Big Brother Naija!

Benny

JF-Expert Member
Jun 6, 2014
3,275
5,392
Who's watching this?

Addicted na hizi shows za 24hrs unatamani iwe reality mwanzo imeanza vizuri sana-sijui baadaye!


Dstv Chan' No 198

big-brother-nigeria-2017-housemates.jpg
 
Gifty naona anapozi sana nataman atolewe soon,
Uriel juzi alikua anakera kaulizwa vitu na big anajifanya anapanic halafu sjajua jana kama bday yake big alimfanyia chocchote
My favourate ni bally naona anausoma mchezo unavyoenda kwanza
 
Gifty naona anapozi sana nataman atolewe soon,
Uriel juzi alikua anakera kaulizwa vitu na big anajifanya anapanic halafu sjajua jana kama bday yake big alimfanyia chocchote
My favourate ni bally naona anausoma mchezo unavyoenda kwanza
jana alifanyiwa birthday..gauni nzuri.keki nzuri..muziki kidogo....na hapo ni baada ya kutoka kwa big brother kuongea nae...aiseee Uriel analalamika sijawah ona mweeee
 
jana alifanyiwa birthday..gauni nzuri.keki nzuri..muziki kidogo....na hapo ni baada ya kutoka kwa big brother kuongea nae...aiseee Uriel analalamika sijawah ona mweeee
ha ha ha ha bas atakua amefurah sana maana jana sikupata muda wa kuangalia.... analalamika mpaka anakera anaonekana kabisa anaigiza
 
Gifty naona anapozi sana nataman atolewe soon,
Uriel juzi alikua anakera kaulizwa vitu na big anajifanya anapanic halafu sjajua jana kama bday yake big alimfanyia chocchote
My favourate ni bally naona anausoma mchezo unavyoenda kwanza

Men Gift ni mrembo
yale macho-ana asili ya Uingereza pia.
 
jana alifanyiwa birthday..gauni nzuri.keki nzuri..muziki kidogo....na hapo ni baada ya kutoka kwa big brother kuongea nae...aiseee Uriel analalamika sijawah ona mweeee
Uriel sidhani kama ana muda mrefu sana-na ile accent yake tutaona.
 
Gifty naona anapozi sana nataman atolewe soon,
Uriel juzi alikua anakera kaulizwa vitu na big anajifanya anapanic halafu sjajua jana kama bday yake big alimfanyia chocchote
My favourate ni bally naona anausoma mchezo unavyoenda kwanza
Bally yupo poa
baada ya siku tano
nitakuambia nani mkali
na lazima ashinde huyo.
 
Niliangalia siku inaanza naamka asubuhi package ikakata. Niliona utakuwa interesting sana.
 
Ntalipia package kesho. Ila sijui kwanini BBA haipo mwaka wa tatu huu. Tatizo sijui ni nini
Namba ya viewers inapopungua hua wanasitiza kidogo kwa ajili ya kufanya updates mpya na mpate kiu
 
tboss anajisikia sana! ha ha haaa...bado wengi wanamaisha ya kuigiza humu! ngoja ichanganye kiaina
 
Back
Top Bottom