Janet Jackson welcomes a son
By Lisa Respers France, CNN
Updated 5:58 PM ET, Tue January 3, 2017
JUST WATCHED
Janet Jackson confirms pregnancy
Now Playing Janet Jackson confirms...
Source...
Wana jf niajeee hv naomba kuchukua muda wako kidogo kwann muziki wa hip hop haupewi kipaumbele bongo hasa kwa wasanii underground alafu unakuta ukiforce kupata airtime ya ngoma zako unakuta...
Kususwa kwa baadhi ya nyimbo
Kama heading inavyojieleza hapo juu ,hivi ni kwanini Msaniii Diamond Platnumz Katika shows zake Mara nyingi kuna nyimbo huwa hazipigi sana ?? Ndio kusema hazina maana...
DuniA tunapita eeh[emoji445]
Kitakachobaki MILELE ni milima [emoji445] [emoji445] [emoji445]
Hio ni baadhi ya Mistari Yake. Msanii huyu WA zamani anaitwa Nani? Na Sasa yuko wapi?
Ebale ya Zaire -Ulitungwa na SIMARO MASIYA LUTUMBA Ukaimbwa na SAM MANGWANA. ni wimbo ambao jamaa anasikika kama akilalamika sana. najaribu tu kuimagine jamaa analamika ila sijui analalamikia...
Nimevutiwa sana ni video yako Mpya ya "umewazidi wote" ni video yenye ujumbe, nakupa hongerah Kwa kuigharamia ; mmependeza sana mlivocheza na huyo video king!
Kuna kiipindi wakati sijawa mjanja wa kucheki movies, nilionaga CD INA movie mchanganyiko za wadudu wote na ndege wameekiti movie. Kama vile mende, nyuki, kungulu. Kila mmoja ka ect Picha lake...
Sijui ni masikio yangu au ni vipi,nyimbo hii imepata umaarufu mkubwa ghafla na kumfanya msanii huyu awe chart ya juu,nimejiuizavkipi kilichoifanya nyimbo hii kua hot hasa kuanzia wiki mbili za...
Alieniumba alinipa mdomo hovyo nina haki ya kuongea/ ni bahati nimeotea..safi… Kamwe siachi kuishea/ hamtaki niwe fair…? Trust me.. Me huwa happy niki-care/ na ninaowatouch husema” mshkaji upo...
Wakuu habari.
Naomba kuuliza kulikua na hizo talk shows miaka kama miwili iliyopita, siku hizi sizioni, zimeishia wapi?
Au nani anaweza kujua hizo shows ziko chaneli gani.
Good morning beautiful
How was your night
Mine was wonderful
With you by my side
And when I open my eyes
And see your sweet face
It's a good morning beautiful day
I couldn't see the light
I...
KAMA HUKUJA KUWINDA
Tumeshafika nyikani,rungu huku sime kule,
Na mikuki mabegani,mbwa huku na kule,
Hatutorudi nyumbani,bado tunasonga mbele,
Kama hukuja kuwinda, usingekuja nyikani.
Ungebakia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.