Hivi ile blog ya Millard ayo hawaruhusiwi kuripot habari za burudan zinazoandaliwa na media nyingine tofaut na clauds? Jana ilikua ndo siku ya Tuzo za EATV nimeangalia hawajaripot chochote kuhus...
Baada ya Darasa kushusha ngoma kali inayoitwa Muziki, nilitegemea Bill Nas kuja na ngoma ambayo ingeweza hata ku-compete walau.
Labda ni mimi tu sijaikubali, lakini iko chini sana nikilinganisha...
Orodha ya wasanii 10 Afrika, matajiri mwaka 2017 kwa mujibu wa Forbes na kiasi ambacho wanamiliki, orodha ya Januari 09, 2017;
10. Jose Chameleone - Uganda - net worth - $6M
9. Sarkodie - Ghana...
Wanabodi,
Ile series ya kibabe "Prison Break" inaendelea pale ilipoishia..
Link analetewa habari na Tbag kuwa Michael hakufa bali ulichezwa mchezo ikawekwa maiti bandia, na Michael akapelekwa...
Niko hapa Mombasa eneo la Lighthouse tunasubiria kuona mwaka wa 2017.. Kama upo hapa pia au upo eneo la karibu na hapa tuwasiliane
Ili kama wana JF tuweze kufahamiana..
Salaamu kwenu!
Hawa jamaa kundi la weusi mie nawapenda sana halafu uzuri ni kuwa nina kipaji cha kufoka foka ila nafoka kwa vina vilivyo na mpangilio na maana, falsafa na ujumbe mzito.
Sasa...
Msaada jamani kama unayo naomba unisaidiee...huu wimbo sijui umeimbwa na nani lakini huwa nausikia tu redioni....naupenda sana.
"Mungu ni Mungu tu....atabaki kuwa Mungu tu"
New Music: Mbunge Ester Bulaya aijibu ngoma ya Ben Pol ‘Phone’, atumia ushairi na kuingia studio
[http://aka-cdn-ns]
Mbunge wa Bunda Mjini, Ester Bulaya ameonesha upande mwingine nje ya uwezo...
Wakati kukiwa na wakati mgumu wa kuchagua nani wa kuperform siku ambayo Donald Trump atakuwa anaapishwa, YG amejitokeza na bonge la ofa kwa Trump.
Rapper YG ameamua kujitolea kuperform kwenye...
Sijawahi acha kumkubali huyu jamaa sio siri umri umeenda lakini njia anazopita sio mchezo.
Kwa ndugu zangu wa 90's wanaelewa vizuri kua namaanisha nini.
Huyu jamaa anajua sana embu sikia...
Kwanza ningeomba Mods msiunganishe huu uzi Na mwingine!
Nimetizama show ya Diamond na wenzake huko Gabon, mliotazama mtakubariana nami Wasanii wote 3 kila mtu alikua na Bendera kuwakilisha nchi...
Kuna ngoma hata ipite miaka kumi lakini ukaisikia leo hii unahisi kama imetoka leo kwa jinsi inavyokonga moyo wako.
NA HIZI NDIO ZANGU KUMI.
10.Ali kiba - Mac Muga
Huu wimbo umenifunza mengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.