Zamani sana kabla teknolojia haijasonga kama ilivyo leo, kumtumia mtu salamu ilikuwa kazi kweli kweli. Aidha uandike barua (ambayo itachukua wiki nzima kumfikia mlengwa), au utume salamu kwa njia...
Nikweli Tunahitaji kufanya Changes, Join #Movement_Okoa_Jahazi Kutuunga Mkono, Kuna makosa mengi Yamesha Fanyika, Huu ndo wakati wa mabadiliko, lazma tukubariene na hilo wadau wote wa bongomovies...
Watanzania Tunawaomba Mtusaidie Kutuunga mkono Katika #movement_Okoa_Jahazi, ili Tusizame, maana SKU mpaka SKU tunazidi kushuka tu!! kampuni itaanza mwakani,
1-https://putlocker.is/
2-https://genvideos.org/2016_movies
3-https://xmovies8.org/
Popular Movies
1:49:35
The Legend of Tarzan
Year: 2016 - Quality: 1080p
Rating: 6.7
Genres: Action, Adventure...
Wewe ni msanii mkubwa sana, na una heshima kubwa sana hapa Nchini. Hivi ulishindwa kumpata Mond umshirikishe? mpaka uchukue mtu anae mcopy Mond? Kuanzia Sauti mavazi mpaka uchezaji ni Mond mtupu...
Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kushoto ni wageni waalikwa, akaenda kushoto maana yy alialikwa. Akakuta mlango wa2 umeandikwa kulia...
Ukijaribu kuhusisha Mgogoro uliopo sasa Kati ya Msanii Ruby na Clouds Media... Na Ukiusikiliza wimbo wake mpya unaoitwa Wale Wale n dhahiri utasema amewaponda Clouds Media.
Nimeusikiliza vzr...
Staa wa Nigeria Chinedu Ikedieze (Aki) aisifia ‘Salome’ ya Diamond ‘I am a big fan’
MUUNGWANA BLOG / 22 hours ago
Salome ya Diamond Platnumz inaelekea kumshangaza staa huyo kwa mafanikio...
Mimi ni mpenzi mkubwa mno wa muziki wowote ule duniani yaani naweza kukesha hata mpaka asubuhi endapo nikikutana na channel za muzik hasa zile matata duniani sasa.nakosa.uamuz.sahihi kuhusu...
Wadau naskia series kali ya Prison brake inatarajia au imeshaanza kuonyeshwa je mwenye ujuzi wa kujua ni channel gani imeanza kurusha hii series kali kuwahi kutokea nchini marekani
Samaha wazee wenzangu hususani wapenzi wa Muziki, kuna wimbo nautafuta, uliimbwa na Sikende, wimbo unaanza kwa neno:
Ndugu na jamaa wameniweka kando, kuwa hunifai eeh ehee x2
Nilikuweka moyoni...
Tukiacha ushabiki tukiweka facts mbele Dogo Raymond atafika mbali Sana tofauti Harmonize. Huyu Dogo anamashairi na anavitu vyake mwenyewe not copied.
Kwenye Salome kamfunika hata huyo anayejiita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.