Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hivi ile blog ya Millard ayo hawaruhusiwi kuripot habari za burudan zinazoandaliwa na media nyingine tofaut na clauds? Jana ilikua ndo siku ya Tuzo za EATV nimeangalia hawajaripot chochote kuhus...
5 Reactions
50 Replies
5K Views
Baada ya Darasa kushusha ngoma kali inayoitwa Muziki, nilitegemea Bill Nas kuja na ngoma ambayo ingeweza hata ku-compete walau. Labda ni mimi tu sijaikubali, lakini iko chini sana nikilinganisha...
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Check out the song.. Kusema Wamezoea by Shubey K Platinums Shubey K Platinums - Kusema Wamezoea free MP3 download | Mdundo.com
0 Reactions
0 Replies
897 Views
Orodha ya wasanii 10 Afrika, matajiri mwaka 2017 kwa mujibu wa Forbes na kiasi ambacho wanamiliki, orodha ya Januari 09, 2017; 10. Jose Chameleone - Uganda - net worth - $6M 9. Sarkodie - Ghana...
1 Reactions
4 Replies
69K Views
Ndugu yetu Mroki kule Comoro amekuwa yuko free mno anyway...hawa ni ma binti wa kingazija original na yo wale wanaojiita wangajiza Bongo
0 Reactions
41 Replies
13K Views
Wanabodi, Ile series ya kibabe "Prison Break" inaendelea pale ilipoishia.. Link analetewa habari na Tbag kuwa Michael hakufa bali ulichezwa mchezo ikawekwa maiti bandia, na Michael akapelekwa...
5 Reactions
18 Replies
4K Views
.
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Niko hapa Mombasa eneo la Lighthouse tunasubiria kuona mwaka wa 2017.. Kama upo hapa pia au upo eneo la karibu na hapa tuwasiliane Ili kama wana JF tuweze kufahamiana..
1 Reactions
3 Replies
846 Views
Salaamu kwenu! Hawa jamaa kundi la weusi mie nawapenda sana halafu uzuri ni kuwa nina kipaji cha kufoka foka ila nafoka kwa vina vilivyo na mpangilio na maana, falsafa na ujumbe mzito. Sasa...
1 Reactions
1 Replies
850 Views
Angalia mwenyewe. Tumepiga hatua kimuziki 10 Richest African Musicians 2017 Forbes List:
1 Reactions
18 Replies
5K Views
Msaada jamani kama unayo naomba unisaidiee...huu wimbo sijui umeimbwa na nani lakini huwa nausikia tu redioni....naupenda sana. "Mungu ni Mungu tu....atabaki kuwa Mungu tu"
1 Reactions
13 Replies
13K Views
New Music: Mbunge Ester Bulaya aijibu ngoma ya Ben Pol ‘Phone’, atumia ushairi na kuingia studio [http://aka-cdn-ns] Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya ameonesha upande mwingine nje ya uwezo...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Wakati kukiwa na wakati mgumu wa kuchagua nani wa kuperform siku ambayo Donald Trump atakuwa anaapishwa, YG amejitokeza na bonge la ofa kwa Trump. Rapper YG ameamua kujitolea kuperform kwenye...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Sijawahi acha kumkubali huyu jamaa sio siri umri umeenda lakini njia anazopita sio mchezo. Kwa ndugu zangu wa 90's wanaelewa vizuri kua namaanisha nini. Huyu jamaa anajua sana embu sikia...
1 Reactions
1 Replies
869 Views
Wadau Salaam naomba mwenye kujua channels zinazoonyesha mpira wa AFCON anijulishe.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Movie zenu mtajiuzia wenyewe. Kama msanii unajiingiza kwenye siasa ili iweje? Someni namba sasa na bado.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, Wakati na nyapia nyapia mitandaoni nimekutana nayo hii.Ngoma kali ya kufungulia mwaka hii.Icheki kwenye sound cloud.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwanza ningeomba Mods msiunganishe huu uzi Na mwingine! Nimetizama show ya Diamond na wenzake huko Gabon, mliotazama mtakubariana nami Wasanii wote 3 kila mtu alikua na Bendera kuwakilisha nchi...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Kuna ngoma hata ipite miaka kumi lakini ukaisikia leo hii unahisi kama imetoka leo kwa jinsi inavyokonga moyo wako. NA HIZI NDIO ZANGU KUMI. 10.Ali kiba - Mac Muga Huu wimbo umenifunza mengi...
6 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom