KWAKO MWANANGU MPENZI
Naandika kwa furaha,furaha ya kuwa nawe,
Nataka upate raha,usilie juu ya mawe,
Upendo na uwe silaha,pendo lako uligawe,
Kwako mwanangu mpenzi,dunia mahali pema.
Usiyashike...
naomba kujua kila ninapokaa na wazee na kuongea nao au wakiwa wanamzungumzia mtu kuna hiki kitu huwa wanauliza HIVI AMEOA KABILA GANI??? hili swali inawezekana lina umuhimu kwa upande...
Jamani nimejukuta sina pa kwenda leo wala kampani... sasa naomba mwenye kujua muvi au sirizi kali ya kichawi mithili ya merlin au regend of the seeker anambie walau iniburudishe kwa muda huu
Kurudi katika matumizi ya dawa za kulevya kwa msanii Chidbenz licha ya mara ya kwanza kutangaza kuacha watu wa kwanza ninaowaelekeza lawama hizi ni BABUTALE na KALAPINA maana hawa ndo watu wa...
Habari wanajamvi wenzangu,
Naombeni msaada ambaye atakuwa na wimbo wa Patricia Hillary wa njiwa part two anitumie nimetafuta sana napata part one tu.
Nitafurahi mkinisaidia kwa hilo whatsup...
Usiku wa December 28 2016 tuzo za WatsUp TV Africa Music Video Awards 2016 ndio zilitangazwa Accra Ghana, washindi 22 walitangazwa kupitia Press Conference wakiwemo wasanii wa Tanzania...
Wadau karibuni tujadiliane kuhusu u mziki wetu pendwa! Kigogo, Tandale, TMK, Kino na wana wote TZ nzima karibuni! Njooni tuwajadili manabii na mitume wetu wa singeli; Sholo Mwamba, Manfongo, Dogo...
Cast: Michael Fassbender,Alicia Vikander,Rachel Weisz
A lighthouse keeper and his wife living off the coast of Western Australia raise a baby they rescue from an adrift rowboat. klingelton...
Habari wana jamvi team ya singida united anapotokea mheshimiwa mwigulu nchemba ndo team ambayo miongoni TFF wameiandaa lazma icheze ligi kuu ikiwa ni moja ya shinikizo kutoka kwa viongozi wa siasa...
Habarini Wakuu, naomba kufahamishwa mahali nitakapopata movies za zamani za action.
Kwa kuspecify napenda zaidi hizi:-
-Delta Force 3
-Hard Target - Van Damme
-Maximum Risk -Van Damme
Wakuu,
Salaam za jioni.
Natumaini wote mko poa, naomba kwa wale wakatoliki wenzangu wanisaidie beti zote za ule wimbo wa 'Uje Roho Mtakatifu, uanze mwanga wako.'
Naukumbuka kidogo kipindi hiko...
Mtaendelea kupata hasara maisha yenu yote kama mtaendelea kumuita Alikiba katika show zenu
Alikiba ana umwinyi sana,anamanagment mbovu,yeye mwenyewe hajitambui kabisa
Unapoandaa show na kumlipa...
Tuzo za Soundcity kama ilivyo tuzo nyingine kubwa za vituo vya TV, ni tuzo zinazotolewa na kituo cha Soundcity ambacho maarufu kwa kutoa habari za burudani na muziki masaa 24. Tuzo zilifanyika...
Mrembo kutoka Kenya anayekwenda kwa jina la Vera Sidika, aliyekuwepo kwenye Beach Party ya WCB, ametumia Snapchat kuonyesha kushangazwa kwake na kilichotokea kwa mashabiki kwenye upande wa mavazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.