Wakuu samahani kwa usumbufu..mwenzenu hii movie sijafanikiwa kuielewa kabisaaa
Kinachonichanganya ni yule dada (Eun soo)...mimi sikuelewa kabisa,inakuwaje alikuwa anajua mambo yaliyopo na...
Leo Desemba 10, 2016 katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam zimetolewa tuzo kwa wasanii mbalimbali wa muziki na wa filamu kutoka nje na ndani ya Tanzania.
Jumla ya tuzi 9 zilizotelewa...
Wimbo Muziki wa Darassa umekuwa mkubwa sana kwa sasa. Kila kona unaimbwa, unapigwa, unaburudisha. Unakonga nyoyo za wengi.
Katika soko la muziki Tanzania, Muziki ndiyo band wagon, maana ni wimbo...
Nimeshangaa sana collabo zilizo nyingi za Alikiba anafanya na watu wasio eleweka kama ndo wanaanza game, nilitegemea kuona anasuka colabo za maana na watu wa maana ila mambo kwahuyu jamaa ayapo...
Ananiita Dere, namdundisha, anapiga kelele, namvuta nywele namchumisha mpaka tembele!
Duh, sasa haya mashairi ya wapi? Hawa watoto sijui wamekula maharage ya wapi hawa...
:(:(:(:(:(:(
kwa wale ambao kwao mziki ni zaidi ya beat na sauti, basi nadhani wanasikilizaga sana mashairi. ngoma mpya ya queen darlin ft rayvanny ina mashairi ambayo binafsi yameniacha hoi... embu isikilize...
Label ya WCB inayomilikiwa na Diamond Platnumz pamoja na wasanii wake akiwemo Rich Mavoko,RayVanny na Harmonize inasemekana Dec 20 wataachia wimbo mpya ambao mpaka sasa haujajulikana utatoka kwa...
OFA OFA OFA YA KUREKODI NYIMBO NA MATANGAZO
______________________
TROPIC SOUND ni studio mpya iliyopo jijini MWANZA inakupa ofa ya kurekodi nyimbo yako au tangazo kwa bei ya chini kabisa katika...
Kipindi nilipokuwa mdogo miaka ya 90 na something, baba yangu mdogo alinichukua nikaanze shule ya msingi mkoani Iringa. Ilikuwa vijijini ambapo yeye aliku mratibu wa elimu kata.
Katika kijiji...
Namani mziki wetu uendee mbele zaidi lakini tuwe na identity tofauti tofauti,
Sisi tunawajua lakini huko mnakokumbilia hamjulikani
Sasa badala ya kujitambulisha identity yako ujulikane nyie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.