DuniA tunapita eeh[emoji445]
Kitakachobaki MILELE ni milima [emoji445] [emoji445] [emoji445]
Hio ni baadhi ya Mistari Yake. Msanii huyu WA zamani anaitwa Nani? Na Sasa yuko wapi?
Ebale ya Zaire -Ulitungwa na SIMARO MASIYA LUTUMBA Ukaimbwa na SAM MANGWANA. ni wimbo ambao jamaa anasikika kama akilalamika sana. najaribu tu kuimagine jamaa analamika ila sijui analalamikia...
Nimevutiwa sana ni video yako Mpya ya "umewazidi wote" ni video yenye ujumbe, nakupa hongerah Kwa kuigharamia ; mmependeza sana mlivocheza na huyo video king!
Kuna kiipindi wakati sijawa mjanja wa kucheki movies, nilionaga CD INA movie mchanganyiko za wadudu wote na ndege wameekiti movie. Kama vile mende, nyuki, kungulu. Kila mmoja ka ect Picha lake...
Sijui ni masikio yangu au ni vipi,nyimbo hii imepata umaarufu mkubwa ghafla na kumfanya msanii huyu awe chart ya juu,nimejiuizavkipi kilichoifanya nyimbo hii kua hot hasa kuanzia wiki mbili za...
Alieniumba alinipa mdomo hovyo nina haki ya kuongea/ ni bahati nimeotea..safi… Kamwe siachi kuishea/ hamtaki niwe fair…? Trust me.. Me huwa happy niki-care/ na ninaowatouch husema” mshkaji upo...
Wakuu habari.
Naomba kuuliza kulikua na hizo talk shows miaka kama miwili iliyopita, siku hizi sizioni, zimeishia wapi?
Au nani anaweza kujua hizo shows ziko chaneli gani.
Good morning beautiful
How was your night
Mine was wonderful
With you by my side
And when I open my eyes
And see your sweet face
It's a good morning beautiful day
I couldn't see the light
I...
KAMA HUKUJA KUWINDA
Tumeshafika nyikani,rungu huku sime kule,
Na mikuki mabegani,mbwa huku na kule,
Hatutorudi nyumbani,bado tunasonga mbele,
Kama hukuja kuwinda, usingekuja nyikani.
Ungebakia...
KWAKO MWANANGU MPENZI
Naandika kwa furaha,furaha ya kuwa nawe,
Nataka upate raha,usilie juu ya mawe,
Upendo na uwe silaha,pendo lako uligawe,
Kwako mwanangu mpenzi,dunia mahali pema.
Usiyashike...
naomba kujua kila ninapokaa na wazee na kuongea nao au wakiwa wanamzungumzia mtu kuna hiki kitu huwa wanauliza HIVI AMEOA KABILA GANI??? hili swali inawezekana lina umuhimu kwa upande...
Jamani nimejukuta sina pa kwenda leo wala kampani... sasa naomba mwenye kujua muvi au sirizi kali ya kichawi mithili ya merlin au regend of the seeker anambie walau iniburudishe kwa muda huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.