Kuna ngoma hata ipite miaka kumi lakini ukaisikia leo hii unahisi kama imetoka leo kwa jinsi inavyokonga moyo wako.
NA HIZI NDIO ZANGU KUMI.
10.Ali kiba - Mac Muga
Huu wimbo umenifunza mengi...
Ikiwa leo ni fainali ya mashindano haya. Washiriki wapo 6, anahitajika mshindi mmoja atakayeibuka na kitita cha shilingi milioni 50 Usiku huu.
==============
Mchuano umeanza, ushindani mkali sana...
Habari za jioni wanaJF, Nitangulie kumshukuru Mungu kwa siku ya leo.
Na ninamshukuru kunipa nguvu hadi kuwaangalia Zimbabwe wanavyomtesa bingwa wa jangwa(Algeria).
Kwa mkiki wanaoupata Desert...
Napenda movie za aina hiii hua zinanifurahisha sana nyingine ni Merlin hawa watu wanajua kuigiza kiukweli,pia story zao tamu balaa,,kwa aliewah kuziona hizi movie anajua namaanisha nini,sasa hawa...
Hello people kama Kuna mtu yupo dar atapenda tu exchange series na movie anicheki Nina series nyingi za kikorea na English series na nyinginezo
Example-scandle
Intelligence
Mettador
The...
Miaka ya nyuma kama saizi tayari akili za watanzania wengi zingekua zimeelekezwa kwenye
maandalizi ya michuano ya AFCON ila saizi sisikii chochote about hii issue zaidi ya Diamond
kwenda...
Wasalaam wana jamvi...
Kwakweli vijana wetu wanajua kutumia fursa kwakweli kuna msanii mchanga ana jiita harmo Rapper ana fanana sana na harmonize hasa harmonize yule ambaye kabla hajaanza kupaka...
January 12 ikiwa ni siku ya mapinduzi ya Zanzibari kupitia ukurasa wangu wa Facebook wa Sangujoseph niliweka Post iliyoshauri kutunukiwa kwa Phd ya heshima kupitia sanaa ya Muziki kwa mwanamuziki...
Today I would love to share my top 3 list of inspirational and very touching music videos..You can also add more on this list..Enjoy your weekend and stay blessed!Love you all.
1. Ed sheeran-Make...
Ni maojiano yaliyo fanyika katika kipindi cha hara za roho na kukili kuwa alienda kwa mganga akisema nilienda kwa mganga si kwa ajili ya miziki ni kwa ajili ya maisha yake ni baada ya kushawishiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.