Kweli YANGA ndio inauza magazeti ya Tanzania,ukiiandika vibaya huuzi gazeti siku hiyo,naona leo Wahariri wote wameipa uzito mdogo hii habari ya kufungwa YANGA.Basi sawa YANGA.
Tukiongelea wakali watatu wa chorus hapa bongo basi huwezi acha kumtaja Q chief..
Mimi kwangu top 10 ya chorus alizofanya ni kama ifuatavyo!!
1. Kazi ipo-Wanaume TMK
2. Sintobadilika-Mike T
3...
Wengi, weusi kwa weupe walipigana dhidi ya ubaguzi wa rangi Afrika kusini! Kama leo tunavyopaswa watanzania kupigana dhidi ya dharau na dhihaka za kiongozi wetu kwetu!
Moja kati ya nyimbo za...
BEN PAUL: Bernad Paul ndilo jina alilopewa na wazazi wake. Huyu ni mwanamuziki mkali wa Bongo Fleva na nyimbo nyingi anazoimba na uimbaji wake ni mzuri lakini imekuwa ni vigumu kutoboa kimataifa...
Wana Janvi, Amani iwe nanyi. Kila nikikumbuka home nakumbuka wimbo wa hayati Che Mundugwao wa "Tumetoka kwetu Mahenge tumekuja Dar es salaam kucheza sindimba" kwa mwenye kuwa na huu wimbo...
Dayna nyange atajwa katika BAE kipengele cha best african act na vocal performance female
Best vocal performance female anachuana na ;
ARAMIDE "fun mi lowo"
NGOWARI "ebasitam"
ROCKNANA "...
Kwanza kabisa naweka swala ilo sawa,chini ni email inayoonesha kwamba kuna watu wana'deal na biashara ya Kuboost FOLLOWERS on Instagram lakini kuchukua iyo evidence naamini kabisa basi hata...
Kuna bendi ikikuwa inaitwa washirika tanzania stars, Watunjatanjata wameimba nyimbo kali kama vile Julie,penzi laulaghai naomba kujuzwa ile sauti kama ya kike ni ya nani siku zote mimi nilikuwa...
Hizi ndo collaboration zangu bora kwa mwaka uliopita
1. Salome diamond ft rayvanny
2. Nisamehe Baraka da prince ft alikiba
3. Kokoro richi mavoko ft diamond
4. Mziki darasa ft Ben pol
5.wacha...
Hii nchi siielewi..wanamuziki wakubwa ninaowakumbuka ni hawa
1.Davido
2.Wizkid
3.Patoranking
4.Iyanya
5.Timaya
6.Tekno
7.Vector
8.Skales
9.Olamide
10.Don jazz
11.Kiss Daniel
12.P square
13.2Face...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.