Nyimbo nyingi sana zimekuja na zimepita lakini hii ngoma kila inapopigwa au kutumbuizwa na msanii husika basi hugusa hisia za wengi!Mimi binafsi sijaweza kuizoea,kila inapopigwa najikuta tu...
Kwa mujibu wa wanasiasa sita waliohojiwa na millard Ayo AUDIO: Wanasiasa 6 wa Tanzania wataja nyimbo zao bora za bongofleva kwa mwaka 2016 - millardayo.com hizi ndiyo nyimbo bora kwa mwaka huu...
Nimekuwa nikisikiliza kwa muda wimbo wa Say my name wa Shishi baby lakini sikuwa nikielewa kile kipande anachoimba Barnaba anaimba vitu gani,Leo nimefanikiwa kupata lyrics na bado nimeendelea...
Msema ukweli ni mpenzi wa mungu. Mimi bila kulala sijaangalia hii music video ya kanyewest siwezi kupata usingizi. Naona kama vile nimekuwa addicted na kumuangalia huyu video model wa hii nyimbo...
Hizi ni bendi mbili tofauti zinazopiga muziki wa dansi hapa nchini, ambazo kwa kiasi kikubwa zimejizolea umaarufu kutokana na umahiri wa tungo zao kiasi cha kuwapa wakati mgumu mashabiki...
Poulenc is one of my favorite post-Ravel composers. His concertos, chamber music (especially the violin and the clarinet sonatas), opera, sacred music and melodies (Les chemins d'amour anyone ? )...
Leo nimepita kwenye mtandao DW Swahili nikakutana na makala ya kusisimua sana inayohusu taarabu asilia kutoka visiwani Zanzibar..
Napenda sana muziki wa taarabu asilia.. Sielewi kwanini huku...
Karibu kuutazama msimu mpya wa serious funny kupitia www.youtube.com/c/SeriousFunnyTz upate burudani bila kikomo...Usisahau kuSUBSCRIBE ili uwe wa kwanza kupata kila clip mpya inayotoka.
Asante...
105.7 ndio frequency zake Kwa wale Wasikilazaji WA masafa ya fm. Majamaa wako vizuri Kwa upande WA burudani ni USIPIME mziki mkali kuanza asubuhi mpaka kesho Yake . Siwapigii promo Ila kama...
Nyimbo ya darasa ya mziki imekua gumzo kias cha kupendwa had na wanaaiasa wa ngazi za juu. Imethibitiswa baada ya kiongoz wa ngaz wa juu wa chama tawala kukutwa akisklza na kuicheza nyimbo hiyo
Hawa jamaa ni funga kazi kwa kuchekesha na kuelimisha.
Leo wamenichekesha sana, Mkwere original ameigiza anapigwa na mke wake ambaye ni mtoto wa mzee matata, Huku mkwere akiwa ni mtoto wa yule...
Umofia kwenu!!!!
mzigo wenyewe ndo huu hapa
English novels
Agatha Christie novels hapa
Asterix and oblex hapa
Erle stanley gadner hapa
George Orwell hapa
Harry Potter hapa
James...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.