Hatimae kile tukichokuwa tunakitamani kama taifa kitokee now kimetimia ni furaha kwa taifa zima,
series inaitwa SIX ni drama ya mwaka huu ndo kwanza imetoka mwaka huu episode ya kwanza, kwa...
Lengo la hii channel nadhani ilikuwa ni kuitangaza zaidi tasnia ya filamu za Bongo. Kinachofanyika sasa ni upuuzi mtupu utafikiri ni Channel ya bure vile.
Kwa hatua ambayo industry ya film hapa...
Waungwana, amani iwe nanyi! Mimi hupenda kusikiliza nyimbo za gospel za Kiingereza za Waimbajia wa Marekani kama Don Moen, Hill Song, Michael Smith, Paul Wurbug, Women of Faith, Barloche na...
Habari,
Jaman yoyote anaejua website nzuri ya kustream na kudownload nyimbo za club za miaka ya 80 hadi mwanzo mwa miaka ya 90 naomba anipatie...mfano wa mahadhi ya nyimbo zenyewe ni kama ain't...
Hafijawa Matata alidamka asubuhi na mapema kwani usiku wote kwake ulikuwa kiza cha kuogofya!naaam kaka hafijawa hakupata hata lepe la usingizi.
Aliposikia milio ya jogoo kuashiria kuwa kiza...
Hivi hii nyimbo mpya ya Ay el- kapo
Ana Maanisha Nini
Au a namsifia huyu jamaa mfanyabiashara huyo
Au ndo ameamua tu kuipa jina hiyo nyimbo
Au ndo na yeye anadhilisha kwa jamii kuwa ni...
KUNA MOVIE Niliangaliaga kipindi kirefu kidogo ila kwa sasa nimeisahau jina na wahusika wake....nimejaribu ku google kwa kadr ya ufaham wangu lakin imeshindikana.Hapa najaribu kuku hadithia ili...
Hivi hatuwezi kuchekesha mpaka tuigize lafudhi za Lugha za asili Kimakonde, kimasai, kikurya au Lugha yoyote ndio tuoneshe tunachekesha? Au kutembea upande upande kama mlemavu? Au kuvaa vibaya...
Kwa wale wanaofatilia tamthilia hii kupitia azam too, binafsi nimetokea kuipenda sana tamthilia hii ya kiindi kwani ina mafunzo mengi juu ya maisha ya ndoa hasa mwanamke kuwa mvumilivu katika...
Which film when viewed on a large screen with Dolby /DTS sound impressed you a lot.
Not so much the story content just the look and sound. tono de llamada samsung
I like Gravity a lot but very...
Kuna baadhi ya nyimbo ambazo zimeibua/zimekuza baadhi ya maneno ambayo yanatumika hadi leo na walio wengi.
Habari ndo hiyo - Fa & Ay
Bado niponipo - Fa
Unanitega - Fa & noorah
Usiusemee moyo -...
Hivi ile blog ya Millard ayo hawaruhusiwi kuripot habari za burudan zinazoandaliwa na media nyingine tofaut na clauds? Jana ilikua ndo siku ya Tuzo za EATV nimeangalia hawajaripot chochote kuhus...
Baada ya Darasa kushusha ngoma kali inayoitwa Muziki, nilitegemea Bill Nas kuja na ngoma ambayo ingeweza hata ku-compete walau.
Labda ni mimi tu sijaikubali, lakini iko chini sana nikilinganisha...
Orodha ya wasanii 10 Afrika, matajiri mwaka 2017 kwa mujibu wa Forbes na kiasi ambacho wanamiliki, orodha ya Januari 09, 2017;
10. Jose Chameleone - Uganda - net worth - $6M
9. Sarkodie - Ghana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.