Baghdad - Nipe Namba ( Explicit Video)

Mussa waukweli.

JF-Expert Member
Feb 28, 2013
534
319
Huu wimbo na video yake naona ni vitu viwili tofauti kabsa na sijui kwanini kaamua kufanya video ya hivi

 
Sijawahi kuona wimbo wenye lengo zuri, halafu ukawa na video mbaya na chafu inayo promote upuuzi kama hii. +Kama kweli ndio video yake lakin)

Yaani nimekereka mpaka basi. Jamaa kaharibu maana ya wimbo na ana distract msg
 
Sijawahi kuona wimbo wenye lengo zuri, halafu ukawa na video mbaya na chafu inayo promote upuuzi kama hii. +Kama kweli ndio video yake lakin)

Yaani nimekereka mpaka basi. Jamaa kaharibu maana ya wimbo na ana distract msg

Mimi mwenyewe nimekaa nikajiuliza mbona wimbo unaongelea mambo mengine harafu video vitu vingine.

BASATA mko wapi
 
Jamaa anaakili sana huyu, lengo lake kubwa ni audio ipenye na alifahamu kwa wabongo tuliowengi tutareact kwenye video na video itafungiwa lakini audio itauza. Safi sana tutaelewa wachache sana.
 
Jamaa anaakili sana huyu, lengo lake kubwa ni audio ipenye na alifahamu kwa wabongo tuliowengi tutareact kwenye video na video itafungiwa lakini audio itauza. Safi sana tutaelewa wachache sana.
Maneno yako kama yana ukweli ila sidhani kama ndicho alichokua anakiwaza baghdad kipindi anatengeneza hii chupa,letz say ame-switch kwa wanachokitaka mashabiki!.ila sio kuifanya video ifungiwe.
 
Sijawahi kuona wimbo wenye lengo zuri, halafu ukawa na video mbaya na chafu inayo promote upuuzi kama hii. +Kama kweli ndio video yake lakin)

Yaani nimekereka mpaka basi. Jamaa kaharibu maana ya wimbo na ana distract msg
Angekuwa Diamond sawa ila hawaa hapana, acaheni hizo,
 
Back
Top Bottom