Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Janet Jackson welcomes a son By Lisa Respers France, CNN Updated 5:58 PM ET, Tue January 3, 2017 JUST WATCHED Janet Jackson confirms pregnancy Now Playing Janet Jackson confirms... Source...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana jf niajeee hv naomba kuchukua muda wako kidogo kwann muziki wa hip hop haupewi kipaumbele bongo hasa kwa wasanii underground alafu unakuta ukiforce kupata airtime ya ngoma zako unakuta...
0 Reactions
2 Replies
937 Views
Kuwa miongoni mwa wana lipuli. Saidia kupandisha timu yetu.
0 Reactions
1 Replies
3K Views
WCB
Kususwa kwa baadhi ya nyimbo Kama heading inavyojieleza hapo juu ,hivi ni kwanini Msaniii Diamond Platnumz Katika shows zake Mara nyingi kuna nyimbo huwa hazipigi sana ?? Ndio kusema hazina maana...
0 Reactions
2 Replies
920 Views
DuniA tunapita eeh[emoji445] Kitakachobaki MILELE ni milima [emoji445] [emoji445] [emoji445] Hio ni baadhi ya Mistari Yake. Msanii huyu WA zamani anaitwa Nani? Na Sasa yuko wapi?
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Ebale ya Zaire -Ulitungwa na SIMARO MASIYA LUTUMBA Ukaimbwa na SAM MANGWANA. ni wimbo ambao jamaa anasikika kama akilalamika sana. najaribu tu kuimagine jamaa analamika ila sijui analalamikia...
1 Reactions
3 Replies
5K Views
Naomba mwenye link za ku download seaon 2 na 3 series ya IRIS tafadhali
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimevutiwa sana ni video yako Mpya ya "umewazidi wote" ni video yenye ujumbe, nakupa hongerah Kwa kuigharamia ; mmependeza sana mlivocheza na huyo video king!
4 Reactions
11 Replies
5K Views
Kuna kiipindi wakati sijawa mjanja wa kucheki movies, nilionaga CD INA movie mchanganyiko za wadudu wote na ndege wameekiti movie. Kama vile mende, nyuki, kungulu. Kila mmoja ka ect Picha lake...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Sijui ni masikio yangu au ni vipi,nyimbo hii imepata umaarufu mkubwa ghafla na kumfanya msanii huyu awe chart ya juu,nimejiuizavkipi kilichoifanya nyimbo hii kua hot hasa kuanzia wiki mbili za...
8 Reactions
114 Replies
16K Views
Alieniumba alinipa mdomo hovyo nina haki ya kuongea/ ni bahati nimeotea..safi… Kamwe siachi kuishea/ hamtaki niwe fair…? Trust me.. Me huwa happy niki-care/ na ninaowatouch husema” mshkaji upo...
2 Reactions
19 Replies
8K Views
Tukubali hawa ni tatizoooooo cha ajabu wote wakianzia life uswahilini
0 Reactions
3 Replies
538 Views
Kwa wale wasikilizaji wa radio Naomba msaada wenu kati YA clouds FM na magic FM ipi ilianza kurusha matangazo yake?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu habari. Naomba kuuliza kulikua na hizo talk shows miaka kama miwili iliyopita, siku hizi sizioni, zimeishia wapi? Au nani anaweza kujua hizo shows ziko chaneli gani.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Good morning beautiful How was your night Mine was wonderful With you by my side And when I open my eyes And see your sweet face It's a good morning beautiful day I couldn't see the light I...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Tz Hotels
0 Reactions
1 Replies
677 Views
KAMA HUKUJA KUWINDA Tumeshafika nyikani,rungu huku sime kule, Na mikuki mabegani,mbwa huku na kule, Hatutorudi nyumbani,bado tunasonga mbele, Kama hukuja kuwinda, usingekuja nyikani. Ungebakia...
0 Reactions
0 Replies
587 Views
Back
Top Bottom