Wandugu kwema? Heri ya krismas, yaaani nakwambieni kiukweli wimbo wa darasa" muziki" raia wameuelewa kwa kweli, hadi kina mama watu wazima wanaucheza kwenye kumbi za pombe, Hamna cha kajiandae...
Waigizaji wa kibongo bana bora waigize komedi tu. Ona hili igizo la Yesu mahojiano kati ya Maria na Joseph juu ya mimba ya yesu.
Joseph anamuuliza Maria
Joseph: Maria hii ni mimba ya nan?
Maria...
Habari za jioni wana jamvi....leo katika pekuapekua yangu ya filamu za kihindi za wakati huo nimekutana na filamu inaitwa ROHA...Nikaona sio mbaya tukikumbushana mtu mmoja anaekwenda kwa jina la...
Hii mimi kwangu ni nyimbo nzuri ya kufungia mwaka 2016
STUNTER
@hancemtanashati
atoto
miss chagga
Scorpion me
Eli79
mshana jr
@Bextous
@Bold
Miss Natafuta
JJ'e
@chiquitita
FaizaFoxy
nimeshindwa...
Habari wana JAMII FORUMS, Mimi ni Blogger na nilikuwa najaribu kujiunga na kampuni ya matangazo ya www.seebait.com lakini baada ya kupata codeza html nilipoziweka zinadisplay empty, tafadhali kama...
Wanabody kwema? Nina kijiswali tu katika tasnia hii ya burudani, ni hivi Mara nyingi nikiskilza matangazo kweli radio yaa promo zikiruka hewani kuhusu mziki utaskia msanii flani atakuwepo na...
Kati ya TV hizi mpya ambazo naziona katika king'amuzi cha STARTIMES ipi unaitabiri kufanya vizuri ,na kubamba zaidi wabongo?
..1...TV -e
..2...Africa Swahili TV
..3...Tabibu TV
Nawasilisha
Hawa walikuwa na watu wanajua kutengeneza ngoma nzuri saana.
Ila maisha yanaenda kasi saana kwa sasa ni watu tofauti wenye mtazamo tofauti na pengine chuki.
Kwangu ndo ngoma bora toka kwao.Japo...
CONSIDERATIONS FOR 2017
________________________________
1. ON EARNING:
Never depend on single income. Make investment to
create a second chance.
_________________________________
2. ON SPENDING...
Kwa kweli hawa wanamuziki waimbe studio tu huko sauti zinatengenezwa hata mimi naweza live wako hovyo sauti mbaya WCB jamani nawapenda kwenye CD tu nikawasikia live nawashusha hasa huyo Queen...
Hii ngoma imefia wapi maana kitaani ni mziki by darasa na kokoro kwa mbaaaaaaaaali lkn hii ya wazee wa masauti, wazee wa kutengeneza mziki mzuri mbona siisikii au ishajifia tyari....
Natanguliza...
VIDEO ya Wimbo Muziki ya Darassa Yaweka Rekodi Nyingine YouTube
Rapper Darassa ameendelea kuweka rekodi mpya katika muziki wake kupitia video yake ya wimbo Muziki ikiwa ni siku 28 toka kazi...
Mabibi Na Mabwana Nakitambulisha Kwenu Kichwa Kipya Katika Mziki Wa Kizazi Kipya |BONGO FLEVA| Cblood Wardarama..Jamaa Anatokea Pande Za Tandale...Ameshatoa Nyimbo Kibao Kibao Tu Na Hii Ni Single...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.