweli,jamaa aliwahi mapema sana wakati ndio alikuwa...
SEHEMU YA NNE
THE GIRLS IN ISLAND 04
Ndani ya mwezi mmoja tu, ulitosha kabisa kumpa umaarufu Mac Donald kutokana na utajiri aliokuwa nao na kuvumbua madini ya aina mbali mbali ambayo...
Wakuu,
Najua mtamkumbuka huyu kijana wa Kibongo flavor ambaye mwanzoni pindi anaanza mziki alifananishwa na Marlaw wa bembeleza, baada ya kutoa hits kibao kama Natumaini, Narudi Kazini n.k...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.